technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Please Serikali iwasaidie ndugu zetu zaidi ya 400 waliokwama India wanataka kuja nyumbani.
Ubalozi wa India utoe ushirikiano wa kutosa watu mpaka wanalia hali ngumu walipo wanaogopa kwamba hawapo salama.
Wapo wanafunzi, wagonjwa walioenda kutibiwa, wafanyabiasha. Please Air Tanzania shughulikieni kibali shughulikieni ndugu zetu haya ndio majukumu yenu.
Kenya wameweza kuwachukua watu wao china.
Ubalozi wa India utoe ushirikiano wa kutosa watu mpaka wanalia hali ngumu walipo wanaogopa kwamba hawapo salama.
Wapo wanafunzi, wagonjwa walioenda kutibiwa, wafanyabiasha. Please Air Tanzania shughulikieni kibali shughulikieni ndugu zetu haya ndio majukumu yenu.
Kenya wameweza kuwachukua watu wao china.