ujumbe

  1. diana chumbikino

    Ujumbe maalum kwa maaskofu na waumini wa KKKT

    Kwa muda mrefu nimekuwa katika shuhuda kwa watu, ndani na nje ya nchi kuhusu mwenendo wa kanisa letu, viongozi wetu katika kanisa na hata kuhubiri mambo ambayo kwayo, KKKT limelelewa miaka mingi iliyopita. Sishangai mabadiliko ndani ya kanisa, ila mabadiliko yanapokiuka misingi ya dini, imani...
  2. Camp Lehigh

    Wakati mwaka unaisha muachie ujumbe wowote member mmoja humu

    Labda member fulani alikukela,alikufurahisha,unampenda sana,unapenda michango yake, nakadhalika. Acha ujumbe wowote jwa member huyo either wa kumpongenza au kumtaka abadirike.
  3. M

    Ujumbe maalum wa tahadhari kwa Maaskofu na waumini wa KKKT

    KWA MUDA MREFU NIMEKUWA KATIKA SHUHUDA KWA WATU, NDANI NA NJE YA NCHI KUHUSU MWENENDO WA KANISA LETU, VIONGOZI WETU KATIKA KANISA NA HATA KUHUBIRI MAMBO AMBAYO KWAYO, KKKT LIMELELEWA MIAKA MINGI ILIYOPITA. SISHANGAI MABADILIKO NDANI YA KANISA, ILA MABADILIKO YANAPOKIUKA MISINGI YA DINI, IMANI...
  4. S

    Fatma Karume atoa ujumbe huu kwa TISS

    Ni kupitia mtandao wa twitter ambapo ameandika maneno haya: Ujumbe kwa TISS: Kila mtu ana saikolojia yake. 1. Sio kila mtu anakuwa MOTIVATED na PESA 2. Sio kila mtu anaFLIGHT kuna wengine wanaFIGHT 3. Sio kila mtu anaOGOPA kufa. Kuna wengine wanajiuwa wenyewe. 4. Sio kila mtu ana AKILI kama...
  5. R

    Mtu mwenye degree anapoenda kujifunza kazi ya waliokosa Elimu ni ujumbe gani tunapata kuhusu Elimu yetu?

    Nimetoka kuzungumza na mpwa wangu sasa hivi anaomba msaada wa cherehani akajifunze kushona nguo, ndio mradi aliobuni baada ya kusota miaka 2 bila ajira. Amesoma ana degree Bachelor of Arts in Community and Development Studies. Kaniambia ameshapata mtu wa kumfundisha na mahali pa kujifunzia...
  6. blogger

    Kweli au Si Kweli..!?. Ujumbe toka kwa King.

    😂😂😂 Kazi ipo.
  7. Sky Eclat

    Ujumbe kutoka kwa Prince aliyepita

    JAMHURI: Wewe na Waziri Membe mna uhusiano gani? RIDHIWANI: Membe mimi ni rafiki yangu, lakini pia Membe ni baba yangu, mentor (mlezi) wangu. Namwangalia kama mtu unayeweza ukamwiga kwa mawazo yake na utendaji wake. Nimemfahamu mara ya kwanza mwaka 1986. Tulikuwa tumetoka Arusha tumekuja Dar...
  8. Influenza

    Arusha: Aliyekuwa Mgombea wa Ujumbe katika Serikali ya Mtaa akutwa kwake akiwa amefariki huku akiwa na alama kukatwa shingoni

    Aliyekuwa Mgombea katika nafasi ya Ujumbe wa Serikali ya Mtaa ya eneo la Mnara wa Voda, kupitia CHADEMA kabla ya Chama hicho hakijajitoa kushiriki, Sirili Homary amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake huku akidaiwa kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni Kamanda wa Polisi Mkoani Arusha...
  9. Sky Eclat

    Baada ya kutoa Anaitwa Roma, Roma na mkewe wanapata ujumbe wa vitisho mfululizo

    Inadaiwa Msanii Roma Mkatoliki na mke wake wanapokea meseji za vitisho baada ya Roma kuchia wimbo wake unaokwenda kwa jina la 'Anaitwa Roma'
  10. Johnson Alex Otieno

    Ujumbe wangu kwa wagombea wote wa kata ya Makutupora

    Salaam wananchi wenzangu wa Kata ya Makutupora. Ni mara chache sana natumia jukwaa hili kueleza mambo yanayotendwa kwenye kata yetu yenye rasilimali zote muhimu kwa maendeleo ya umma wetu. Leo nitumie fursa hii kuwaeleza yale yaliyofanyika kwa kipindi hiki cha vuguvugu la uchaguzi ndani ya...
  11. Mystery

    Pamoja na kuvurugika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ni kwanini Waziri Jafo hajiuzulu?

    Kila kona unayotembelea ndani ya nchi hii, hakuna habari nyingine unayokutana nayo, bali ni malalamiko ya vyama vya upinzani, kufanyiwa hila katika zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa, kwa kuenguliwa wagombea wake kugombea katika uchaguzi ujao unaotarajiwa kufanyika hapa nchini, tarehe 24...
  12. Suley2019

    Tafakari na Kipanya: Picha hizi za mafiga zina maana gani?

    Habari ya muda huu wakuu? Katika pitia pitia yangu mitandaoni, nikakutana na hii picha kutoka kwa Bwana Masoud Kipanya. Nmekaa nimetafakari maana ya picha hii sijapata jibu kamili. vipi kwa upande wako unahisi picha hii ina maana gani wakuu? ?
  13. K

    Ujumbe kutoka kisiwa Juji "Tukishindwa kutofautisha maslahi ya Taifa, Tutakuwa waashi wa kugeuza mawe kuwa Malaika"

    Hii inaitwa Made in Kisiwa Juji.. Yaani mpaka leo mwaka 2019 nachelea kusema kwamba hatujafanikiwa kujuwa maslahi ya Taifa ni nini na najuwa kuna mahali tuliteleza. Fuatilia haya maelezo yaliyonukuliwa mahali. Sauti kutoka kisiwa Juji. " Kila aingiae madarakani anakuja na viroba vya vionjo na...
  14. kagoshima

    Nyimbo za Chege zina ujumbe murua kuliko za Diamond

    Nyimbo za Diamond wa sasa ni takataka tupu na ndio zimepata wafuasi (siyo true fans wa muziki) wengi, maajabu. Nimelinganisha na nyimbo za Chege, huyu bwana ni mwanamziki. Anaimba muziki haswa wenye kila kitu in terms of qualities. Diamond wa sasa anaimba takataka zinazo haribu vijana wengi...
  15. bowlibo

    Usajili wa laini za simu kwa alama za vidole against ujumbe uliozagaa leo

    Wadau habari za wakati huu. Naenda kwenye mada moja kwa moja. Leo nimepokea jumbe zenye maana na angalizo jumuishi kama hiyo attachment inavyojieleza. Sasa swali ninalojiuliza ni kwamba iwapo mimi nimeshajisajili kwa kuchukuliwa alama za vidole kwa nini mtu mwingine ajisajili kwa kutumia namba...
  16. Daisy Llilies

    Ujumbe wa Uhuru Kenyatta ni mfupi lakini mzito

    Kaka jirani anasema:
  17. Apollo

    Uhalisia wa Furaha na Mateso katika Maisha

    Maisha ni fumbo kwa kila mmoja wetu, na kila mwanadamu anaishi kwenye ulimwengu wake katika maisha yake. Fumbo la maisha ni kubwa na haijawahi kutokea mwanadamu ambaye ameweza kutoa mwanga kuhusiana na fumbo la maisha na jinsi ambavyo falsafa mbalimbali zimekuwa zikielezea. Ni fumbo ambalo tangu...
Back
Top Bottom