Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Watanzania huwa wana kiburi ya hali ya juu sana maana wanaamini kuwa wao ndio waliikomboa Afrika kutoka kwa Mabeberu. Ukiona waziri wao akifoka jinsi waliikomboa Afrika hadi mate inamtoka mdomoni na mishipa kuvimba kichwani ndio utajua kwamba hii propaganda ya CCM ni nzito sana.
Ukweli wa mambo ni kuwa nchi chache sana hapa Afrika zilipigania uhuru wao. Nchi zilizopigania uhuru kwa kumwaga damu hazijapita 12 hapa Afrika. Nitataja baadhi yao: Kenya, Guinea Bissau, Mozambique, Zimbabwe, South Africa, Angola, Algeria na zingine chache. Nchi nyingi za Afrika zilipewa uhuru wao bure bila vita. Tanzania ni mojawapo ya nchi zilizopewa uhuru bure kabisa na beberu bila Watanzania kuingia msituni kumenyana na Mzungu. Hamkumwaga damu ili kupigania uhuru wenu.
Kama nyie ni wakombozi wa Afrika mbona hamkuikomboa Kenya kutoka kwa mabeberu? Mabeberu waliua Wakenya karibia laki moja wakati wa state of emergency 1952 wakati wanapigana na Maumau. Wamama na watoto wakapelekwa kwenye concentration camp ambapo wengi walikufa kwa njaa. Wanaume walipelekwa gerezani na kuteswa na kuuawa.
Hata nchi ya Uingereza imeomba msamaha kwa ushetani waliotufanyia na kutoa pesa kama fidia. Mbona nyie hamkutusaidia? Mbona sisi tulijipigania uhuru wenyewe na kufa kwa wingi ili tupate uhuru wetu? Hakuna nchi yoyote ya Afrika iliyotusaidia kupata Uhuru. So nyamazeni. Hata hamkupigania uhuru wenu mlipewa bure. We don't owe you anything. Hatuna deni lenu maana nyie hamkutusaidia.
Ukweli wa mambo ni kuwa nchi chache sana hapa Afrika zilipigania uhuru wao. Nchi zilizopigania uhuru kwa kumwaga damu hazijapita 12 hapa Afrika. Nitataja baadhi yao: Kenya, Guinea Bissau, Mozambique, Zimbabwe, South Africa, Angola, Algeria na zingine chache. Nchi nyingi za Afrika zilipewa uhuru wao bure bila vita. Tanzania ni mojawapo ya nchi zilizopewa uhuru bure kabisa na beberu bila Watanzania kuingia msituni kumenyana na Mzungu. Hamkumwaga damu ili kupigania uhuru wenu.
Kama nyie ni wakombozi wa Afrika mbona hamkuikomboa Kenya kutoka kwa mabeberu? Mabeberu waliua Wakenya karibia laki moja wakati wa state of emergency 1952 wakati wanapigana na Maumau. Wamama na watoto wakapelekwa kwenye concentration camp ambapo wengi walikufa kwa njaa. Wanaume walipelekwa gerezani na kuteswa na kuuawa.
Hata nchi ya Uingereza imeomba msamaha kwa ushetani waliotufanyia na kutoa pesa kama fidia. Mbona nyie hamkutusaidia? Mbona sisi tulijipigania uhuru wenyewe na kufa kwa wingi ili tupate uhuru wetu? Hakuna nchi yoyote ya Afrika iliyotusaidia kupata Uhuru. So nyamazeni. Hata hamkupigania uhuru wenu mlipewa bure. We don't owe you anything. Hatuna deni lenu maana nyie hamkutusaidia.