Wakuu Nimekata Shauri, Sinywi Pombe kali tena

Wakuu Nimekata Shauri, Sinywi Pombe kali tena

Inside10

Platinum Member
Joined
May 20, 2011
Posts
34,738
Reaction score
42,832
Nimefikia uamuzi huo baada ya kufuatlia na kuona vijana wengi wakiumwa ugonjwa wa figo.. ninao wajua na maarufu tunaowajua wengi...

Pia nitajitahidi sana unywaji wa beer🍻 kwa kiwango na mara chache.

Jamii inaangamia tuchukue tahadhali kwa wakati.

Mwenyezi awaongoze nanyi wenzangu wengineo.

N.B: Sijaacha Pombe
 
Nimefikia uamuzi huo baada ya kufuatlia na kuona vijana wengi wakiumwa ugonjwa wa figo.. ninao wajua na maarufu tunaowajua wengi...

Pia nitajitahidi sana unywaji wa beer🍻 kwa kiwango na mara chache.

Jamii inaangamia tuchukue tahadhali kwa wakati.

Mwenyezi awaongoze nanyi wenzangu wengineo.

N.B: Sijaacha Pombe
Shituka.
Wenzenu wanaumwa ngoma madawa yamezidi mwilini wanakuja kusingizia pombe.

Mbona wazee wetu walikuwa hawaumwi.

Muhimu ukishalewa usit*mbe hovyo utapata ngoma....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom