Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,718
- 6,441
Habari za majukumu!
Kuna mgao unaendelea hapa Arusha, Umeme unakatwa asubuhi unarudi saa moja kasoro usiku. Tanesco kwanini wasituambie shida ni nini?
Mlituaminisha mgao uliopita ni sababu ya kufanya maintenance, ni juzi tu mkatangaza maintenances zimeisha sasa hii ni nini?Nadhani kuna mahali hapako sawa sasa, maana hatuelewi nini tatizo.
Nimewasilisha.
Kuna mgao unaendelea hapa Arusha, Umeme unakatwa asubuhi unarudi saa moja kasoro usiku. Tanesco kwanini wasituambie shida ni nini?
Mlituaminisha mgao uliopita ni sababu ya kufanya maintenance, ni juzi tu mkatangaza maintenances zimeisha sasa hii ni nini?Nadhani kuna mahali hapako sawa sasa, maana hatuelewi nini tatizo.
Nimewasilisha.