tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. C

    Tanzania yasitisha ujenzi wa bandari kubwa Africa, Bagamoyo Port

    Niamnini nchi yetu ni kichwa cha mwendawazimu, we do have leaders with no creative ====== Tanzania Pushes Back on Chinese Port Project China’s Maritime Silk Road ambitions suffered a setback after Tanzanian officials refused to budge over stalled negotiations to build what would be the...
  2. Mpinzire

    China na Tanzania zashindwa kuafikiana kwenye ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Ujenzi wakwama

    Serikali imesitisha mazungumzo na wawekezaji katika Bandari ya Bagamoyo, Mradi ambao ungegharimu Tsh. Trillion 23. Wawekezaji katika mradi huo walikuwa ni China Merchant Holdings International Limited (CMHI) na State General Reserve Fund (SFRF) ya Oman. ====== The government admitted yesterday...
  3. Dee david

    Uber kenya

    Ni pesa gapi ambayo ni mrejesho wa madera kwa ma boss zao huko Kenya
  4. MK254

    Tanzania govt admits, no progress on Bagamoyo port project

    Dodoma. The government admitted yesterday that it has not made progress with the implementation of Bagamoyo port project because of failing to reach an agreement with Oman and China, who are the project implementing partners. In November, 2017, Oman’s State General Reserve Fund (SGRF) announced...
  5. M-mbabe

    Tanzania USA Diaspora's Fundraising Appeal for Mr. Tundu Lissu

    FUNDRAISING APPEAL FOR MR. TUNDU LISSU This is an appeal to help meet the medical expenses and living costs for Hon. Tundu Antiphas Lissu and his family. A prominent opposition politician and member of the Tanzanian Parliament, The Chief Whip for Tanzania main opposition, and former...
  6. Kaka Pekee

    Huyu Kamanda wa Jeshi anatukera sana wakazi wa Mbezi

    Habari wana jamvi, Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila...
  7. Kaka Pekee

    Bongo hakuna malipo bila malalamiko!

    Wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Ukiongea nao wanadai walipunjwa malipo. Baadhi waliofariki kabla ya kulipwa, warithi wao wanakuambia hawakuambulia kitu na waliolipwa mlolongo wa malipo kwao ulikuwa mkubwa kuliko. Upanuzi wa barabara, viwanja vya ndege. Wahanga wa mabomu...
  8. Kaka Pekee

    Is Tanzania discarding Nyerere’s freedom-fighting legacy?

    Tanzania Palestine: Former Palestinian leader Yasser Arafat with Tanzania’s former President Julius Nyerere. Tanzania’s stance on Palestine suggests its history of fighting global injustice could be making way for a more pragmatic “economic diplomacy”. In November 2018, representatives of...
  9. Stano

    Agriculture: Kenya vs Tanzania

    Facts: Kenya is roughly half the size of TZ and is mostly semi-arid. TZ definitely has more than twice Kenya's land under crop production. 1) Crop Production Tanzania is big on low-value traditional food crops such cassava, sweat potato, maize, beans. Kenya is big on high-value cash crops such...
  10. Squidward

    Hivi Tanzania kuna hospitali inayotoa huduma ya kuchoma sindano ya sumu kwa hiyari kama ilivyo ughaibuni?

    Kama tunavyoona nchi za wenzetu hiki kitu kipo sana mfano kupitia yule mtanzania mwenzetu aliyechomwa sindano ya kifo huko ujerumani baada ya kushindwa kuvumilia tabu za ugonjwa alioupata , je Tanzania zipo hospitali za namna hii? Na je sheria zetu zinaruhusu hii? REFFER...
  11. M

    Tanzania Foreign Policy & strategy | Diaspora

    Serikali | Tanzania, pamoja ya kuwa inafanya vyema, lakini much more have to be done. Inabidi, Serikali | Tanzania i re calibrate sera zake za nje. Pia serikali |Tanzania inapaswa kufanya kazi na wananchi wake kwa ujumla wao walio ndani na nje(Diaspora). Tanzania ijitoe kwenye position ya...
  12. Mimi Youtuber

    NATAFUTA WATU WENYE FILAMU ZA KIBONGO *BIASHARA*

    JE UNAMILIKI FILAMU KUANZIA 20 NA KUENDELEA tafadhali ni inbox au email maige.kenneth22@gmail.com NB: Naomba zisiwe YOUTUBE
  13. Zitto

    Tanzania imetimiza hatua zote 4 kuwa nchi ya kidikteta

    Dikteta huchukua hatua kadhaa kupandikiza utawala wa Imla - Zitto Kabwe (Andiko la July, 2016 na uhariri kidogo 2018. Uhariri tena mdogo Jan, 2019 ) Hupambana na Wafanyabiashara wakubwa ' matajiri ' ili kuweka matajiri wake wapya watakaokuwa msaada kwake. Rais Putin wa Russia alifanya hili...
  14. PAN OCEANIC INSURANCE

    PAN OCEANIC INSURANCE BROKERS IS LOOKING FOR AGENTS ALL OVER #TANZANIA

    OPPORTUNITIES PAN OCEANIC INSURANCE BROKERS IS LOOKING FOR AGENTS ALL OVER #TANZANIA We are an established business with a rich 18-year history, focus on modernizing insurance sales and customer service by providing our team with the best and most up to date technologies Be your own boss and...
  15. Mawio

    Gari aina ya toyota landcruiser inahitajika!!!..

    Wakuu, salaam!!!.. Ninahitaji used Landcruiser Hardtop, Pickup, Station wagon au Van, iwe na engine ya 1Hz, (engine tofauti na 1Hz tunaweza angalia uwezekano wa mazungumzo pia), iwe katika hali nzuri. Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790 Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni...
  16. Mawio

    ENGINE YA TOYOTA LANDCRUISER AINA YA 1HZ INAHITAJIKA!!!..

    Wakuu, salaam!!!.. Ninahitaji Landcruiser 1Hz Series iwe katika hali nzuri. Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790 Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni mbili na nusu (2,500,000/=) Pesa za Ki-Tanzania. Shukrani.
  17. Mawio

    Landrover 110 - 300 series inahitajika!!!

    Wakuu, salaam!!!.. Ninahitaji Landrover 110 - 300 Series, iwe station wagon, van, pickup n.k ili mradi iwe katika hali nzuri. Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790 Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni tatu kamili (3,000,000/=) Pesa za Ki-Tanzania. Kama una bodi...
  18. Mawio

    Nahitaji gari used Landcruiser

    Wakuu, salaam!!!.. Ninahitaji used Landcruiser Hardtop, Pickup, Station wagon au Van, iwe na engine ya 1Hz, (engine tofauti na 1Hz tunaweza angalia uwezekano wa mazungumzo pia), iwe katika hali nzuri. Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790 Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni...
  19. Mawio

    Engine ya Toyota Landcruiser ya 1HZ inahitajika

    Wakuu, salaam!!!.. Ninahitaji engine ya Landcruiser 1Hz Series iwe katika hali nzuri. Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790 Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni mbili na nusu (2,500,000/=) Pesa za Ki-Tanzania. Shukrani.
  20. Mawio

    Ninahitaji Landrover 110 - 300 Series

    Wakuu, salaam!!!.. Ninahitaji Landrover 110 - 300 Series, iwe station wagon, van, pickup n.k ili mradi iwe katika hali nzuri. Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790 Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni tatu kamili (3,000,000/=) Pesa za Ki-Tanzania. Kama una bodi...
Back
Top Bottom