Msaada: Ugonjwa wa mbuzi kuzunguka. Huu ni ugonjwa gani?

Gemini Are Forever

JF-Expert Member
Sep 10, 2019
1,457
2,435
Habarini!

Mbuzi wangu wamekuwa wakisumbuliwa na ugonjwa wa kuzunguka. Yaani huu ugonjwa mbuzi akiugua anashindwa hata kutembea (anabaki kuzunguka tu hapo hapo) na unaonekana huwa unaathiri upande fulani wa mbuzi.

Kwa mfano, akiathirika sana kiasi cha kushindwa kusimama, yaani akishalalia tu upande wa kushoto basi hawezi kulalia upande wa kulia hata kama unamgeuza.

Yaani ukimgeuzia huo upande mwingine utakuta anajigeuza haraka sana (inakuwa mithili ya ncha za sumaku ambazo haziendani).

Naomba msaada wa namna yoyote wa tiba, chanjo na jina la ugonjwa kitaalamu.
 
Asante sana sande nicolaus

Kwa hiyo huu ugonjwa unasababishwa na kupe? Dalili zake zingine ni zipi? Kinga yake ni nini? Maana nimekuwa natumia hyo tetracycline lakin haisaidii... Yaan akipata hzo dalili za kuzunguka haponi tena japo natibu kwa hyo dawa. Sehemu sahih ya kumchoma sindano ni ipi?
 
Mackmambo said:
Hou ni heart desease ukiona hivyo kupona ni mara chache kaka
Ni kweli mkuu... Yaani mbuzi akiugua ugonjwa huu sijawahi kuona apone. Vipi kuhusu chanjo au kinga yake?
 
Ugonjwa ni heart water kwa dalili hiyo japo kuna nyingne tofauti japo iyo ni kubwa,
Dawa tafuta antibiotics like tetracycline, ant inflammatory eg dexa na laxer....cha muhimu ni kupambana na kupe kwa sana...kwa maelezo zaidi mtafute mtaalam Wa mifugo kwa ushauri zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshauri atafute Daktari wa mifugo sio atafute dawa
 
Kupona inakuwa ngumu sana kwa sababu moyo unakuwa na maji na pia kuna kuwa uvimbe kwenye tezi,kwaiyo unapotumia tetracycline pekee utatibu vidudu tu vya ugonjwa lakn kuna maji kwenye moyo na hayo mauvimbe unakuwa umeyaacha na ndio yanayomuua mnyama.....kinga ni kuwaogesha tu ili kuua kupe coz ndio causative agent... Kupe anamagonjwa mengi sana kwa mnyama na yote ni hatari sana cha muhimu mtafute Dr naamini utapata ushauri mzuri na mengne mengi katika ufugaji wako mkuu.
Asante sana sande nicolaus

Kwa hiyo huu ugonjwa unasababishwa na kupe? Dalili zake zingine ni zipi? Kinga yake ni nini? Maana nimekuwa natumia hyo tetracycline lakin haisaidii... Yaan akipata hzo dalili za kuzunguka haponi tena japo natibu kwa hyo dawa. Sehemu sahih ya kumchoma sindano ni ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupona inakuwa ngumu sana kwa sababu moyo unakuwa na maji na pia kuna kuwa uvimbe kwenye tezi,kwaiyo unapotumia tetracycline pekee utatibu vidudu tu vya ugonjwa lakn kuna maji kwenye moyo na hayo mauvimbe unakuwa umeyaacha na ndio yanayomuua mnyama.....kinga ni kuwaogesha tu ili kuua kupe coz ndio causative agent... Kupe anamagonjwa mengi sana kwa mnyama na yote ni hatari sana cha muhimu mtafute Dr naamini utapata ushauri mzuri na mengne mengi katika ufugaji wako mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran sana ndugu umefafanua vyema, wengi tunaujua ni kichaa cha mbuzi na nakumbuka hauna tiba labda madaktari wa mifugo waje watusaidie.
 
Ushauri wangu kabla ya yote nakushauri uende na mnyama pale sua kitengo cha tafiti wamchunguze kwanza ndo nadhani utapata majibu ya uhakika huo uonjwa wa kuzunguka kwa mwaka 2019 ndo nadhan ugonjwa uliosumbua mbuzi sana hata kwangu nimepata hilo tatizo sana ila nikampeleka mnyama sua nilipata usaidizi wa hali ya juu maelezo ni mengi sana so nakushauri nenda na mnyama ambaye kasha asirika teyar kamfanyie uchunguz ili upewe matokeo ya hlo tatizo
 
Ushauri wangu kabla ya yote nakushauri uende na mnyama pale sua kitengo cha tafiti wamchunguze kwanza ndo nadhani utapata majibu ya uhakika huo uonjwa wa kuzunguka kwa mwaka 2019 ndo nadhan ugonjwa uliosumbua mbuzi sana hata kwangu nimepata hilo tatizo sana ila nikampeleka mnyama sua nilipata usaidizi wa hali ya juu maelezo ni mengi sana so nakushauri nenda na mnyama ambaye kasha asirika teyar kamfanyie uchunguz ili upewe matokeo ya hlo tatizo
Ndugu wengi tunafuga au tunataka kufuga Mbuzi ningekuomba kama hautojali kwa manufaa yetu sote kidogo ungetusaidia kutuelemisha juu ya hayo uliyo elekwezwa huko SUA maana wengine tupo nnje ya mororgoro.
 
Ni kweli kachero orignal huu ugonjwa umesumbua sana mwaka huu. Kwa hyo ww ulivyoenda SUA ukapata ufumbuz wa either kinga au tiba ya huu ugonjwa na kwamba hadi sas umekuwa historia kwako? Msaada wako unahtajka mkuu.
 
Ushauri wangu kabla ya yote nakushauri uende na mnyama pale sua kitengo cha tafiti wamchunguze kwanza ndo nadhani utapata majibu ya uhakika huo uonjwa wa kuzunguka kwa mwaka 2019 ndo nadhan ugonjwa uliosumbua mbuzi sana hata kwangu nimepata hilo tatizo sana ila nikampeleka mnyama sua nilipata usaidizi wa hali ya juu maelezo ni mengi sana so nakushauri nenda na mnyama ambaye kasha asirika teyar kamfanyie uchunguz ili upewe matokeo ya hlo tatizo

Sasa atatokaje na mbuzi huko katerero au rubondo hadi Sua...!?
Akimpakisha kwenye bus abiria wakianza kuzunguka huko ndani itakuwaje...!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom