Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,692
- 36,054
Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.
Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.
Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.
Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.
Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.
Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.
Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.