Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Shida ya umeme wa Tanzania ni nini? Je, ni
Siasa?
Tanesco?
Maji?
Gesi?
Mitambo chakavu?
Hujuma?
Au nini? Mimi nilijua shida hii ipo maeneo ya mjini tu kukatikakatika kwa umeme ila sasa nimekuja huku Turiani, Mtibwa leo tu jioni mpaka muda huu umeme umekatika mara kumi sasa shida ni nini?
Mbaya zaidi watu wanasema angekuwepo Magufuli umeme usingekatika! Sasa mama Samia Suluhu Hassan Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kazi kwako.
Siasa?
Tanesco?
Maji?
Gesi?
Mitambo chakavu?
Hujuma?
Au nini? Mimi nilijua shida hii ipo maeneo ya mjini tu kukatikakatika kwa umeme ila sasa nimekuja huku Turiani, Mtibwa leo tu jioni mpaka muda huu umeme umekatika mara kumi sasa shida ni nini?
Mbaya zaidi watu wanasema angekuwepo Magufuli umeme usingekatika! Sasa mama Samia Suluhu Hassan Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kazi kwako.