tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Second Lieutenant

    Biashara ya Kuuza Nyama (Butcher's Shop): Mambo Mbalimbali ya Kujifunza

    Habari za Mchana wana JF, Ndugu yenu hapa naomba info kuhusu biashara ya Nyama (Burchery), Bei wanazonunua Machinjioni inakuwa kiasi gani? wangapi wamefanikiwa through this business. WADAU WENGINE NAOHITAJI MUONGOZO WA BIASHARA HII MICHANGO NA MIONGOZO
  2. tpaul

    Punguzo la PAYE kwa asilimia 1 ni dhihaka kwa wafanyakazi!

    Punguzo la 1% (kutoka 15% hadi 14%) kwenye kodi ya mishahara (PAYE) ni dhihaka kwa wafanyakazi wa Tanzania kwani gharama za maisha ziko juu sana kufuatia mfumuko mkubwa wa bei. Ifike wakati sasa serikali iwaonee huruma wafanyakazi kwa kuwapunguzia mzigo wa kodi badala ya kufawafanyia mzaha kama...
  3. nngu007

    Why Obama is visiting Tanzania

    By ELISHA MAGOLANGA Tanzanias strategic position in the continent, its abundant natural resources and countering Chinas advances to Africa have been cited as some of the reasons why President Barack Obama chose to visit Tanzania in his tour of Africa next month. Mr Obama, who is the first...
  4. BAK

    Tanzania's Police Force is rotten

    Where do the drugs police cease go? By Elisha Magolanga The Citizen Correspondent Dar es Salaam. In the wake of the suspension of senior law keepers over their alleged involvement in stealing exhibits under their custody, concern is mounting over where the hundreds of kilogrammes of...
  5. Deejay nasmile

    Kama ulikuwa hujui hizi ndio sheria 10 za kufanya mapenzi kwa baadhi ya nchi

    1.Usaliti nchini China inaruhusiwa kwa mwanamke aliyesalitiwa na mume wake kumuua mume wake,lakini sharti amuue kwa mkono wake 2.Kwa sheria za Nervada ni kosa kubwa sana kisheria kama utakutwa una urembo wowote katika uume wako(mwanaume) 3.In Bahrain,daktari wa kiume anaruhusiwa kumtibu...
  6. Ex Spy

    Tanzania's Press Freedom ranking falls after journo killings

    By Elisha Magolanga The Citizen Correspondent Press freedom has shrunk considerably in Tanzania, with journalists and media houses finding it more difficult to do their work, according to the 2013 World Press Freedom Index. The country has dropped 36 places and is now ranked at number 70 of...
  7. BAK

    Tanzania's first modern, commercial gold mine winds up

    By Elisha Magolanga Dar es Salaam. The Golden Pride mine is closing down next month, after 13 years of continuous operation that produced about $3.3 billion (Sh5.2 trillion) worth of gold at current prices.The closure of the Tabora-based mine, which will start with shutting down pit production...
  8. sammosses

    Bila Mshikamano wa Kitaifa, Tanzania tuitakayo itakuwa ndoto kuiona

    Bila mshikamano wa kweli Tanzania tuitakayo itakuwa ni sawa na ndoto za Alinacha.Tutaimba sana amani na umoja lakini haki bila wajibu au wajibu bila haki ndiyo silaha pekee ya kuvunja umoja wetu wa kitaifa ulioasisiwa na Mwalimu J K nyerere. Watawala wamepata mashaka juu ya kuvunjika kwa...
  9. Bujibuji Simba Nyamaume

    Nico Zengekala: Mwanamuziki kipofu aliyetikisa Tanzania

    ILIPOSIKIKA sauti yake kila mpenzi wa muziki anayefuatilia bendi za hapa nyumbani alihisi kuna kitu kipya kimeingia katika tasnia ya muziki wa dansi. Hiyo ilikuwa mwaka 1982 alipoingia kwa mara ya kwanza nchini mwimbaji hatari kutoka mkoa wa Pwani nchini Kenya Nico Zengekala akiwa ni mwimbaji...
  10. Ubumuntu

    Uraia Pacha Tanzania: Siasa ya Bernard Membe na hatma yake

    Salaam wanaJF! Katika kipindi kirefu sana kumekuwa na mjadala juu ya kuruhusu uraia wa nchi mbili 'dual citizenship' katika taifa letu. Mjadala huu umepamba moto sana haswa katika uongozi wa waziri Bernard Membe. Hata katika hotuba ya bajeti ya wizara mwaka 2011/2012, ndugu Membe alizungumzia...
  11. n00b

    Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

    Tanzania is slowly turning into a brutal Police state right in front of our own very eyes, yet we are doing nothing about it. Police brutality is slowly reaching unbearable limits as witnessed by us all day in and day out, yet we are all quiet about it. The audacity of the police force to beat...
  12. Mwalimu

    Mchezo wa Mieleka nchini Tanzania

    Wadau, Nakumbuka kwenye miaka ya themanini mchezo wa mieleka ulitokea kuwa maarufu sana hapa bongo. Kulikuwa na wababe kama Power Bernado, Power Vuru Mroma, Power TX Chaka, Power Bukuku na wengineo. Kuna yeyote mwenye taarifa za magwiji hawa waliishia wapi?
  13. SMU

    Ajali Tanzania: Mawazo mbadala kuhusu udhibiti wa ajali Tanzania

    Hivi karibuni na hata siku za nyuma tumeshuhudia malumbano kati ya wamiliki wa mabasi ya abiria kwa upande mmoja na serikali (Polisi, Sumatra) kwa upande mwingine juu ya ulazima wa kufunga vidhibiti mwendo (Speed Governor) kwenye mabasi. Wamiliki wa mabasi wanasema speed governor hazijasaidia...
  14. Mchaga

    Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Wana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya madini pale nyumbani Tanzania anisaidie. Natanguliza shukrani zangu. BAADHI YA MAJIBU YALIYOTOLEWA NA WADAU: === === === ===
  15. zomba

    Asili ya jina Tanzania na mwasisi wake: Mohammed Iqbal Dar

    Jee ni kweli Mohamed Iqbal Dar, mwenye asili ya kihindi, aliyekuwa akiishi Tanga, mnamo mwaka 1964 ndiye aliipa nchi yetu jina zuri la "Tanzania". Kama ni kweli huyu mtu yuko wapi kwa sasa? Na serikali yetu inaweka kumbu-kumbu gani za kihistoria kwa huyu mtu kwa vizazi vijavyo? ili vipate...
  16. BAK

    Utapeli wa CIS: Serikali ya Tanzania yaanza kuajiri kampuni binafsi ili kukusanya madeni ya wadai 916 ikiwemo wafanyabiashara

    Wakuu, Baada ya oparesheni dhidi ya ufisadi katika BoT, Serikali sasa inaelekeza juhudi kwenye kashfa ya Import Support Scheme, ambako yen Bilioni 16.6 (takriban shilingi bilioni 180) zilitoweka. Wizara ya Fedha imeamua kuajiri kampuni binafsi za ukusanyaji madeni ili kuwadai wadaiwa 916...
Back
Top Bottom