lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,154
- 33,367
Sio siri CCM ndio ipo madarakani,iwe kihalali ama sio kihalia lakini ndio ipo madarakani.
CCM ndio inayounda selikali,
Ndio inayo unda Bunge na ndio inayoweaka majaji.
Ndani ya serikali kuna vyombo vya dola.
Na ndio inaviweka.
Kwa hiyo hivyo vyombo vote nilovyovitaja navyo ninawajibika kutenda mambo yao kuilinda CCM.
Kwa hiyo CCM hakiwezi kabisa kusimama chenyewe.
Kwa muktadha huo siku CCM ikianguka ndo haita simama tena.
Kwa Akili za kibinadamu unaweza ukadhani CCM haitaweza kutoka madarakani asilani,lakini kiukweli inaweza kutoka hata kesho.
Narudia tena inaweza kutoka hata kesho.
Shupazeni shingo.
CCM ndio inayounda selikali,
Ndio inayo unda Bunge na ndio inayoweaka majaji.
Ndani ya serikali kuna vyombo vya dola.
Na ndio inaviweka.
Kwa hiyo hivyo vyombo vote nilovyovitaja navyo ninawajibika kutenda mambo yao kuilinda CCM.
Kwa hiyo CCM hakiwezi kabisa kusimama chenyewe.
Kwa muktadha huo siku CCM ikianguka ndo haita simama tena.
Kwa Akili za kibinadamu unaweza ukadhani CCM haitaweza kutoka madarakani asilani,lakini kiukweli inaweza kutoka hata kesho.
Narudia tena inaweza kutoka hata kesho.
Shupazeni shingo.