thread

  1. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Kwaresma na Pasaka Special Thread

    Amani iwe kwenu watumishi wa MUNGU katika kristo YESU Tumsifu YESU KRISTO. AMINA Tumshukuru MWENYEZI MUNGU kwa kila jambo hasa kwa kumtuma mwanae aje atukomboe . AMINA PASAKA ni nini pasaka ni kuteseka/mateso/ kifo/kufa/na kufufuka kwa YESU KRISTO PASAKA ilianzia misiri lakini badae wana...
  2. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Nostalgia threads: Nyuzi za kwanza

    Kwema! Hizi ni baadhi ya nyuzi za miaka iliyopita zenye kuhabarisha, kuburudisha, na kufundisha.
  3. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Kama unapenda mwenyezi Mungu usipite hapa bila kulike hii thread na kucomment

    Kama unapenda mwenyezi Mungu usipite hapa bila kulike hii thread na kucomment "Asante Mungu"
  4. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania AFC Bournemouth (The Cherries) The Special Thread

    Full name: AFC Bournemouth Nickname(s) The Cherries Boscombe Founded: 1899; 126 years ago (1899) (as Boscombe) Ground: Dean Court Owner: Black Knight Football Club UK Limited Chairman: Bill Foley Manager: Andoni Iraola League: Premier League Website: afcb
  5. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania FCSB(FC Steaua București) Special Thread

    Nickname(s): Roș-albaștrii (The Red and Blues) Founded: 7 June 1947 President: Valeriu Argăseală Head Coach: Elias Charalambous League : League 1 Website: fcsb
  6. Daughterrr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sio kila mtu ni muandishi mzuri wa thread..

    Sababu sitaki kuamini JF imejaa wahuni tupu, nimekuja tena na ntakuja tena na tena mbaka nipate mtu wa maana, mana kutongoza siwezi labda sababu mm ni mdada sijui. Mmoja alikua chapombe nkampotezea Mmoja alikua malaya nkampotezea yeye siku ya kwanza tu alitaka game...aloo! Mmoja alikua...
  7. Powell Gonzalez

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kuanzisha thread kisha kuwa na zero replies?

    Ulishawahi kuandika uzi then ukawa na zero replies yaani hakuna mtu kajibu chochote? ulijisikiaje?😅😅😅😅
  8. GadoTz

    JamiiForums Tanzania Simulizi, Mikasa, Vitimbi na Visa vya wasanii wa zamani wa bongo fleva - A special thread

    Hii ni thread maalum ya simulizi mbalimbali pamoja na visa, mikasa na vitimbi vya wasanii wa zamani wa bongo fleva. Stay tuned....
  9. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Kwa heshima kubwa. Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno. Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa . Kushindwa...
  10. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Je, Erick Kabendera hajaiba thread zetu humu JF kushibisha kitabu chake kimhusucho Magufuli?

    Yeah! Nadhani tunakumbuka jinsi bwana Yericko Nyerere alivyotuhumiwa kuiba nyuzi za wana JF kuandika vitabu vyake anavyoviita vya kijasusi hata akawapiga watu pesa Kwa kuwauzi vile vitabu. Sasa hivi kijana wetu Erick Kabendera amekuja na kitabu chake ambacho kwa kiasi fulani kimemgusia...
  11. Fortilo

    JamiiForums Tanzania Low IQ Thread: Mada nyepesi hapa, we listen we dont judge

    Wakuu Heri ya Mwaka Mpya 2025. Hii ni thread ya mada nyepesi.. Andika kitu chochote unachofikiri lakini unaogopa kukianzishia uzi... Mada nyepesi tafadhali...
  12. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Maneno ya mkosaji special thread

    Ndugu zangu huku tukisubiria mwaka mpa tutumie huu uzi kujuzana maneno ya wakosaji, yaani yale maneno wanayotumia wasionacho kujifariji wakiowaona wenye nacho. Mimi nitaanza na haya. "Kwani IST nayo gari sasa" (hapo jamaa anasubiri foleni ya mwendokasi Kimara - Morocco "Huyo dem tumegonga sana...
  13. Dialogist

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD: Heri Ya Sikukuu ya Christmas 2024 Na Mwaka Mpya 2025.

    Welcome On board... Nawatakia wadau wote wa JamiiForum, wakiwemo members na non members na Uongozi mzima Wa JF, ukiongozwa na Director Maxence Melo, heri ya sikukuu ya Christmas 2024 na mwaka mpya 2025. Bwana Yesu amezaliwa kwa ajili yetu, basi tuende tukahubiri upendo na amani, kwetu na kwa...
  14. Mwakawasila

    JamiiForums Tanzania USIPOELEWA NA HAPAA NAFUTA THREAD

    Ninaandaa mpango wangu WA BIASHARA Kisha naanza kuifanya baada ya kuona Sina kiwango Cha kutosha Natangaza watu wanao WEZA kudhamini BIASHARA yangu Kwa makubaliano ya kugawana faida Kwa hiyo kutokana na kwamba namimi nimeweka mtaji namimi nakuwa mmiliki wa kampuni Na nakuwa na Baadhi ya haki...
  15. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Dog Lovers Special Thread

    Huu ni Uzi maalum kwa wapenzi wa mbwa, wafugaji na wafanyabiashara wa mbwa, wauza madawa na tiba za mbwa, wauza vyakula vya mbwa, na wadau mbalimbali wa mbwa.
  16. GemMaster II

    JamiiForums Tanzania Jamiiforums GYM (mazoezi ) thread

    Wakuu mambo vipi....Binafsi sio mkufunzi(gym trainer) ila napenda sana mazoezi na ninayajua mazoezi kuliko hata hawa wanaojiita ma-trainer,nimeanza kupenda mzoezi ya gym nikiwa form 3 (2013) so unaweza kuona nina experience ya miaka 11. Mazoezi pia yanaambatana na aina ya vyakula tunavyokula...
  17. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Nilitegemea kukura (live) special thread ya uchaguzi mkuu wa marekani.

    Badala yake ni nyuzi za kugogeana mademu huko afrika ya kati. Kina Nyani Ngabu Mzee Mwanakijiji Yoda na Kiranga sijui mnaishi marekani ya wapi!!
  18. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Sinza (Sin city) special thread: Burudani, Vimbwanga na Starehe unazoweza kuzipata

    Nimefikiria kuanzisha uzi kuhusu hii pande ya mji wa dar es salaam tupate kushirikishana mambo kadhaa. Ukiona pisi kali kapanga sinza anakaa kigetogeto na hana kazi maalum, mkuu usitongoze wewe uliza tu bao moja sh ngapi. Wanaume watanashati kupitiliza huko sinza wengi sio riziki. Kama ni...
  19. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania THREAD ya ku-expose aina tofauti za utapeli unaofanyika ili tusaidiane kutoingia kingi kirahisi.

    Wauzaji feki wa sabuni za kuoshea choo: Unakuta wame print kabisa na tshirt ya jina ya biashara yao. Wana target wale wanaonunua jumla. Ukifungua sabuni unakuta mimaji milaini mitupu. Wanaojifanya Afisa wa TRA: Unakuta mfanyabiashara anapigiwa simu na mtu anaejitambulisha kama mfanyakazi wa TRA...
  20. Double line

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kupeana fursa za kazi na ajira

    WAKUU HUU UZI MAALUMU WA MAJOBLESS Wakutiana Moto na kufarijiana kwa yote tunayopitia vile vile kupeana fursa na taarifa kuhusu utafutaji kazi NIANZE NA MIMI Huu mwezi wa pili tangia nisimamishwe kazi nilipokuwa nafanya kazi NI mkoani geita geita gold kutokana na kashfa ya pombe nimerudi dar...
Back
Top Bottom