tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Zabuni kutoa huduma mbalimbali serikalini mikoa yote Tanzania

    Kama kuna mdau/Mzabuni anatakaa kutoa huduma mbalimbali Serikalini za (Vifaa vya Ujenzi, Stationary, Vinywaji, vyakula, vipuli vya Magari, Mifumo ya IT, n.k) kila mkoa-Tanzania kwa mwaka 2020/2021 ( *Tambua-bila kusajiliwa hutatoa huduma serikalini*) Kazi zimetangazwa na GPSA kupitia Mfumo wa...
  2. TANZIA: Mkurugenzi wa ICAP Tanzania, Dkt. Fernando Morales afariki Dunia

    Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa linalojishughulisha na masuala ya Afya – ICAP kutoka Chuo Kikuu cha Columbia New York, Dkt. Fernando Morales amefariki dunia Habari zaidi kukujia punde WASIFU WAKE (KWA UFUPI) Dr. Fernando Morales is ICAP’s country director in Tanzania. In this role, he...
  3. F

    Tofauti ya jinsi corona inavyoshughulikiwa Kenya na Tanzania

    Kenya wamefanya lock down na hasa katika miji mikubwa kama Nairobi na Mombasa ambayo ndio malango makuu ya Kenya. Sasa wana visa 490 wakati Tanzania ina visa 480. Kenya wanaripoti visa vipya (updates) kila siku, sisi mara moja kwa wiki 2. Kenya wamepima watu 24,784, Tanzania imepima watu 652...
  4. A night Kajiado's Governor closed the border btn Tanzania and Kenya, this happened

    Road linking 3 counties closed as cracks develop on bridge Hundreds of commuters heading to Bungoma, Kakamega and Busia counties were Monday morning forced to seek alternative routes to their destinations after part of the bridge linking the three counties collapsed. The river has burst its...
  5. W

    President Magufuli Queries Tanzania Coronavirus Kits After Goat Test Positive (+)

    Coronavirus test kits used in Tanzania were dismissed as faulty by President John Magufuli on Sunday, because he said they had returned positive results on samples taken from a goat and a pawpaw. Magufuli, whose government has already drawn criticism for being secretive about the coronavirus...
  6. Dodoma: Pamoja na katazo la Kiongozi wao, Wabunge kadhaa wa CHADEMA wakiwemo Silinde na Lijualikali wahudhuria bungeni

    Wabunge wawili wa Chadema, David Silende (Momba) na Peter Lijualikali (Kilombero) wamehudhuria bungeni leo licha ya chama chao kuwataka wabunge wake kutohudhuria vikao vya Bunge ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona Mbunge wa Kilombero (Chadema), Peter Lijualikali, Hivi karibuni...
  7. B

    Benaco Ngara: Madereva wa Malori wa Tanzania, wamejichukulia sheria mkononi kuzuia Malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini

    Baada ya kunyanyasika vilivyo nchini Rwanda madereva wa malori wa Tanzania wamejichukulia sheria mkononi kuyazuia malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini. Inasemekana baada ya Rwanda kuudhibiti ugonjwa wa Corona vilivyo nchini mwao, kitisho pekee kwa sasa kimebakia kuwa kutokea kwa wageni...
  8. Je, ni msanii gani Tanzania unatumia nguvu kubwa sana kumtetea utafikiri unalipwa?

    Hey Hey! Note: COVID-19 is REAL Chagua kwa uangalifu wa kumskiliza. BACK TO THE TOPIC. Je, ni msanii gani hapa Tanzania umekuwa unaumia sana akitukanwa au kukosolewa na hivyo kupelekea wewe kutumia nguvu kuuubwa sana kumtetea mitandaoni na vijiweni utadhani unalipwa?
  9. Tetesi: Tukio la kijiografia la mwezi mpevu sana (Supermoon) litatikea Nchini Tanzania siku ya Alhamisi tarehe 7/5/2020 saa 13:45

    Inafakamika kila baada ya miaka kadhaa kutokana na njia ya mwezi angani kuna wakati mwezi kupita karibu sana na na Dunia. Hali hiyo ya mwezi kupita karibu na Dunia ndiyo inayoitwa mwezi mpevu sana ambapo mwezi huonekana kwa karibu na kwa uku wa zaidi kuliko nyakati nyingine. Tukio hili...
  10. Sababu kuu ya Tanzania kutoendelea ni unafiki wa watu wake

    Naomba niwe mkweli kwa roho na mwili sababu kuu ya watanzania kutokuendelea ni tabia yetu ya unafiki. Siamini macho yangu Kama kwa madudu yote ya awamu ya tano bado Kuna watu wanasabotage upinzani imara. Mheshimiwa Mbowe nakuomba Sana uwe na moyo mkuu utapita kwenye kila changamoto Ila ujue...
  11. Ndugu zetu zaidi ya 400 wamekwama India na wanapigana kuja Tanzania wamekwama

    Please Serikali iwasaidie ndugu zetu zaidi ya 400 waliokwama India wanataka kuja nyumbani. Ubalozi wa India utoe ushirikiano wa kutosa watu mpaka wanalia hali ngumu walipo wanaogopa kwamba hawapo salama. Wapo wanafunzi, wagonjwa walioenda kutibiwa, wafanyabiasha. Please Air Tanzania...
  12. Hatimaye takwimu za waliopimwa COVID 19 Tanzania zatoka hadharani, wamepimwa watu 652 tu kwa muda wote!

    Kwa mujibu wa takwimu hizi basi ni dhahiri kuna uzembe mkubwa sana unaendelea nchini dhidi ya mapambano ya ugonjwa huu wa COVID 19. Kwa mujibu wa takwimu hizi ni lazima hatua zichukuliwe kubaini nani ni mzembe na ni nani mkwamishaji wa mapambano haya. Tunawashangaa WHO, IMF na world bank...
  13. M

    Exposed: Tanzania is hiding the true number of people who died from COVID-19

    Tanzania is one of the country in Africa which never responded quickly to the deadly COVID-19 which broke out from Wuhan city in China. President John Pombe Magufuli allowed activities to continue running normally and now the disease is treating the citizens from Tanzania otherwise. The...
  14. B

    TPDC mbona mnatunyima habari nzuri za ugunduzi wa mafuta Tanzania?

    Wahusika wa TPDC basi angalau muwe mnatupa updates za mara kwa mara juu ya ugunduzi wa mafuta na uchimbaji wa visima hivyo. Kwa wasiojua, ipo harufu ya mafuta katika maeneo ya ziwa rukwa, ziwa tanganyika na maeneo ya eyasi wembere. TPDC tokeni mtuambie kwenye visima mmeona nini maana tunasikia...
  15. Kenya yazuia uuzwaji wa Ng'ombe kutoka Tanzania kutokana na maambukizi ya CoronaVirus kuwa mengi nchini Tanzania

    Gavana wa Kajiado Joseph Lenku amefunga kabisa uuzaji wa Ng’o,mbe katika kaunti hiyo kutoka Tanzania kutokana na visa vya maambukizi mengi zaidi yanayoripotiwa nchini humo. Lenku ametoa amri hiyo baada ya kufanya ziara eneo la Loitoktok ambapo alikuwa anasambaza barakoa kwa wenyeji . “No...
  16. Regional Proposal Recruiter at Maryland Global Initiatives Corporation (MGIC)

    Position: Regional Proposal Recruiter Position Description The University of Maryland, Baltimore (UMB), Maryland Global Initiatives Corporation (MGIC) is currently seeking a Regional Proposal Recruiter. The Regional Proposal Recruiter is a critical role within our business development team and...
  17. M

    Kenyans love downing Tanzania to feel better but missing their own serious issues

    If the Kenyan government failed to repay the debts of $ 3.21 billion to China taken up for an ongoing major railway project, China would possibly take the port of Mombasa as an alternative. SGR (Standard Gauge Railway) a 472-kilometer line from Mombasa Nairobi, where work started in 2013, and...
  18. Leo ndiyo nimeijua rasmi tabia ya ' Mwanasiasa Mwanasayansi ' kutokea yaliko Mawe makubwa ya Miamba Tanzania

    1. Kumbe nae ni Mkeshaji na Mtumiaji mzuri tu wa Mitandaoni kama Sisi wengine na pengine katuzidi 2. Maamuzi yake mengi anayatoa kuwakomoa wana Mitandao ( JamiiForums ) ikiwemo na Twitter 3. Ni mwepesi sana Kudanganywa / Kudanganyika na Wasaidizi / Washauri wake hasa pale akiwa na Jazba. 4. Ni...
  19. Uongo Wa Vipimo Vya Corona Tanzania: Kwanini Waziri Mkuu Na Waziri Wa Afya wasijiuzulu?

    Leo Rais wa Tanzania amehutubia taifa na kusema, utaratibu mzima wa upimaji na utoaji majibu ya vipimo kwa wahisiwa wa ugonjwa wa COVID-19 hapa Tanzania yamezungukwa na uongo, ujanja ujanja na ulaghai mkubwa. Hivyo takwimu zote za COVID-19 hapa Tanzania zilizotolewa na Waziri Mkuu au Waziri wa...
  20. Ushauri wangu kuhusu mustakabali wa Elimu zama za COVID-19

    Habari. Chukua hatua, jikinge na maambukizi. Baadhi ya Maswali Magumu: 1. Mitihani ya kitaifa itafanyika lini? 2. Wa kujiunga na kidato cha tano wajiunge lini? 3. Wa kujiunga na vyuo vya elimu ya juu itakuwaje? ongezea hapo maswali mengineyo. Ufumbuzi: 1. Computerized educational...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…