thread

  1. Mario Kempes

    Safari za Maulid Kitenge Marekani

    Hivi huyu mwamba huwa ana makazi huko? Au anafanya biashara gani huko kwa Joe Biden? Maana kwa mwaka mmoja anaweza kwenda Marekani hata mara nne au tano! Juzi tu hapa kabeba familia nzima kwenda nayo huko akiwemo mama yake mzazi. Jamaa yuko vizuri! NB: Mapovu pelekeni mkafulie
  2. Daktari wa Manchester

    Uber facts thread

    Habari za mda huu .. twende Uber facts thread 'Harvard University is older than the United States' 'Denmark and New Zealand are jointly ranked as the least corrupt countries in the world' 'About 8.9% of the world's population — 690 million people — go to bed hungry every night' 'Smoking...
  3. S

    STREET KNOCKOUTS special thread

  4. Trayvess Daniel

    Unyanyasaji wa haki za msingi za watotoa mashuleni umulikwe. Kiambatanisho kwa thread kifike mbali

    Wazazi tuungane kukemea hili. Tunazalisha kizazi cha watoto wajinga in the name of performance. Sisi tulienjoy shule ya msingi. Saa nane kamili unarudi nyumbani. Siku za michezo ni michezo kwelikweli Na baadhi yetu tumesoma shule zina mchaka chaka asubuhNa Na bado tulifaulu vizuri msingi...
  5. C

    True Crime Thread: Updated Regularly

    Ni usiku wa manane Ronnie Jr anasikia makelele baba na mama yake wanabishana. Anawafuata sebuleni anakuta damu zimesambaa sebule nzima, baba yake ameshikilia bunduki aina ya shotgun kumuelekea mama yake. Baba, Ronnie Oneal, alipoona mwanae amefika pale akamuamrisha atembee kuzunguka sebule huku...
  6. Kulwanotes

    'Traditional' Vs 'Modern' ways of life

    A traditional border between tribes, guarded by a Dani man on a watchtower, from the Baliem Valley of the New Guinea Highlands. A modern border between nations, guarded by remote-controlled cameras on a U.S. Customs and Border Patrol watchtower, at the border between the United States and...
  7. Light Saber Imetosha Sasa

    Penzi la udanganyifu

    PENZI LA UDANGANYIFU. Ilinyesha kama haijawahi kunyesha hapo awali, siku ile ilikuwa ni ya kipekee. Nilionekana nadhifu na mtanashati ndani ya suti yangu nyeusi, na nilinukia kama mfalme. Sikutaka chochote zaidi ya kutegemea mazuri kutwa nzima. "Siyo mimi ni wewe" Nilipokea ujumbe kwenye simu...
  8. Nairobi Gossip Club

    East Africa DJs & Mcs current events special thread✅

    a thread for all DJs and Mcs around East Africa to show their performance content and cross share ideas among us during this hard times.welcome all🙏🙏🙏
  9. Wakusolve

    Mbeya kwanza FC special thread

    Kama wewe ni mpenzi wa timu hii ya Mbeya iliyopanda daraja msimu huu karibu tujadili mambo gani muhimu yanatakiwa ili timu hii isishuke daraja.Katika maandalizi ya kuelekea ligi kuu timu hii imechukua kombe liloanzishwa na mkuu wa mkoa wa Mbeya baada ya kuifunga timu ya Ihefu fc.
  10. yuda75

    Atletico Madrid (special thread)

    YOUR WELCOME FANS
  11. Tlmau

    Viwango vya riba (Interest rate) thread

    Habari,naitwa Titus Devis.. karibu sana tuongee kuhusu viwango vya riba au interest rate kwa lugha ya kigeni Kwanza kabisa tuanze na viwango vya riba ni nini (what is interest rate) -Viwango vya riba ni kiasi cha pesa ambacho kinaongezeka kwenye pesa ambayo mkopaji amekopa baada ya muda...
  12. Shadow7

    Borussia Dortmund (The Black and Yellows) - Official Thread

    WELCOME TO BORUSSIA DORTMUND OFFICIAL THREAD Ballspielverein Borussia 09 e. V. Dortmund, commonly known as Borussia Dortmund [boˈʁʊsi̯aː ˈdɔɐ̯tmʊnt],[2] BVB, Full name Ballspielverein Borussia 09 e. V. Dortmund Nickname(s) Die Borussen Die Schwarzgelben (The Black and Yellows) Der BVB...
  13. data

    Rais Wa JMTZ saivi yuko wapi, Dar au Dom!? Special Thread..

    Wataalam wa AVIATION INDUSTRY watipigie hesabu... Yani How!?? Bomberdier au Dreamliner linapaa juu .. Hovyohovyo.. Tupeni bili..kodi.... Je!? Ni kodi za mafukara ndo zaMrusha mama!?? Lakini ile ndege ya Rais iko wapi!? TuloambiwA hata tule nyasi..!!!?
  14. D

    Halotel anzisheni special thread

    Halotel anzisheni special thread tuweze kuwafikia na kutoa malalamiko yetu dhidi ya huduma zenu mbaya. Mfano. Ukipiga simu huduma kwa wateja haipokelewi. Unaweza kununua bando ikachukua muda mrefu kabla huduma haijarejeshwa. Kumbukeni wengi tulihamia halotel baada ya kampuni kubwa kujisahau...
  15. Hat-Trick

    Special Thread: Picha za Wanaume wenye mvuto World wide. Tupia picha Only Handsome men

  16. Darucha

    Thread maalum kwa wapenzi wa movie za zamani za Kihindi pamoja na mastaa wake

    Daah aisee movie za kihindi zamani zilijua kutukamata kulikuwa hakuna watafsiri lakini tulizielewa balaa. Miaka ya 80's huko wazazi wetu na wenyewe walikuwa na mastaa ambao waliwakubali Kama Dharmendra, Amitha Bachan, Shratugansina, Mithun chaklaboth, jitendra, huku maqueen wao wakiwa Kama...
  17. T

    Taarifa za usajili wa Wachezaji mbalimbali kwa mwaka 2021/2021 special thread

    Kwema wadau, Katika thread hii tutakuwa tukipeana Habari za usajili wa wachezaji kwa msimu 2021/22 kutoka nchi mbalimbali na ligi mbalimbali duniani. Kuna baadhi ya timu zimeshakamilisha usajili wa baadhi ya wachezaji ambapo: ULAYA, David Alaba from Fc Bayern to Real Madrid Memphis Depay...
  18. D

    Zanzibar | Special Thread

    Nimehisi nijaribu kuanzisha huu uzi kwa ajili ya kupeana support ya baadhi ya changamoto. Kwa wale wote wanaoishi Zanzibar au wanaopanga kwenda kuishi Zanzibar, Au kwa wale wanaotaka kwenda kwa ajili ya matembezi na menginayo. Hii thread tutasaidiana kwa ajili kuelekezana mambo tofauti ikiwemo...
  19. Mutaitina

    Kenya WSR 2021 Rally

    My Kenya brothers a thread show us what's happening in Vasha
  20. Its Pancho

    Uzalo Special Thread

    Wakuu kwa wale wapenzi wa Isidingo tuliipenda sana lakini hakuna kisicho na mwisho. Hivyo kwa sisi wafuatiliaji wa ITV wameamua kutuletea tamthilia mpya ya Uzalo, japo sina hakika kama ni mpya kabisa, ni ya muda kidogo. Kama mwaka juzi Hivyo uzi huu ni wa kupeana sasisho kwa wale watakaokosa na...
Back
Top Bottom