tena

TENA is a Swedish-based brand of Essity that specializes in products for adults with urinary or fecal incontinence, such as pads and diapers. TENA also produces a youth diaper brand for teenagers and larger children. The company has offices in all of North America, most of Europe, in Australia and New Zealand, and some parts of Asia and Central America. TENA has specific lines for retail and health care. They can be found at grocery, drug and discount stores, in aisles where other bladder control products are sold.

View More On Wikipedia.org
  1. Royal Son

    Usipoteze tena vitu vyako kama funguo,bag wallets

    USIPOTEZE TENA VITU VYAKO! 🔔 ANTI-LOST DEVICE FINDER ✔ Inatunza funguo zako, wallet, begi na vitu muhimu ✔ Inakuonyesha Last Location ✔ Ina Beeping Alarm – italia kukusaidia kupata kitu chako ✔ Rahisi kutumia, ndogo na imara 💰 Bei: Tsh 30,000/= (nafuu kabisa) 📍 Arusha Town 📞 0712 350 159
  2. Sifi Leo

    Mlio karibu na Peter Msigwa na Wenje wambieni wavae sare za CCM za mama mitano Tena wapite barabarani waone kitakachojiri zaidi ya kuwachumu

    Je, Wenje na Peter Msigwa wakivaa nguo za CCM na kuvaa kale kakofia kalikoandikwa mama mitano Tena, tutawachumu au tutawapa zawadi gani? Mimi nitawachumu kwa busu la kenge. "Nyokorikoooooo" wewe je utawafanyaje?
  3. Hance Mtanashati

    Wabongo wengi hawana mikazo, wameshaanza kuwashobokea tena wasanii licha ya kudhihakiwa

    Nimesikitika kuona wabongo wanajirudi tena kwa wasanii kama mazezeta. Idadi ya followers kwa wasanii inaanza kurudi kwa kasi kama hapo awali. Mfano huyu diamond nyodo anawaletea na bado kuna majinga yamejirudisha kum follow upya . Marioo juzi kabla hajatoa wimbo wake alitema shiti za...
  4. stakehigh

    Ukivuka miaka 30 umeshaishi nusu ya maisha yako, maisha unayopambania sio yako tena bali familia yako

    Kwa wale ambao walifanikiwa kuzaliwa katika familia nzuri wakakuta kila kitu kipo, kama walikuwa na akili nzuri ya maisha basi kabla ya miaka 30 wanakuwa wameshamaliza kujitafuta na kuweka msingi mzuri, hata kama sio kwa kiasi kikubwa lakini sehemu inayobaki ni ya kujazia tu. Kwa mfano: Kama...
  5. Ziroseventytwo

    Wale wahanga wa LLB na FIC ndio basi tena?

    Baada ya serekali kuwaokoa wasiendelee na vipigo vikali kwa kufungia hizo kampuni za LLB na FIC kisha kuwakamata waliokuwa wakiendesha hizi kampuni za kitapeli ndio basi tena? Ukimya ni mwingi. Nini kinaendelea?
  6. D

    Ushaaamua kuwa wa moto Mama, acha tena kurudi kwenye baridi

    Hamna haja ya kuwa vuguvugu Mimi ni mtu wa bara lakini nakusapoti harakati zako. Toa Mwigulu WEKA MZANZIBAR Toa Padre IMMA WEKA MZENJI Hakikisha unaisuka timu yako ambayo itabadlisha Katiba isiwe na ukomo wa kugombea, kama unahitaji tena unagombea isiwe ukomo miaka 10, nguvu hiyo unayo maana...
  7. stakehigh

    PostGE2025 Wote wanaotaka kuandamana wamekuwa maadui wakubwa wa wananchi, hakuna mwananchi yuko tayari kukaa ndani tena

    Wananchi wengi wanakasirika sana kuambiwa kukaa ndan kwa sababu wanakosa kufanya biashara zao, ukwel ni kwamba itakapotokea mtu anataka kuandamana tena basi wananchi watadeal nae moja kwa moja kwa sababu hawataki kuwekwa ndan tena Hivyo wanaharakati angalieni siasa mnazofanya saaahv msije...
  8. October 2pm

    Hahaha! Kesho tena twendege hivihivi twataka hadi D13

    Mwatuona wajinga. Siye wajinga wenyu. Mmetupanda kichwani. Hehehe! Yalaa. Na bado. Tutaelewana walahi. Leo mwalala na Viatu. Biye biye biye. Hamjui hata nini kinakuja. Mayii. Kazi inafanyika. Mwaicheza baikoko. Hehee. Nye Nye. Wanaume leo tupo road. Twaenda hivi mpaka D13. Msiwape nafasi. Na bado
  9. Trainee

    Narudia tena; ukifa kwenye kuandamana wewe ni motoni na ukiua wanaoandamana pia wewe ni motoni!!!

    Najua hiyo ni ngumu kumeza lakini hakuna namna isukumieni hivyo hivyo hata na maji Angalizo: Hiyo ni kwa sheria ya uislamu ukipinga lete ushahidi
  10. Mafyangula

    PostGE2025 Hello JF! Siku 90 za kifungo kutoka TCRA zimeisha rasmi, Karibuni wote tuendelee kuenjoy zaidi na zaidi

    Rasmi leo Disemba 6 adhabu ya kufungiwa kwa jukwaa letu pendwa la JamiiForums imemalizika JF Ilipata ban tarehe 6 September 2025 kwa maelezo ya kukiuka Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta kuhusu maudhui mtandaoni Soma Pia: Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia...
  11. R

    Ataua tena? If it were me nawaacha waandamane as long as ni peaceful maandamano

    As long as hawafanyi fujo, acha waandamane. AU NAWASIKILIZA MAHITAJI YAO , TUNAMALIZANA VEMA Ngoja tuone D9. Ataua tena? Time will tell!
  12. Fbn

    PostGE2025 Narudia tena ni kweli tunaenda kupelekea kwenye UDINI sio kebehi ndio washafikia hapo

    Tarehe 5 december nilisema kuwa baada ya watu kumaliza kuswali misikiti yote na kwa nini walipunguza sauti kwenye mawaiza. Sikuwa na nia ya uchonganishi ila kuna mambo ambayo pandikizi tumeyaona kama matamko kudai kwa nini yule msaidi ni mkatoliki kutokuongea. Unajua kwa nini kawa kimya dot...
  13. secretarybird

    Bila VPN JF inashindwa kufunguka. Je, imefungiwa tena?

    Wakuu, Mchana nilikuwa naingia bila kutumia VPN lakini muda huu nashindwa kuingia. Shetani gani tena huyu? Binti wa zamani
  14. Manyanza

    Karibu Jamiiforums tena — mijadala irudi, hoja zijadiliwe, Taifa lijengwe. 🇹🇿✍🏽

    Hongera Jamiiforums Kurudi Hewani Ushindi wa Uhuru wa Kujieleza 👏👏👏 Nawapongeza kwa dhati uongozi wa Jamiiforums kwa ujasiri, uvumilivu na ukomavu mkubwa mliouonesha katika kipindi chote ambacho mtandao huu pendwa ulifungiwa leseni ya uendeshaji. Pamoja na kupewa nafasi ya kukata rufaa...
  15. Mzee Mwanakijiji

    We Double Dare Them: Do it Again...Tunawathubutisha! Fanyeni Tena...

    Na. M. M. Mwanakijiji Ni kana kwamba Oktoba 29 haikutokea. Wanaendelea kutenda kana kwamba yaliyotokea siku ile ya giza ni mambo tu ya kufikirika. Wanaendelea kutenda kana kwamba tunawaonea, tunawasingizia na kuwa yote yanayosemwa ni uzushi tu uliopitiliza. Wanajitahidi kupuuzia, kutokujali na...
  16. Fbn

    Bucha la kitimoto linalipa tena ukiliweka classic

    Achana na biashara za kukaanga kitimoto na sema bucha la kitimoto chenye chuki kubwa duniani ila ndio nyama tamu ya kumtoa ubwabwa jikoni. Watu wanasema fursa hakuna ila fursa zipo japo nchi ya utawala wa ovyo ndio shida. Bucha classic ambalo utatoa maelekezo wasio tumia kuwa sio sehemu yao...
  17. Fbn

    Viburi vinaanza kupungua kuna nini tena mnatoa maneno ya upole

    Si kawaida afande muriro anavyoitisha vyombo vya habari na kutia mikwara ila sasa naona maongezi yake ya mekuwa ya upole. Msemaji wa serikali msigwa kawa kimya.
  18. October 2pm

    PostGE2025 Hamtatumia tena vijana wetu askari kufanya amri zenu haramu

    Polisi wamechoka kuwavumilia nye mazombi. Wamelalamika chinichini imetosha. Nye nye wachukiwe wao na ndugu za kisa matumbo yenyu hehee. Hamtawatumikisha tena walahi. Wanaenda kujikomboa. Mwawapiganisha na raia Nye mwachekelea kwe mavinane hee. Mwawalipa bei ngani mpaka wawaue ndugu zao. Mayi...
  19. Hepatis B

    PostGE2025 Shida hapa Tanzania ni mkakati tu

    Habari wadau. Kiukweli Tanzania tumeshapiga hatua kubwa sana kimaendeleo shida ipo kwenye strategy tu. Hapa ndo tunapofeli. Mipango mikakati hamna kabisa wapi tuanzie wapi tuishie tunafeli kabisa. Uwezi kushinda umaskini kwa maneno. Lazima kujituma na kuwa na mipango. Watu wananguvu sana ila...
  20. The Father of All

    Samia amethibitisha alivyo mdini tena mzembe

    Waliosikia na kuielewa hotoba ya leo ya Samia watakubaliana nani. Ameonyesha kushabikia udini na vurugu. Akiri. Urais hauwezi. Aachie ngazi. Unamfunga mtu halafu unamlaumu. Hii ni haki kweli. Kimsingi, amezidi kumpaisha Tundu Lissu hata kama naye hafai kwa sababu hatujui mipango na falsafa yake.
Back
Top Bottom