FT: Simba 1- 0 JKT Tanzania; ni "Mzee " Chama tena

FT: Simba 1- 0 JKT Tanzania; ni "Mzee " Chama tena

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,195
Reaction score
138,545
simbasctanzania_b4269aceb2864bda80115a7d7059b605.jpg
 
Sahihi mimi mwenyewe ni shabiki wa Simba lakini kwa sasa nimeachana kabisa na ishu za Simba mdogo mdogo. Mitimu ya Kariakoo ya kisenge sana.
Wazo la kupambania nchi inapaswa iwekwe wazi ili watu wajue ni matendo yapi yanayotakiwa kufanywa kama njia ya kuipambania nchi. Kuacha kushabikia Simba na Yanga sio ndio nchi inakombolewa, kuwa watu hawana hobby kabisa na mpira wa Simba na Yanga na wengine hawajui kabisa kuhusu mpira lakini hawana mitikasi ya uharakati.
 
Chamaaaa babaaa
[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Watu wanqmsifia sana chama lakini wanamsahau mtu anayemfanya Chama afunge nae si mwingine ila Elly Mpanzu
 
Back
Top Bottom