Unaonea Huruma Mijitu yenye Roho mbaya na Wivu yanini kila kukicha ni majisifu yakipumbavu waendelee kufunga tu mpaka tuliwaambia ni wanachi wa upande gani watalia lia.Daah! Inahuzunisha sana.. Nadhani huu ni wakati ambao serikali ya Tz ifanye mazungumzo ya kuiuzia kwa mkopo angalau tani laki tano- saba za mahindi (pamoja na mbaazi) serikali ya Kenya ili iwalishe wenye uhitaji. Serikali ifanye hivyo kwa kukopa BoT kiasi cha pesa kinachoweza kununua kiasi hicho cha mahindi kutoka kwa wananchi ili kuwauzia Kenya na deni hilo litalipwa BoT Kenya ikilipa ndani ya miaka miwili.
Hii itawasaidia Wakenya wenye uhitaji lakini pia wakulima wa Tz ambao watapata soko pamoja na makampuni ya usafirishaji.
Sisi wa Tz ni watu wenye roho nzuri. Ni vizuri tuwasaidie wenzetu.Unaonea Huruma Mijitu yenye Roho mbaya na Wivu yanini kila kukicha ni majisifu yakipumbavu waendelee kufunga tu mpaka. Tuliwaambia ni wanachi wa upande gani wata lia lia.
Asante kwa maoni hayaDaah! Inahuzunisha sana.. Nadhani huu ni wakati ambao serikali ya Tz ifanye mazungumzo ya kuiuzia kwa mkopo angalau tani laki tano- saba za mahindi (pamoja na mbaazi) serikali ya Kenya ili iwalishe wenye uhitaji.
Serikali ifanye hivyo kwa kukopa BoT kiasi cha pesa kinachoweza kununua kiasi hicho cha mahindi kutoka kwa wananchi ili kuwauzia Kenya na deni hilo litalipwa BoT (BoT ina pesa ambazo inazishikilia kutoka kwenye mabenki ya biashara kama legally required reserve, serikali inaweza kuzikopa) Kenya ikilipa ndani ya miaka miwili.
Hii itawasaidia Wakenya wenye uhitaji lakini pia wakulima wa Tz ambao watapata soko pamoja na makampuni ya usafirishaji.
Wanatuaibisha mpaka nafikiria kuleft the group 😂😂😂Middle income analala njaa. ..!!!🤣😂😂😂 Haaa sio kweli hawewezi kuwa middle income
Tuwauzie kwa mkopo wakati wa kununua Kwa cash wapo? Kwa hiyo tuweke pembeni miradi yetu kuikopea Kunyaland chakula! Zile fedha za IMF walizopewa ni za nn?Daah! Inahuzunisha sana.. Nadhani huu ni wakati ambao serikali ya Tz ifanye mazungumzo ya kuiuzia kwa mkopo angalau tani laki tano- saba za mahindi (pamoja na mbaazi) serikali ya Kenya ili iwalishe wenye uhitaji.
Serikali ifanye hivyo kwa kukopa BoT kiasi cha pesa kinachoweza kununua kiasi hicho cha mahindi kutoka kwa wananchi ili kuwauzia Kenya na deni hilo litalipwa BoT (BoT ina pesa ambazo inazishikilia kutoka kwenye mabenki ya biashara kama legally required reserve, serikali inaweza kuzikopa) Kenya ikilipa ndani ya miaka miwili.
Hii itawasaidia Wakenya wenye uhitaji lakini pia wakulima wa Tz ambao watapata soko pamoja na makampuni ya usafirishaji.
Mpuuzi huyo hajui Tanzania ni the United Republic anafikiri ni failed state kama anakoishi.Aisee hali mbaya sana. Sasa huyo askari naye anaongea kizungu cha nini? Eti repabrik of Tanzania, ha ha ha.
Nakuuliza wewe mwana izaya! Una hamu ya kuoga mvua ya matusi eeh!Wewe ni fala wa wapi? Tuwauzie kwa mkopo wakati wa kununua Kwa cash wapo?
Anadhania kwa sababu mumeingia middle income juzi eti nyie mna pesa kutushinda.Tuwauzie kwa mkopo wakati wa kununua Kwa cash wapo? Kwa hiyo tuweke pembeni miradi yetu kuikopea Kunyaland chakula! Zile fedha za IMF walizopewa ni za nn?
Hao Wakenya si ndio wanatuita malazy, hamna kuwaonea huruma hadi ieleweke nani ni muhimu kwa mwenzake, hamna hurumaDaah! Inahuzunisha sana. Nadhani huu ni wakati ambao serikali ya Tz ifanye mazungumzo ya kuiuzia kwa mkopo angalau tani laki tano- saba za mahindi (pamoja na mbaazi) serikali ya Kenya ili iwalishe wenye uhitaji.
Serikali ifanye hivyo kwa kukopa BoT kiasi cha pesa kinachoweza kununua kiasi hicho cha mahindi kutoka kwa wananchi ili kuwauzia Kenya na deni hilo litalipwa BoT (BoT ina pesa ambazo inazishikilia kutoka kwenye mabenki ya biashara kama legally required reserve, serikali inaweza kuzikopa) Kenya ikilipa ndani ya miaka miwili.
Hii itawasaidia Wakenya wenye uhitaji lakini pia wakulima wa Tz ambao watapata soko pamoja na makampuni ya usafirishaji.
Anadhania kwa sababu mumeingia middle income juzi eti nyie mna pesa kutushinda.