FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,059
- 40,722
Kuna baadhi ya wadau walifikia hatua ya kusema tuweke pazia kubwa mlima Kilimanjaro kama la dirisha ili kuzuia usionekane bali tu kwa kutokea upande wa Tanzania, ila hicho kitakua kituko.
Sasa tutafakari, kama ni ndege kubwa za kuketa watalii kwa direct flights tumeshanunua, kama ni kiwanja kikubwa cha ndege terminal 3 tumeshazindua, kama ni mahoteli ya kulala tunayo, kama ni kivutio kipo kwetu, shida iko wapi?
Tujadili chanzo cha watalii kufosi kuupanda na kuuona mlima huu wakitokea Kenya, kama tuna sera mbovu tuambiwe, tunakosea wapi?
Hivi vitu vinachanganya sana na kutia hasira, je marketing strategy yetu ni mbovu, je baketi ya matangazo ni ndogo, tatizo nini? Tunakwama wapi?
Sasa tutafakari, kama ni ndege kubwa za kuketa watalii kwa direct flights tumeshanunua, kama ni kiwanja kikubwa cha ndege terminal 3 tumeshazindua, kama ni mahoteli ya kulala tunayo, kama ni kivutio kipo kwetu, shida iko wapi?
Tujadili chanzo cha watalii kufosi kuupanda na kuuona mlima huu wakitokea Kenya, kama tuna sera mbovu tuambiwe, tunakosea wapi?
Hivi vitu vinachanganya sana na kutia hasira, je marketing strategy yetu ni mbovu, je baketi ya matangazo ni ndogo, tatizo nini? Tunakwama wapi?