Naweka mkuuUngeweka na chanzo cha hii habari ya waziri wa Rwanda ingenoga zaidi.
Kuwa mzalendo ndo kusifia ujinga? Watu kama nyie ndo mnaolirudisha taifa nyuma kwa kusifia sifia ujinga wa viongozi wetu...KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA
mie siwezi kuwa mzalendo ikiwa nchi yangu inafanya mambo ya kipumb.vu!.KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA