Maonyesho ya kimataifa ya sabasaba yafana sana. Kwa mara ya kwanza wafanyabiashara Wahindi wengi wa Tanzania wahudhuria, wanunua sana

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
Maonyesho ya kimataifa ya sabasaba ya miaka yote iliyopita ilikuwa vigumu kuona sura ya Mhindi kwenye hivyo viwanja wa Sabasaba Dar es Salaam mwaka huu wako kibao kila hatua chache unakutana nao familia kibao wazee hadi vikongwe , watoto, wanawake wanaume wakihindi ni wahindi kila kona na wananunua sana bidhaa kwenye mabanda na wamefurahi wanapita mabanda yote bila ubaguzi na kununua na kutaka maelezo.

Nimekuwa mwendaji miaka yote leo ni tofauti na miaka yote. Wahindi wamejipambanua kama sehemu ya Watanzania wengine kutembelea hayo maonyesho.

Zamani ukiona muhindi atakuwa lazima ni muonyesha bidhaa sio mtembelea mabanda safari hii ni tofauti.

Hongereni Wahindi kwa kuonyesha kujali haya maonyesho.
 
Nenda katembelee uone mwamko wa wahindi Jana na Leo weekend umekuwa mkubwa mno weekend zao wamehamishia maonyesho ya sabasaba wao na familia zao yaani weekend hii Jana na Leo unakuta vizee vya kihindi vinatembea Hadi na mikongojo vimefurahi mno kwa out vilivyopewa

Wanawake na watoto wa kihindi yaani Kika kona hawafichi furaha Yao .

Sijawahi ona kitu kama hiki miaka yote kwenye maonyesho ya kimataifa ya sabasaba Dar es salaam Raisi Magufuli ana nyota ya kipekee

Kuna umati wa wahindi hasa
 
Heeeh!kumbe Ni msimu wa Saba Saba?anyway,kwahiyo wahindi wengi ndo tunahitimisha maonesho yamefana? Anyway, Kwa mtazamo wako mleta mada, maonesho hayo kipindi hiki Cha awamu ya Sifia Sifia na kipindi Cha jk tofauti yake unaonaje?.Habari Kama hii umeshindwa kutupa hata picha moja kutuonesha hao wahindi walivyofurika?😂😂😂😂😂😂😂
 
Nenda katembelee uone mwamko wa wahindi Jana na Leo weekend umekuwa mkubwa mno weekend zao wamehamishia maonyesho ya sabasaba wao na familia zao yaani weekend hii Jana na Leo unakuta vizee vya kihindi vinatembea Hadi na mikongojo vimefurahi mno kwa out vilivyopewa

Wanawake na watoto wa kihindi yaani Kika kona hawafichi furaha Yao .

Sijawahi ona kitu kama hiki miaka yote kwenye maonyesho ya kimataifa ya sabasaba Dar es salaam Raisi Magufuli ana nyota ya kipekee

Kuna umati wa wahindi hasa
Mtu Yuko huko kijijini sigimbi kashashiba magimbi yake anabisha utafikiri amewahi kwenda kushuhudia
 
Nenda katembelee uone mwamko wa wahindi Jana na Leo weekend umekuwa mkubwa mno weekend zao wamehamishia maonyesho ya sabasaba wao na familia zao yaani weekend hii Jana na Leo unakuta vizee vya kihindi vinatembea Hadi na mikongojo vimefurahi mno kwa out vilivyopewa

Wanawake na watoto wa kihindi yaani Kika kona hawafichi furaha Yao .

Sijawahi ona kitu kama hiki miaka yote kwenye maonyesho ya kimataifa ya sabasaba Dar es salaam Raisi Magufuli ana nyota ya kipekee

Kuna umati wa wahindi hasa
Mi naongelea mabanda kuwa wazi nikimaanisha hayana waonesha bidhaa ma huduma
 
Maonyesho ya kimataifa ya sabasaba ya miaka yote iliyopita ilikuwa vigumu kuona sura ya Mhindi kwenye hivyo viwanja wa Sabasaba Dar es Salaam mwaka huu wako kibao kila hatua chache unakutana nao familia kibao wazee hadi vikongwe , watoto, wanawake wanaume wakihindi ni wahindi kila kona na wananunua sana bidhaa kwenye mabanda na wamefurahi wanapita mabanda yote bila ubaguzi na kununua na kutaka maelezo.

Nimekuwa mwendaji miaka yote leo ni tofauti na miaka yote. Wahindi wamejipambanua kama sehemu ya Watanzania wengine kutembelea hayo maonyesho.

Zamani ukiona muhindi atakuwa lazima ni muonyesha bidhaa sio mtembelea mabanda safari hii ni tofauti.

Hongereni Wahindi kwa kuonyesha kujali haya maonyesho.
Kwa hiyo maonesho ya Sabasaba mwaka huu yamewalenga wahindi tu. Interesting
 
Nenda katembelee uone mwamko wa wahindi Jana na Leo weekend umekuwa mkubwa mno weekend zao wamehamishia maonyesho ya sabasaba wao na familia zao yaani weekend hii Jana na Leo unakuta vizee vya kihindi vinatembea Hadi na mikongojo vimefurahi mno kwa out vilivyopewa

Wanawake na watoto wa kihindi yaani Kika kona hawafichi furaha Yao .

Sijawahi ona kitu kama hiki miaka yote kwenye maonyesho ya kimataifa ya sabasaba Dar es salaam Raisi Magufuli ana nyota ya kipekee

Kuna umati wa wahindi hasa
Ndiyo maana mtu mweupe lazima uendelee kumuabudi milele. Hii mentality ya kuona wahindi wengi 7,7 na kuhitimisha maonesho yamefanya inaeleza ulivyo dhalili mbele ya mhindi na mtu mweupe kwa ujumla
 
Kwanza sio vizuri kusema wahindi, mbona hatusemi wahehe au wamasai ni vizuri kusema Watanzania wenye asili ya India inapendeza, tuacha ubaguzi. Wengi wao hata India hawajafika tangu wamezaliwa Tanzania nk.

BTW Air Tanzania jana ilitua Entebbe International kuwarudisha raia wa Uganda waliokuwa wamekwama India kutokana na Covid-19.
 
Back
Top Bottom