Si wananchi, si Polisi, si Wanajeshi si Vyombo vya Usalama si wafanyakazi serikalini,wote wameshaichoka CCM kwa jinsi inavyowahangaisha, njooni huku twendeni kule watu hawana raha na maisha wapo mbioni tu wakitakiwa kuilinda CCM, ambayo bila ya kuwatisha watu kwa barua za kuhudhuria mikutano na kuweka waimbaji mastaa asingehudhuria mtu.
Watajwa hapo juu msiogope kitu kura ni siri na hakikisha unaondoa udhia huo unaowakumba kwa kuikataa CCM kwenye sanduku la kura, unaogopa nini, nani wakati CCM inachinjwa tarehe hio, wewe ukiwa mmoja wapo wa kuisitisha uhai wake.
Shiriki katika historia hii itakayoandikwa siku ya upigaji kura ambayo itabakia kuandikwa na kusomwakwa muda mrefu, chukua maamuzi magumu ya kuiweka na kuipumzisha CCM.
CCM wameshaanza kunyonyoka magoya na siku ya Uchaguzi wanakatwa mbawa, Wewe shiriki kuwachinja kwenye sanduku la kura na kuikataa milele.
Watajwa hapo juu msiogope kitu kura ni siri na hakikisha unaondoa udhia huo unaowakumba kwa kuikataa CCM kwenye sanduku la kura, unaogopa nini, nani wakati CCM inachinjwa tarehe hio, wewe ukiwa mmoja wapo wa kuisitisha uhai wake.
Shiriki katika historia hii itakayoandikwa siku ya upigaji kura ambayo itabakia kuandikwa na kusomwakwa muda mrefu, chukua maamuzi magumu ya kuiweka na kuipumzisha CCM.
CCM wameshaanza kunyonyoka magoya na siku ya Uchaguzi wanakatwa mbawa, Wewe shiriki kuwachinja kwenye sanduku la kura na kuikataa milele.