Nipo kiwandani Mtibwa, Turiani; umeme umekatika mara kumi toka saa kumi na mbili mpaka muda huu

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,927
Shida ya umeme wa Tanzania ni nini? Je, ni

Siasa?
Tanesco?
Maji?
Gesi?
Mitambo chakavu?
Hujuma?

Au nini? Mimi nilijua shida hii ipo maeneo ya mjini tu kukatikakatika kwa umeme ila sasa nimekuja huku Turiani, Mtibwa leo tu jioni mpaka muda huu umeme umekatika mara kumi sasa shida ni nini?

Mbaya zaidi watu wanasema angekuwepo Magufuli umeme usingekatika! Sasa mama Samia Suluhu Hassan Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kazi kwako.
 
Umeme sio Siasa mzee kama Mitambo na Miundo Mbinu ni chakavu huwezi kuzuia izo Outages, tofauti na kipindi Cha mwendezake kwa sasa outages zikitokea public inakuwa informed

Lakini amini kuwa Tanesco linaenda kuwa shirika bora miongoni mwa mashirika ya Umma its matter of time ila Statergic na plan tayari zimeanza kuwa implemented
 
Umeme sio Siasa mzee kama Mitambo na Miundo Mbinu ni chakavu huwezi kuzuia izo Outages, tofauti na kipindi Cha mwendezake kwa sasa outages zikitokea public inakuwa informed

Lakini amini kuwa Tanesco linaenda kuwa shirika bora miongoni mwa mashirika ya Umma its matter of time ila Statergic na plan tayari zimeanza kuwa implemented
Inamaana hiyo mitambo ilikuwa inamuogopa Magufuli kwa miaka sita yote au!?
 
🐒🐒🐒
0_20220223_195313.jpg
 
Hao wanaohangaika na mwendazake.waulize elimu zao.

Na hata kipindi cha mwendazake umeme ulikatika sana tu isipokua sio lahisi mtu kusema.kwajinsi watu.walivyominywa uhuru wao wa kuongea.

Hivyo Watanzania bado elimu,uelewa hata uwezo wa akili zao ni chini sana.

Kumbe walitakiwa waminywe zaidi.pumbavu kabisa.
 
Hao wanaohangaika na mwendazake.waulize elimu zao.

Na hata kipindi cha mwendazake umeme ulikatika sana tu isipokua sio lahisi mtu kusema.kwajinsi watu.walivyominywa uhuru wao wa kuongea.
Hivyo watanzania bado elimu,uelewa hata uwezo wa akili zao ni chini sana.
Kumbe walitakiwa waminywe zaidi.pumbavu kabisa.
Kwamba ata ukireport taarifa ya umeme kukatika ulikuwa unakamatwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanesco mnaichonganisha serikali na wananchi. Pili serikali kunamnachopata kikubwa mno toka tanesco mbona hamuibinafsishi kama posta na simu?
 
Tanesco ipo siku mtasababisha vurugu watanzania wats sabotage miundombinu yenu makusudi kwasabu mko helplessly kwao.
 
Back
Top Bottom