Habari ndugu Watanzania,
kuna sintofahamu kubwa inayoendelea huko Ngorongoro katika jamii ya Wamasai kuwa na mgogoro na Serikali.
Tuelimishane hapa kwenye huu Uzi kwa wale wenye uelewa wa huu mzozo na tuondoe sintofahamu iliyopo kwa Watanzania kuhusiana na huu mgogoro.
JE, nini chanzo Cha...
Pamoja na Tanzania kukubalika na wengi kwamba imeishikilia bendera ya rap ya Afrika Mashariki kwa historia yake yote, mchango wa hawa jamaa kwenye sanaa si wa kubeza.
Saigon was in his bag on this one
Vigeti pekee can flow with the best of them
Haki kwa wana Ngorongoro na popote...
Full name: The University of Dodoma
Shortform(s): Udom
Founded: 2007 as State Huge University in the country
Location: Dodoma Capital City
Website: udom.ac.tz
Mods please put this thing 📌 on this university thread
Mambo mengi ya Chuo hiki yanapatikana kwenye link chini. Ndio maana...
RS Berkane
Renaissance Sportive de Berkane (Arabic: النهضة الرياضية البركانية) commonly known as Nahdat Berkane or RS Berkane for short, is a Moroccan sports club based in Berkane, Morocco. The club's football team is currently playing in the first division of Moroccan championship Botola. The...
Habarini za muda huu wakuu,
Leo nimeona tuzungumze jambo moja hasa kwa sisi WANAUME.
Nimeanzisha thread hii kwa ajili ya sisi kujadili "mambo yetu" kwa lengo la kufundishana, kuhabarishana, kuonyana na kuelekezana kadiri ya "miiko ya jinsi ya kiumeni"
Najua kuna watu wataniona mtu wa ajabu...
Salaam wakuu,
Nimeleta uzi huu uwe maalumu kwa ajili ya kujikumbushia kwa picha hali ya mambo mbalimbali yalivyokuwa miaka ya 90 na yalivyobadilika kwa sasa.
Wale wazee wenzangu tutiririke watoto wajue tulikotoka
Mara nyingi mtu akipata Mafanikio kidogo tu anaanza dharau na kuwaona ambao hawajafanikiwa kuwa ni wajinga
Kwanza vijana wa Tz wanapambana sana sema sera Mbovu ndo zinawarudisha nyuma .
Mtu anaishi Maisha yake hajakuomba chakula wala unga then unamuita Mjinga huu Ni upuuzi .
Mtu unasikia...
Uzi wa awali ulieleza jinsi Urusi alivyopoteza, Vitani ila huu utaangalia Uchumi na uwekezaji
MAUZO
Mauzo nje yameshuka kwa asilimia 30 tokea amewekwa vikwazo
Hungary imesitisha uingizaji wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 20%
Ufaransa imepunguza utegemezi wa mafuta ya Urusi Kwa asilimia 30%...
As humans, we naturally connect to people and build bonds and relationships over time. We can miss people for a multitude of reasons, but one thing is for sure, once that emotion arises, it can be hard to shake it. When you miss someone there's no denying that raw emotion. You can't get it out...
Habari Wanajamvi baada ya kukaa na kufikiria nilipitia nyuzi nyingi zinazo husiana na web development ila sikupata nilicho hitaji.
Kwenye huu uzi nitafundisha HTML, CSS na JAVASCRIPT kwa lugha isiyo sanifu na fupi kufanya kueleweka sana.
Pia Uzi huu utumike kama mahala pa kuuliza chochote...
Hapa tutakuwa tunashare picha tulizopiga au picha zilizopigwa na wapiga picha wengine ila zimetuvutia. Ikiwezekana vile vile tutakuwa tunaweka tips jinsi gani tumepiga picha, post processing etc etc.
Tukiweka picha za wapiga picha wengine tujaribu kuweka source na jina la mpiga picha.
Hii...
Nawashukuru sana mods JamiiForums kwa kufanikisha hili, pia members wote humu mmeni inspire kwa michango yenu mizuri ikafanya mpaka nikaamua kujiunga.
Ahsante sana, itapendeza kama mkanikaribisha kwa Likes, comment, ..
Feng shoi au horn flower ni kati ya samaki bora kabisa kati ya waliochaguliwa kutengeneza mazingira ya furaha na kuvutia katika mazingira ya nyumbani. Kwa afya bora. Samaki huyu ana aminika kuleta bahati.
Hapa ni mahala salama kwa mpenzi wa Dream League Soccer(DLS). Game hili limetengenezwa na Kampuni ya FIRST TOUCH SOCCER(FTS). Game la DLS ni game bora zaidi kwa sasa duniani kwa upande wa soccer.
SIFA PEKEE YA DLS
1. Linachukua nafasi ndogo kwenye simu. Pamoja na ubora wake wa graphics bado...
Introduction
Nimeamua kuanzisha uzi huu mahsusi unaohusu Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kama njia ya kukienzi chuo hiki kikongwe na cha kipekee nchini Tanzania na duniani kwa ujumla. Awali ya yote naomba ku declare interest kwamba mimi ni mhitimu kutoka SUA miaka mingi iliyopita wakati...
Michuano ya Afcon imefika, ni hapo kesho ndio inatarajiwa kuzinduliwa. Itafanyika kuanzia kesho Januari 9 mpaka Februari 6 mwaka huu.
Michuano hii ilibidi ifanyike mwaka jana 2021 ila kwasababu ya Covid-19 ikahairishwa. Hivyo inafanyika mwaka huu ila ina jina la mwaka jana.
Mwenyeji wa...
Habari wanajukwaa, kwa wale wapenzi wa music production tupeane mawazo mapya kwenye utengenezaji muziki, kuanzia utengenezaji wa melodies, drumkits na sounds nzuri zaidi.
Vilevile sound engineers kama wapo wanakaribishwa.
Sina uhakika kama thread ya aina hii imeshatengenezwa, lakini itasaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.