China: Mji wa Wuhan kulikoanzia virusi vya Corona kujenga Hospitali kwa siku 6 kusaidia katika kutibu Ugonjwa huo

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,443
3,353
Mji wa Wuhan unaharakisha kujenga Hospitali mpya kusaidia kutibu Wagonjwa waliokumbwa na Virusi vya Corona ambavyo vimeshaua watu 80 na zaidi ya 870 wameambukizwa nchini humo

Kusambaa kwa virus hivyo kulianzia kwenye Mji huo ambapo sasa Madaktari wanasema Waathirika wanapanga foleni kwa muda mefu wakiwa wanasubiri huduma

Uzuiaji wa ugonjwa huo unakuwa mgumu kutokana na uchache wa vifaa vya kujilinda na baadhi ya Madaktari kuambiwa wasiende kutoa huduma wakihofiwa kupata maambukizi

Mamlaka katika Mji wa Wuhan zinasema hospitali hiyo inatarajiwa kuwa an uwezo wa kuwekwa vitanda 1000 vya wagonjwa na inatarajiwa kuanza kutumika Februari 03

Mwaka 2003, Beijing ilijenga Hospitali ya Xiaotangshan ndani ya siku 7 iliyosaidia kutibu waliougua SARS (Severe Acute Respiratory Syndrome), ugonjwa ulisababishwa na Virusi pia na kuua takriban watu 774 Duniani kwa mwaka 2002 na 2003
=====

The Chinese city of Wuhan is rushing to build a new hospital within six days to treat patients of the coronavirus that has killed at least 26 people across the country and is overwhelming the quarantined city's health system.

1.jpg

The 2019-nCoV virus, which had infected more than 870 people as of Friday morning, originated in Wuhan. China has closed down public-transport links in the city and at least nine others, sealing off a combined 30 million people.

Doctors in Wuhan have said that people seeking medical attention have waited hours in line, that screening the disease is difficult, that there is not enough protective gear, and that some doctors have been told at times not to go to work over fears they could catch the virus.

2.jpg

Wuhan authorities on Friday said a new, 1,000-bed hospital was being built for coronavirus patients to "address the insufficiency of existing medical resources," the Associated Press reported.

Patients with the coronavirus are being treated in hospitals and fever clinics across the city.

The new hospital is to be built in six days and to be put to use February 3, the state-run news site The Paper reported, citing the state media outlet People's Daily.

The hospital is to be made from prefabricated buildings — making it quicker and cheaper to build — on the outskirts of the city, People's Daily reported.

In April 2003, Beijing built in just seven days the Xiaotangshan Hospital, which the People's Daily said treated one-seventh of China's SARS patients at the time.

People's Daily called that hospital "a miracle in the history of medicine."

3.jpg

The Wuhan coronavirus can spread among humans and has already spread to some healthcare workers treating the infected.

It has spread to at least eight other countries: the US, Japan, South Korea, Thailand, Taiwan, Singapore, Vietnam, and Saudi Arabia.
 
Back
Top Bottom