tena

TENA is a Swedish-based brand of Essity that specializes in products for adults with urinary or fecal incontinence, such as pads and diapers. TENA also produces a youth diaper brand for teenagers and larger children. The company has offices in all of North America, most of Europe, in Australia and New Zealand, and some parts of Asia and Central America. TENA has specific lines for retail and health care. They can be found at grocery, drug and discount stores, in aisles where other bladder control products are sold.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    JamiiForums Tanzania Nimehesabu, Polisi walimpiga Hamza risasi 19 baada ya kuwa ameanguka chini na sio tishio tena kwa usalama

    Nimeangalia video juu ya tukio la huyu mtu anaetuhumiwa kuua askari, na kuangalia kilichotokea. Baada ya kuwa amemaliza risazi katika SMG ya pili aliyokuwa nayo na kunyoosha mikono juu, polisi walimpiga risasi ambayo ilimfanya aanguke chini. Hakukuwa na haja tena kuendelea kumpiga risasi mtu...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Beijing kuvutia tena macho ya watu duniani kutokana na Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi

    Mwezi Agosti mwaka 2008, mji wa Beijing uliandaa michezo ya Olimpiki ya Majira ya Joto, ambayo ilifanikiwa kwa kiasi kikubwa, na kupongezwa na jamii ya kimataifa. Miaka 13 baadaye, mwezi wa Agosti kwa mara nyingine tena, baada ya kufungwa kwa Michezo ya Olimpiki ya Tokyo, mji wa Beijing umevutia...
  3. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Mbwa amedekezwa sasa ana deka na anadeka tena

  4. Nominee

    JamiiForums Tanzania SoC01 Waweza kuniiga. Niliteleza, nikaanguka, nikasimama na leo nakimbia

    Habarini wakuu.Maisha yana funzo kubwa sana,ukiwa na roho nyepesi waweza kukata tamaa. Ilikuwa ni siku ya jumamosi asubuhi,mwezi wa kumi mwaka 2019,miezi miwili tangu nihitimu shahada yangu ya kwanza kutoka chuo kikuu cha Dodoma(UDOM).Nipo zangu nimejipumzisha ndani ya chumba nilichopanga...
  5. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilichotendwa Tabora huku Ng'ambo sina hamu tena!

    Wadau mimi nmekuja Tabora mwezi sasa. Nimekuja kikazi shughuli zetu. So siku zote hizi nalipwa Per diem kama kawaida. Nikawa mara kadhaa napata burdan sehemu mbalimbali mpaka mwenyeji wangu akanileta Sehemu moja inatwa Oxygen. Siku hiyo nikapata lidada la Kiarabu. Mashallaah....lina tembea na...
  6. The Palm Tree

    JamiiForums Tanzania Bishop Rev. Josephat Gwajima kusema neno tena kesho. Unakaribishwa katika ibada kanisa la Ufufuo na Uzima....!

  7. B

    JamiiForums Tanzania Waliohubiri mitano tena kwanini wanahubiri mitano inatosha?

    JPM tuliambiwa mitano Tena, leo hii wakongwe wanasema mitano inatosha. Wamefika point Hadi kwenye gazeti wakaandika mitano inatosha, je Kama wanachama wanaamini mitano inatosha wananchi watalazimishwa na dola kutoa mitano tena au tume itasiadia wananchi kutekeleza kauli mbiu ya mitano inatosha?
  8. D

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Viwanja vyenye migogoro vimeanza kuwa dili, na utoaji wa hati mbili umeanza tena (double allocation)

    Kuweka record sawa! Vile viwanja vilivyokuwa haviuziki kwa sababu ya migogoro utawala wa jpm, sasa vimeanza kuwa dili tena awamu ya sita!. Double allocation imeanza kurudi tena! Nashauri Inchi yetu ipitishe sheria ya kunyonga watumishi wa umma/hususani Ardhi wanaosaini na kuidhisha hati Mara...
  9. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania TANESCO haina tena nguzo za kusambaza umeme majumbani

    Katika Hali isiyo ya kawaida ,Kwa mara ya kwanza tangu awamu ya tano,imetokea Hali isiyo ya kawaida ya kukosekana Kwa nguzo za kuunganisha wateja umeme Tanzania. Hakuna wilaya hata moja nchini insyotoa huduma ya kuwapatia wateja nguzo ili wananchi waweze kupata huduma ya umeme. Kila ukiuliza...
  10. Thailand

    JamiiForums Tanzania Serikali inawahamisha wananchi wasahau na wasiongelee tena TOZO ya miamala ya simu. Wananchi tuendelee kuwalaani viongozi wetu waliotuletea huu wizi.

    Huo hapo juu ni wizi na hujuma za waziwazi tunaofanyiwa na serikali yetu. Cost of living imekuwa kubwa, uchumi wetu wa kusuasia unazidi kuwa hoi hasa wazazi na ndugu zetu wanaotegemea mpesa, tigopesa, airtel money kufanyiwa miamala yao. Fikiria ndani ya ada za miamala kuna 18% kodi inayoenda...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nimerudi tena kwenu nahitaji kazi, nina shahada ya Uchumi na Takwimu

    Habarini wanajamvi wenzangu, Vijana wenzangu, wadogo Zangu na wakubwa Zangu, ndugu jamaa na marafiki nimerudi tena kwenu kwani mwezi may tar24 nilipost hitajio langu kuomba msaada kwa yeyote ambaye anaweza kunisaidia kupata kazi/ Connection yoyote halali popote ndani ya Tanzania hii nimerudi...
  12. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Hatimae mizizi imepewa tena kipaumbele

  13. MSHINO

    JamiiForums Tanzania Ilibaki kidogo tuwe sawa na wazungu

    2017 Ilibaki kidogo tuwe sawa na wazungu, kumbe Hayati Rais wangu aliposema sisi ni donor country alikuwa ana maanisha. Hivi kweli inakuja akilini kuomba misaada kutoka vinchi vidogo km Belgium, Netherlands au Uswis? mfano Ebelgiji inaingia mara mbili katika hifadhi ya serous. BELGIUM...
  14. Jokajeusi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimevuruga kikao cha watu, hakuna ndoa tena

    Wakuu kwema! Jana jumamosi nilikuwepo kwenye Kikao kilichofanyika Tegeta Tangibovu. Kikao kilimhusu mtoto wa Baba Mkubwa, ambaye kiumri anamiaka 29 nikiwa nimemzidi miaka Kama sita hivi. Mtoto wa Baba mkubwa ambaye jina lake linaanzia na herufi J, miezi minne iliyopita yaani mwezi wa tatu...
  15. Shujaa Mwendazake

    JamiiForums Tanzania Tujenge Nchi Kwanza: TBC imeanza tena kutumika kueneza propaganda dhidi ya wapinzani na wanaharakati

    Kuna vipandevya video vinarushwa na TBC online hivi sasa ambavyo vimebeba ujumbe wa "Tujenge Nchi Kwanza" ikimaanisha mengine baadaye. Huu ujumbe unaunga mkono majibu ya Mh Samia kwa kundi la watanzania ambao wameanzisha vuguvugu la kudai katiba mpya. TBC inayotumia pesa za walipa kodi haohao...
  16. mshale21

    JamiiForums Tanzania UVCCM: CCM imchukulie hatua Askofu Gwajima kwa kuhamasisha Watanzania kukataa chanjo ya Uviko-19

    Dodoma. Umoja wa Vijana wa CCM ( UVCCM) umekitaka chama chao kumchukulia hatua Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima kwa kitendo chake cha kuhamasisha watanzania wakatae chanjo ya Uviko-19. Katibu Mkuu wa UVCCM, Kenani Kihongosi ameyasema hayo leo Jumanne Julai 28 2021 mara baada kumalizika kwa...
  17. beijing_07

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Watanzania wawasikilize wataalamu, chanjo za COVID-19 zinahakikiwa na TMDA na Mkemia Mkuu

    Mtangazaji: Tuanze na suala la chanjo, tumepata taarifa kesho Rais Samia Suluhu atazindua utaratibu wa chanjo na yeye atachanjwa. Utaratibu utakuwaje kama umeshawekwa na Serikali? Msigwa: Baada ya kuwasili dozi za chanjo zaidi ya milioni 1, kesho asubuhi mheshimiwa Rais atazindua zoezi la...
  18. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kibonzo: Mgogo aliyeshiba pesa amekua Matonya tena mbabe

  19. Stroke

    JamiiForums Tanzania Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

    Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Aikael Mbowe amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo na kusomewa mashtaka mawili likiwemo la Ugaidi. Mbowe amefikishwa katika Mahakama hiyo leo July 26, 2021 na kusomewa mashataka hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu...
  20. Kurunzi

    JamiiForums Tanzania Tozo kuingia Menu ya Benki wanakata Shilingi 100

    Ndugu Mteja, kuanzia 26 Julai 2021 kila uingiapo kwenye menyu yoyote ya Bank utatozwa Tsh100 kwenye salio lako la muda wa maongezi. Kwa taarifa zaidi piga 100 Naona Mzee wa Kuhamia Burundi amedhamiria tuhame kweli. Tusubiri treni iliyopeleka Mashaki Kigoma
Back
Top Bottom