Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,085
- 8,442
Habari Wanajamvi baada ya kukaa na kufikiria nilipitia nyuzi nyingi zinazo husiana na web development ila sikupata nilicho hitaji.
Kwenye huu uzi nitafundisha HTML, CSS na JAVASCRIPT kwa lugha isiyo sanifu na fupi kufanya kueleweka sana.
Pia Uzi huu utumike kama mahala pa kuuliza chochote kuhusu webdevelopment iwe error kwenye codes na vingine.
Basi nitaanza na Utangulizi juu ya HTML ,CSS na JAVASCRIPT chapchap kwa lugha nyepesi.
Tukianza kwa HTML kirefu chake ni "Hyper text markup language" Hii sio programming language bali ni Markup Language hii ni kama mifupa ya website inayotengeneza structure nzima ya ukurasa wa tovuti yetu.
Tovuti ni muunganiko wa kurasa tofauti tofauti za HTML ndani ya HTML tunaweza kuingiza codes nyingne kama CSS na JAVASCRIPT.
CSS kirefu chake ni "Cascanding Style steet" Hii tunaweza fananisha na kuweka ngozi na rangi rangi yaani kustylesh page zetu ili kufanya page kupendeza.
Mfano : Binaadamu Mifupa nilisema ni HTML nikaja nikaweka CSS nikama kuweka Ngozi nywele kucha na kumpaka markup ili apendeze yaani ni kuarrage na kuvipa muonekano gat au ellement za HTML.
JAVASCRIPT hii sasa ni programming language hapa tutaweza kutengeneza Functions kwenye page zetu hata pia kuunda cookies
Kwenye Mwili wa Binaadamu ninaweza sema ni kama Misuli.
Mpaka hapo unamwanga ngoja nivute pumzi alafu ninakuja kuanza rasmi na HTML leoleo.
Utangulizi jinsi ya kudownload na kuinstall mahala pa kuandika codes
1.Html Somo la 1
2.Html somo la 2
3Html somo la 3
4 Somo la nne na muendelezo wote, source codes
Kwenye huu uzi nitafundisha HTML, CSS na JAVASCRIPT kwa lugha isiyo sanifu na fupi kufanya kueleweka sana.
Pia Uzi huu utumike kama mahala pa kuuliza chochote kuhusu webdevelopment iwe error kwenye codes na vingine.
Basi nitaanza na Utangulizi juu ya HTML ,CSS na JAVASCRIPT chapchap kwa lugha nyepesi.
Tukianza kwa HTML kirefu chake ni "Hyper text markup language" Hii sio programming language bali ni Markup Language hii ni kama mifupa ya website inayotengeneza structure nzima ya ukurasa wa tovuti yetu.
Tovuti ni muunganiko wa kurasa tofauti tofauti za HTML ndani ya HTML tunaweza kuingiza codes nyingne kama CSS na JAVASCRIPT.
CSS kirefu chake ni "Cascanding Style steet" Hii tunaweza fananisha na kuweka ngozi na rangi rangi yaani kustylesh page zetu ili kufanya page kupendeza.
Mfano : Binaadamu Mifupa nilisema ni HTML nikaja nikaweka CSS nikama kuweka Ngozi nywele kucha na kumpaka markup ili apendeze yaani ni kuarrage na kuvipa muonekano gat au ellement za HTML.
JAVASCRIPT hii sasa ni programming language hapa tutaweza kutengeneza Functions kwenye page zetu hata pia kuunda cookies
Kwenye Mwili wa Binaadamu ninaweza sema ni kama Misuli.
Mpaka hapo unamwanga ngoja nivute pumzi alafu ninakuja kuanza rasmi na HTML leoleo.
Utangulizi jinsi ya kudownload na kuinstall mahala pa kuandika codes
1.Html Somo la 1
2.Html somo la 2
3Html somo la 3
4 Somo la nne na muendelezo wote, source codes