rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,192
- 20,165
Biashara United inakabiliwa na changamoto ya nauli kwenda kwenye mechi ya marudiano na hata pesa za waamuzi ilikuwa changamoto, Yule mkuu wa mkoa Yuko wapi au anahaidi mechi ya Simba
Washauri uto na GSM wawamegee mkate ili next season uto ajihakikishie nafasi ya nne kwenda kwenye shirikisho!Biashara United inakabiliwa na changamoto ya nauli kwenda kwenye mechi ya marudiano na hata pesa za waamuzi ilikuwa changamoto, Yule utopolo mkuu wa mkoa Yuko wapi au anahaidi mechi ya Simba
Walezi wa team wanajitokea tu team zao zikicheza na Simba 😂😂😂Biashara United inakabiliwa na changamoto ya nauli kwenda kwenye mechi ya marudiano na hata pesa za waamuzi ilikuwa changamoto, Yule utopolo mkuu wa mkoa Yuko wapi au anahaidi mechi ya Simba
Sija soma umeandikaje?Mkuu was mkoa kaulizwa anasema hawezi kutoa pesa ya mshahara wake kusaidia biashara ni wazi anakiri zile pesa zilikuwa za gsm
Zile Hela ziliahidiwa na RC Hapi ila zikiwa zinatokea Mfukoni mwa GSM na asikudanganye Mtu Hela ya Rais Samia ( ya Hazina Serikalini ) haichezewi hivyo na Mtu kama Ally Hapi anajua fika kuwa Bi. Hangaya hamkubali na anamtafutia tu Kosa ili nae 'amlime' kama alivyofanya kwa Yule wa Mbeya kisha akahamishiwa Mwanza ambaye alikuwa 'akimvizia' Siku nyingi tu kwakuwa nae alikuwa ni 'Team Mkemia wa COET UDSM' aliyeondoka ghafla Ulimwenguni.Biashara United inakabiliwa na changamoto ya nauli kwenda kwenye mechi ya marudiano na hata pesa za waamuzi ilikuwa changamoto, Yule mkuu wa mkoa Yuko wapi au anahaidi mechi ya Simba
Efm walimuuliza kuhusu kuisaidia biashara akadai hawezi kutoa pesa za mshahara wake tayari keshajiumbua ile ahadi haikuwa yake Bali gsm ila ushabiki wake maandazi kwa biashara unaweza kuiharibu timu badala ya kuisaidiaZile Hela ziliahidiwa na RC Hapi ila zikiwa zinatokea Mfukoni mwa GSM na asikudanganye Mtu Hela ya Rais Samia ( ya Hazina Serikalini ) haichezewi hivyo na Mtu kama Ally Hapi anajua fika kuwa Bi. Hangaya hamkubali na anamtafutia tu Kosa ili nae 'amlime' kama alivyofanya kwa Yule wa Mbeya kisha akahamishiwa Mwanza ambaye alikuwa 'akimvizia' Siku nyingi tu kwakuwa nae alikuwa ni 'Team Mkemia wa COET UDSM' aliyeondoka ghafla Ulimwenguni.
Unampangia mkuu wa mkoa kama nani?Biashara United inakabiliwa na changamoto ya nauli kwenda kwenye mechi ya marudiano na hata pesa za waamuzi ilikuwa changamoto, Yule mkuu wa mkoa Yuko wapi au anahaidi mechi ya Simba
Mwanakulitafuta mwanakulipataBiashara United inakabiliwa na changamoto ya nauli kwenda kwenye mechi ya marudiano na hata pesa za waamuzi ilikuwa changamoto, Yule mkuu wa mkoa Yuko wapi au anahaidi mechi ya Simba
Timu sio za serikaliHivi TFF au Serikali haiwezi kuwasaidia? Au hadi wakifuzu ndio tuitafute TBC tuwaonyeshe kwenye TV?
Hivi TFF au Serikali haiwezi kuwasaidia? Au hadi wakifuzu ndio tuitafute TBC tuwaonyeshe kwenye TV?
Si wanasema ni wanajeshi wa mpakani au ni jina tu siyo timu ya jeshi?BIASHARA UNITED NI TIMU KUBWA YENYE WACHEZAJI WAZURI,NINGELIKUWA NA UWEZO NINGELIINUNUA ISAIDIWE HARAKA HATA KWA HARAMBEE,AU CHADEMA IINUNUE TWENDE NAYO KWA HARAMBEE**kuliko kukichangia chama mfu