Dada umefufuka.Hapo Lisu anapeleka siasa Msibani ila chombo chenyewe hakina uwezo wa kumpeleka huko anakotaka kwenda
HahaahaaHapo Lisu anapeleka siasa Msibani ila chombo chenyewe hakina uwezo wa kumpeleka huko anakotaka kwenda
Ila ni lengo baya sana ...leo tunaambiwa kaenda karantini1. Njia ya kwenda msibani iko wazi.
2. Nia ya kwenda msibani ipo
3. Yuko ndani ya chama(Nia yake sio muhimu kuliko chama)
4. Lengo la kutumia MSIBA kisiasa(baiskeli ya mazoezi) halikumfikisha popote.