Huu Mgao wa Umeme shida ni nini?

Mr. Wise

JF-Expert Member
Jul 23, 2012
7,718
6,441
Habari za majukumu!
Kuna mgao unaendelea hapa Arusha, Umeme unakatwa asubuhi unarudi saa moja kasoro usiku. Tanesco kwanini wasituambie shida ni nini?
Mlituaminisha mgao uliopita ni sababu ya kufanya maintenance, ni juzi tu mkatangaza maintenances zimeisha sasa hii ni nini?Nadhani kuna mahali hapako sawa sasa, maana hatuelewi nini tatizo.

Nimewasilisha.
 
Habari za majukumu!
Kuna mgao unaendelea hapa Arusha, Umeme unakatwa asubuhi unarudi saa moja kasoro usiku. Tanesco kwanini wasituambie shida ni nini?
Mlituaminisha mgao uliopita ni sababu ya kufanya maintenance, ni juzi tu mkatangaza maintenances zimeisha sasa hii ni nini?Nadhani kuna mahali hapako sawa sasa, maana hatuelewi nini tatizo.

Nimewasilisha.
HaTa Mwanza ni mgao kila kukicha
 
Habari za majukumu!
Kuna mgao unaendelea hapa Arusha, Umeme unakatwa asubuhi unarudi saa moja kasoro usiku. Tanesco kwanini wasituambie shida ni nini?
Mlituaminisha mgao uliopita ni sababu ya kufanya maintenance, ni juzi tu mkatangaza maintenances zimeisha sasa hii ni nini?Nadhani kuna mahali hapako sawa sasa, maana hatuelewi nini tatizo.

Nimewasilisha.
Tanesco hawashindwi kusema mgao unasababishwa na vita ya Ukraine, ngoj tuwasubiri hapa tuwasikie
 
🐒🐒🐒
0_20220223_195313.jpg
 
Habari za majukumu!
Kuna mgao unaendelea hapa Arusha, Umeme unakatwa asubuhi unarudi saa moja kasoro usiku. Tanesco kwanini wasituambie shida ni nini?
Mlituaminisha mgao uliopita ni sababu ya kufanya maintenance, ni juzi tu mkatangaza maintenances zimeisha sasa hii ni nini?Nadhani kuna mahali hapako sawa sasa, maana hatuelewi nini tatizo.

Nimewasilisha.
tulia mkuu, si uliambiwa kipindi cha JPM motambo haikufanyiwa marekebisho au umesahau
 
Jamaa amefeli sana kuongoza hii wizara na wanavyompamba chawa wake mitandaoni, inachosha hata kama dharau kwa wananchi sio kiivyo, kodi zetu ndio zinawafanya waishi vizuri na umeme tunautegemea kwa kazi nyingi
 
Habari za majukumu!
Kuna mgao unaendelea hapa Arusha, Umeme unakatwa asubuhi unarudi saa moja kasoro usiku. Tanesco kwanini wasituambie shida ni nini?
Mlituaminisha mgao uliopita ni sababu ya kufanya maintenance, ni juzi tu mkatangaza maintenances zimeisha sasa hii ni nini?Nadhani kuna mahali hapako sawa sasa, maana hatuelewi nini tatizo.

Nimewasilisha.
Kila sehemu ya nchi
 
Back
Top Bottom