thread

  1. J

    Hoja za Kishingo special thread

    Salaam, Karibu kwenye uzi huu ambao utakuwa na hoja mbalimbali zinazoibuliwa na kishingo: Nini mtazamo wako?
  2. K

    Sikubaliani na mabadiliko ya Katiba yenye lengo la kumpunguzia madaraka Rais

    Ni siku nyingine Mwenyezi Mungu ametujalia kuiona, tukiwa wazima wa afya na amani ya kutosha. Mungu ni mwema nyakati zote. Kama ilivyo kawaida, waona mbali huwa hawaeleweki kwa 'matomaso' na hawa ni mpaka waone ndio waamini na hivyo jukumu letu sisi waona mbali ni kuwasaidia 'matomaso' before...
  3. Hemedy Jr Junior

    Thread kwa wasomi wa JamiiForums acheni dharau

    Ubora wa elimu yako ni kile ulichosoma na kukielewa mwisho kukitendea kazi. we umesoma afu uko unadhurura na vyeti maofisi ya watu miaka nenda miaka rudi leo hii mnamtusi kijana aliyeishia darasa la saba 🤔 Mtu kuishia darasa la saba/form 4 sio kwamba akuwa vizuri kiuelewa hapa zipo changamoto...
  4. Mamujay

    Thread maalum ya watumiaji wa Pikipiki ya TVS

    Tukutane hapa , Kwa mawazo, Changamoto Michongo n.k
  5. B

    Kukataliwa baada ya kutongoza kunafanya wanaume wengi wawaponde wanawake mtandaoni

    Pamoja na mapungufu waliyonayo wanawake kwenye mahusiano ya kimapenzi, haimaanishi kuwa sisi wanaume hatuna mapungufu yetu, ukisoma Between the lines kwenye thread wanazoleta humu wanaume, mara (wanawake mnaoringa Nawasubiri mkifika miaka 30) mara "kataa ndoa" etc ukisoma kwa undani utagundua...
  6. Financial Analyst

    Ebu screenshot kitu chochote interesting

    .
  7. Russia is not your enemy

    Tigo hamna special thread lakini nilitaka sema neno

    Kwa Sasa ni mwendo wa kopa weka kopa weka. Tena Sasa ni kopa nyingi weka kidgo najua mnapata sana Inaitwa hakuna namna. Maisha ni magum na lazima yaendelee. Tumuombee Rais Samia, Maisha sio poa. Mimi sio CHADEMA nilisikia wakuongea hiki kitu. Milo ni mi4 Kwa wiki trust me.. Mlo unaliwa saa...
  8. Lexus SUV

    Karibuni tujadili maisha ya ujanani na masuala mengineyo ya kimaisha

    Habari, Karibuni katika uzi huu pendwa wenye dhima na dira maalumu ya kujadili maisha ya ujanani, kwa kuangazia opportunities, weakness, strength za Rika hili la ujana linalo anzia miaka 18 mpaka 35 kwa sheria za hapa kwetu Tanzania. Vile vile hata kujadili masuala mengineyo ya kimaisha kama...
  9. Wildlifer

    Runners (Wakimbiaji) | Special Thread

    Kuamka Alfajiri, au nyakati za jioni kuvaa kiatu, kwenda uwanjani, kuifuata barabara nyoofu. RUNNERS. Uzi huu naomba uwe maalum kutukutanisha wakimbiaji, tupeane dondoo za ukimbiaji, takwimu za kila siku tukimbiapo (stats), njia nzuri za kukimbilia (routes), teknolojia n.k. Morning runners.
  10. ChatGPT

    Liverpool vs Manchester United (5/3/2023)-Limited Edition Thread

  11. M

    Chama cha Walimu (CWT) special thread

    Habari wakuu, hope wote ni wazima. Pasi na kupoteza muda ni ende kwenye lengo la Uzi huu. Awali yoyote mm ni mwanafunzi wa shahada ya kwanza ya ualimu katika moja ya chuo kikuu apa Tanzania mwaka wa pili. Napenda kushauri na kutoa mawazo Yangu kuwa, ni Wakati sasa walimu kwa kushirikana na...
  12. Kingsmann

    The Last of Us Series Thread

    Naweza Kusema Kwa Umbali Mkubwa Sana Hii Ni The Best Videogame Ambayo Imewahi Kupelekwa Live-Action Na Kuwa TV-Series Kwenye Kiwango Bora Leo Tunaanza Na Episode Ya Kwanza Ijulikanayo Kama "When You’re Lost in the Darkness. PILOT Episode Ya Kwanza Inaanza Na Mazungumzo Ya Kwenye Televisheni...
  13. T

    Thread Maalum ya kutiana moyo na ushauri wa Kisaikolojia

    Hii thread ni maalumu kwa ajili ya kutiana moyo kupeana ushauri mbalimbali wa kisaikolojia, sosholojia, falsafa nk. Una jambo lolote kutoka chanzo chochote la kutusaidia wana JF unakaribishwa.
  14. Gavana

    Majibu kwa thread, "Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?"

    Miongoni mwa masuala ambayo wamishenari wa Kikristo wanayatumia kupinga Qur'ani Tukufu ni kifungu kifuatacho. "Wanakuuliza juu ya Zul-Qarnain. Sema nitakusomea khabari zake. Hakika sisi tuliuweka uwezo wake katika ardhi, na tukampa njia na njia za kila jambo. Njia moja (hiyo) akaifuata. Hata...
  15. Double line

    Thread ya single boy na wanaume ambao hawajawahi kushiriki tendo la ndoa (bikra wa kiume)

    Kama uzi unavyosema, kwa wale wanaume masingle namaanisha hana mke na yupo katika kutafuta ubavu wake wa kushoto na wale wanaume waliotunza heshima kwa ajili ya mke mtarajiwa (bikra wa kiume) Tungependa mtugee mrejesho wa yale mnayopitia; namaanisha raha za kuwa katika mahusiano na changamoto...
  16. Nakadori

    Machimbo mazuri ya kupata bidhaa mbalimbali Kariakoo kwa bei nafuu

    Wapendwa week end inaendaje? Wanasema kizuri kula na mwenzako....na nomeona niwashirikishe fursa hii adimu hasa kwa wale wanaofika kariakoo na kujikuta wanauziwa bei ghali kuliko hata huku mtaani... [emoji117][emoji117][emoji117] SOMA HAPO UKIPENDA SAWA USIPOPENDA PITA KIMYA Ngoja nikupe...
  17. Poker

    Newcastle United (special thread)

    Jina kamili: Newcastle united Jina la utani: The Magpies Kuanzishwa: 1892 Uwanja wa nyumbani: St. James Park (uwezo mashabiki 52,000) Wamiliki: Public investment fund 80% , RB Sports & Media 10%, PCP Capital Partners 10%
  18. marehem x

    Katika maisha fanya mambo kwa kiasi

    Mimi Nina 45 na sina tatizo lolote kiafya. Kimoja Kwa Afya. Katika Umri wote nilioishi na Allah ananipa punzi najistukia na kuona kila kitu naona ni muhimu kila jambo kufanya kwa kiasi. Hata kumpenda wife nampenda kwa kiasi sio nipoteze nguvu zote kumuangukia na kununua mazawa kibao. Pipi tu...
  19. Lyrics Master

    Tupia wimbo wowote wa Reggae unaoupenda

    Habari ya Asubuhi Wakuu, Naona Week end ndio imeshaanza. Tupia Song lolote la reggae unalolikubali. Mimi nimeanza na hilo.
  20. Teslarati

    Special Thread: The 2am/5am Club

    Salute comrades, Nimefikiria kuanzisha hii chat kwa wale tunaolala saa nane usiku(2 am) au kuamka saa kumi na moja alfajiri (5 am) sababu ya majukumu mbalimbali ili tuweze kushare vitu mbalimbali kama vile: 1) Tips za kuwa productive kazini. 2) Work-life-family balance. 3) Diets. 4) Life...
Back
Top Bottom