mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 682
- 1,461
Ifikie hatua ukweli ujulikane, Hivi kauli ipi kati ya hizi mbili iliyokuwa ikiashiria ukweli ndani yake?
Tuanze na Haji Sunday Manara, huyu akiwa afisa habari wa klabu ya Simba Kwa wakati huo aliwahi kunukuliwa akiwadhihaki mashabiki wa Yanga kwa kusema kule Yanga wenye Akili ni watu wawili tu.
Ukichunguza zaidi hii kauli yake utaona ilikuwa ni ya kishabiki zaidi maana alikuwa akiwatukana washabiki wa Yanga ambao walikuwa wakimzodoa mara kwa mara.
Upande wa pili Tukiiangalia hii kauli ya Mashabiki wa Simba ni Mbumbumbu ilitolewa na Aden Rage Mwenyekiti wa klabu ya Simba tena aliyekuwa madarakani Kwa kipindi hicho.
Kitu cha kushangaa zaidi ni kuwa ndugu Rage aliyatamka maneno haya ndani ya mkutano mkuu wa klabu ya Simba kwa kuwaita wanasimba wote ni mbumbumbu
Kwa maoni yako mdau wa Michezo wewe unadhani kauli ipi ilikuwa sahihi kimantiki?
Tuanze na Haji Sunday Manara, huyu akiwa afisa habari wa klabu ya Simba Kwa wakati huo aliwahi kunukuliwa akiwadhihaki mashabiki wa Yanga kwa kusema kule Yanga wenye Akili ni watu wawili tu.
Ukichunguza zaidi hii kauli yake utaona ilikuwa ni ya kishabiki zaidi maana alikuwa akiwatukana washabiki wa Yanga ambao walikuwa wakimzodoa mara kwa mara.
Upande wa pili Tukiiangalia hii kauli ya Mashabiki wa Simba ni Mbumbumbu ilitolewa na Aden Rage Mwenyekiti wa klabu ya Simba tena aliyekuwa madarakani Kwa kipindi hicho.
Kitu cha kushangaa zaidi ni kuwa ndugu Rage aliyatamka maneno haya ndani ya mkutano mkuu wa klabu ya Simba kwa kuwaita wanasimba wote ni mbumbumbu
Kwa maoni yako mdau wa Michezo wewe unadhani kauli ipi ilikuwa sahihi kimantiki?