tunda

The Tunda (Spanish: La Tunda) is a myth of the Pacific coastal region of Colombia and Ecuador, and particularly in the Afro-American community of the Chocó department, about a shapeshifting entity, resembling a human female, that lures people into the forests and keeps them there.
It is capable of changing its shape to appear in the form of a loved one, as in the likeness of a child's mother, to lure its victims into the forest and feed them with shrimps (camarones peneídos) to keep them docile. This is called entundamiento and a person in this state is entundado(a).Her shapeshifting abilities are said to be imperfect, as this doppelgänger of sorts would always have a wooden leg in the shape of a molinillo, or wooden kitchen utensil used to stir hot drinks such as chocolate or aguapanela. The monster, however, is very cunning when trying to hide this defect from its would-be victims. In other versions, it appears to male loggers or hunters working deep into the jungle as a beautiful woman that tries to lure a man away, so it can reveal its hideous nature and suck his blood or devour him as a wild animal.

View More On Wikipedia.org
  1. Zainab j

    Mwanajeshi ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kumuua mtalaka wake na Mwanajeshi

    Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kikosi cha 08/691 KJ Chandarua mkoani Ruvuma, Sajenti Batsin Sanga amehukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuwaua kwa risasi mtalaka wake na mwanajeshi mwenzake. Desemba 27 mwaka 2018 katika lango kuu la kambi hiyo, askari huyo mwenye namba za...
  2. K

    Je, ulishawahi kula tunda kwa punguzo kubwa la bei?

    Nakumbuka mwaka 2013 nikiwa machimboni huko Geita, machimbo mapya ambayo yalikuwa ndo kwanza yameibuka na hivyo kulikuwa na ukame wa totoz. Mademu waliokuwepo walikuwa wakitoa huduma kwa kuringa sana kwani demand ilikuwa kubwa kuliko supply Sasa siku moja tukiwa bar mshenzi tukipiga vitu(bia)...
  3. mwilawi

    Msaada wa rangi kwenye tunda la pilipili mwendokasi

    Naomba msaada mimea yangu ya pilipili mwendokasi, matunda ambayo hayajaiva yanaonyesha hali ya rangi kama ubluu hivi (nimeambatanisha picha ) hilo ni kawaida au ni ukosefu wa nini. Natakiwa nifanyeje kwa hali hiyo. Mimi ndio nimeanzisha hiki kilimo. Niko Dodoma.
  4. Expensive life

    Ukisikia kula tunda kimasihara ndiyo hii sasa!!!

    Kijana mmoja huko buza kwa mpalange amejikuta akitunukiwa tunda kimasihara bila kutoa hata senti tano. Dah,, ila hizi bahati mbona hazijawahi kunikuta ona sasa mpaka nimesha owa.,😋😋😋
  5. Fbn

    Tunda aina ya Parachichi tunavyolichukulia hapa kwetu ni tofauti na wenzetu

    Jambo lilonishangaza baada ya mzungu mmoja kutoka ufaransa kufakamia maparachichi. Nikamuuliza mbona unakula sana haya maparachichi ndipo kunifungulia ukweli kuwa ni bei sana kwao . Kumbe tuna vyakula ambavyo tunachukulia ni vya kawaida ila kwa wenzetu vikawa vya kitajiri sana.
  6. VMWare-Oracle

    Uhusiano wa bia na kula tunda kimasihara

    Habari za wakati huu wana JF. Baada ya kupitia ule uzi pendwa wa kula tunda kimasihara nimegundua visa vingi vimejengeka katika mazingira yanayohusisha matumizi ya vilevi. Hivi sababu ni nini? Je vilevi vinahamasisha ulaji wa tunda kimasihara?
  7. Nyankurungu2020

    Chonde chonde wabunge wa CCM msichague Tulia Ackson kuwa Spika, tayari ameshaonesha udhaifu wa kutosimamia katiba ya JMT. Hafai kabisa kuwa spika

    Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote. Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo. Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na...
  8. mgt software

    Bunge la S.Sitta (Mwendokasi) Mhimili Imara si Bunge la Ndugai (Dhaifu), tunda la udhaifu limeonjwa na UVCCM

    Wana JF. Giza Nene lenye bundi limemfunika bwana Jobo, kakutana na mabundi wasiokuwa na huruma. Haya yote ni matokeo ya kulazimisha kila kitu kiende kigizagiza kwa kukanyaga katiba. Mabundi furaha huwa wanategemea baada ya giza totolo watapata nini, kelele za atoke zilishamili sana bila...
  9. 2sexy

    Je, tunda aina ya “Christmas melon” linapatikana Tanzania?

    Heri ya sikukuu kwako. Hili tunda nimesoma linafaida nyingi kiafya na hata kwa mifugo. Yaani ni tiba asili kwa binadamu na wanyama. Changamoto naona ni tunda maarufu sana huko Afrika Magharibi. Je, hapa kwetu hamna kweli? Je, kuna member yoyote keshawahi kuliona? Kama ndio linaitwaje...
  10. mgt software

    Kati ya Mabinti wazuri waliopata umaarufu na wakapata hasara uwezi kumkosa Tunda na Wema

    Wana JF Wasalaam. Nianze kwa kusikitika kwa kumkosa Warumi, ambaye alikuwa anatupa burudani motomoto za vibweka vya wauza nyago Dar, tumekosa vitimbi vingi safari hii. Leo katika viwanja vya mastaa katika operation pitisha macho, nawaona mastaa wawili wanaooenda kupoteza kutokana na umaarufu...
  11. Harrykany

    Aliesikiliza hii nyimbo inayowaponda Yanga, ya Tunda man na Dulla

    Ni Siku ya wananchi KAPUMBU katia doa, wamechukua msukule, walidhani wametukomoa, SIMBA ya kimataifa wenzetu team ya mkoa, ZANAKO wamechomeka YANGA wameshindwa kuchomoaaa, hayo Ni maneno ya mwanzo ya wimbo wa Tundamani Na wasanii wengine,
  12. Master Kutu

    Mke wangu ananinyima tunda, natafuta mpenzi mtu mzima kwa mahusiano ya kujengana kimapenzi na maisha

    Habari ya leo wana jukwaa wenzangu, Mke wangu hataki kunipa tunda hata niki muuliza kila siku anakuwa na sababu tofauti mara nime choka, mara leo naumwa nashindwa kuelewa kwanini ananifanyia hivyo yaani nabaki na maumivu yangu. Na ukianagalia sijawahi kuwa na mpenzi wa nje kwahyo ni jambo...
  13. Stephen Ngalya Chelu

    Ni chakula, tunda au kinywaji gani unaona kipo overrated/underrated?

    Kwa upande wangu, Underrated Makande: Nimekuwa nikiona watu wakiyadharau sana makande eti kwamba ni chakula cha ajabu ila kwa mimi naona makande hayapewi heshima inayostahili. Jamii zote za makande kama; makande njugu, makande maharage zina mabalaa yake. Halafu itokee siku hiyo likachanganuwa...
  14. J

    Maajabu ya Tunda la Parachichi

    Mbegu ya Parachichi ina muonekano kama Mtoto akiwa ndani ya mji wa mimba Kama ilivyo kwa mimba, Parachichi huchukua miezi 9 hadi kukomaa kwake Parachichi husaidia afya ya Mama Mjamzito na ukuaji wa mtoto aliye tumboni Parachichi husaidia kupunguza uwezekano wa mtu kupata Saratani ya Kizazi
  15. The MaskmaN

    Wanaume: Ilikuwaje mara yako ya kwanza 'kula tunda'

    Hello Guys Leo ningependa tushee visa, hisia, vituko n.k Ilikuwaje kwa mara yako ya kwanza kupata utamu/kuingiliana na mwanamke/ku do /kula tunda /kuonja papuchi? Mie nakumbuka ilinichukua takribani Nusu Saa kusimama kwa Hofu niliyopata mpaka mdada wa watu akaanza kuingiwa na Wasi wasi lakini...
  16. Mr Q

    Tundaman - True Love. Wimbo huo unatoka lini?

    Nimeona vipande kadhaa youtube na tiktok kwakweli wimbo una mahadhi fulani ninayo yakubali. Naomba kujua wimbo huo watoka lini au kama umeshatoka weka link hapa.
  17. yuda75

    Tunda limekuwa rahisi sana kupata tofauti na zamani

    Wahenga waeshimiwe. Zamani ulikuwa unaweza mlilia mtu miezi mitatu unaishia kuoneshwa chupi na upati kitu, tunda unalisotea miaka na miaka unaambiwa mpaka ndoa. Oooooooh sasa hivi ukisema tu suuu wanasema swaaaaaa ilo apo mmekutana asubui jioni unaitwa mume na tunda unapewa. nawapa salama...
  18. Mung Chris

    Mnaoishi chumba kimoja na mtoto/watoto wenu kuanzia miaka 4 huwa mnafanyaje mkitaka kutimiza haja zenu?

    Wadau walio na experience ya kuishi chumba kimoja na mtoto/watoto wenye umri wa miaka 4 huwa mnafanyaje mkitaka kula tunda iwe mchana au iwe usiku. Wengine watoto wao hawana wa kucheza nao kwamba waende wakacheze ili mmalize haja yenu.
  19. ragin

    Tunda la mzeituni

    Tunda hili navyosikia ndio tunda walilokula Adam na Hawa na ndio hilihili Mungu aliwakataza wasile. Kama ni Kweli hilo ndio tunda lenyewe naomba nielezee kidogo na kama sitakuwa sahihi mnisahihishe. Kwanijuavyo ni kuwa maana ya lile tunda walilokatazwa ni kutokufanyana, kwa bahati mbaya...
  20. J

    Askofu Gamanywa: Haki ni tunda la utii wa sheria vs Shehe Kishki: Haki ni tunda la uhuru wa binadamu. Ipi ni sahihi?

    Askofu Gamanywa ameitafsiri Haki kama tunda la utii wa sheria na kwamba Sheria ndio hutoa haki. Gamanywa amesema Amani ni muhimu kuliko haki kwa sababu Haki hubadilika badilika kulingana na mabadiliko ya sheria lakini Amani iko pale pale. Naye shehe Kishki ametofautiana na askofu Gamanywa kwa...
Back
Top Bottom