tanzania mining

  1. peno hasegawa

    Tanzania Mining Cadastre Portal ni mfumo wa kuisababishia nchi hasara badala ya faida

    Mh. Waziri hongera kwa kuteuliwa kuwa waziri wa wizara hii muhimu kwa Taifa hili. Pamoja na hongera nyingi ila ninaomba kukujulisha kuwa wizara yako imeshindwa kuisimamia Tume ya Madini nchini, kwasababu baada ya kuteuliwa yapo mambo ambayo kwa muda mfupi yameanza kuharibika tena kwa haraka na...
  2. peno hasegawa

    Tanzania Mining Cadastre Portal mtandao huo umezimwa sasa ni miezi 4 haufanyi kazi

    Prof. Idris Suleiman Kikula, mwenyekiti wa Tume ya Madini amekiri kuwa Mtandao tajwa hapo juu umezima kama sio kushindwa kufanya kazi kwa kipindi cha miezi minne sasa. Kukosekana kwa huduma hiyo muhimu kumeikosesha serikali hasara ya bilioni 7 kwa mwezi jambo ambalo sio la kuvumiliwa. Waziri...
  3. bulugujoseph

    Natafuta ajira, nina shahada ya uhandisi wa uchimbaji madini (Bsc Mining Engineering) nina uzoefu wa miaka 3

    Habari wana jamii, natafuta ajira yeyote inayohusiana na maswala ya madini. Elimu yangu ni shahada ya uhandisi wa uchimbaji madini(Bsc Mining Engineering), nimesajiliwa ERB kama graduate engineer, nina uzoefu wa miaka mitatu nimefanya kazi quarry mine na gypsum mine, na uwezo wa kutumia design...
  4. Samantha Cole

    Acacia seeks goodwill from villagers in Mara

    Report in The Citizen By Beldina Nyakeke The Acacia North Mara Goldmine acting general manager has called for peace and harmony between the mine and the host community. Currently, the mine is surrounded by a wall that separates the firm from the host community. Acacia mining is advocating for...
  5. Samantha Cole

    Water everywhere, but no water for the residents of Tarime, Tanzania

    An open letter to His Excellency, President John P. Magufuli, President of Tanzania WATER, WATER EVERYWHERE - BUT NO WATER FOR THE RESIDENTS OF TARIME, TANZANIA? In our Holy Bible: Ecclesiastes 1:9 That which has been, is that which will be, And that which has been done, is that which will be...
Back
Top Bottom