kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,293
- 12,593
Waliotii agizo la serikali la kuondoka bila shuruti kwenye maeneo yasioruhusiwa kwa biashara wanavunjika moyo kuona wenzao waliovunjiwa panoja bado wanaendelea na biashara zao kwenye maeneo yaleyale waliyoyahama. Hii itasababisha yafuatayo:
1. Wanunuzi wasiende kwenye maeneo mapya kutafuta na kununua bidhaa.
2. Waliohama maeneo kukosa wateja na kipato.
3. Waliohama kupata sonona.
4. Waliohama kuwaza kurudi pia kwenye maeneo Yao.
5. Serikali kudharaulika kwa kukurupuka.
6. Kuonyesha kuwa Kuna mvutano ndani ya Chama na serikali na ndani ya Chama na ndani ya serikali.
7. Wamachinga kugombana kwa kulazimisha kurudi kwenye maeneo Yao yaleyale waliyokuwa kabla ya kuvujiwa au kuondoka. Bila shaka maeneo Yao watakuta yanatumiwa na wale amabao wamegoma kuondoka na hakuna wanachofanywa.
Hii ni hatari kubwa sana kwa kiongozi yeyoye anaetoa maagizo yasiyosimamiwa. Rais Magufuli alitufundisha kusimamia maamuzi yako hata kama ulikosea kuamua.
1. Wanunuzi wasiende kwenye maeneo mapya kutafuta na kununua bidhaa.
2. Waliohama maeneo kukosa wateja na kipato.
3. Waliohama kupata sonona.
4. Waliohama kuwaza kurudi pia kwenye maeneo Yao.
5. Serikali kudharaulika kwa kukurupuka.
6. Kuonyesha kuwa Kuna mvutano ndani ya Chama na serikali na ndani ya Chama na ndani ya serikali.
7. Wamachinga kugombana kwa kulazimisha kurudi kwenye maeneo Yao yaleyale waliyokuwa kabla ya kuvujiwa au kuondoka. Bila shaka maeneo Yao watakuta yanatumiwa na wale amabao wamegoma kuondoka na hakuna wanachofanywa.
Hii ni hatari kubwa sana kwa kiongozi yeyoye anaetoa maagizo yasiyosimamiwa. Rais Magufuli alitufundisha kusimamia maamuzi yako hata kama ulikosea kuamua.