KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nasema siasa za Tanzania ngumu sana ila zinaonekana mwisho wasiku zitakuja kuwa za malipizo kama siasa za nigeria! Ukiangalia watu wanaomizwa na siasa iwe chama tawala au upinzani ni wengi na wanayaweka wakipata madaraka watalipiza bila shaka huu ndiyo utabiri wangu kwa leo.