story

  1. Infantry Soldier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Shemeji zako wa kiume wakija kukutembelea, siku hiyo usilale na dada yao (Mke Wako). Kalale nao chumba kimoja

    Mambo vp jamiiforums. Je, shemeji yako wa kiume anaweza kuwa swahiba? Ninaomba kuanza kwa kutangua kusema maneno haya machungu ambayo yatawauma wanaume wengi sana. Hata mimi nilikuwa hivi hivi. Mwanaume wengi sana huwa hawawapendi shemeji zao wa kiume siku za mwanzoni. Just imagine, kwa akili...
  2. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyans on Twitter (KOT) wameforce CNN kuedit their misleading story

    KOT huwa tunapiga CNN sana wakileta ujinga. This time walikuwa wanadanganya kuwa Mzungu fulani ndiye alikuwa mtu wa kwanza kugundua kwamba hump-back wales (aina fulani ya nyangumi) wapo Kenya. KOT iliwaka moto hadi CNN wakaedit story yao. Ikumbukwe kuwa CNN pia waliwahi kuita Kenya "A hotbed of...
  3. Pastory Kimaryo

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nisaidieni namna ya ku-skip Instagram story yenye tag ya jina au post

    Habarini, Nikiwa napitia Instagram stories sometimes nakutana na tags na nikitaka ku-skip nashindwa hadi liishe, tafadhali nisaidieni nifanyeje Nawasilisha, Nawategemea.
  4. Its Pancho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sometime kusamehe ni Dawa (true story)

    Mara nyingi nimekuwa mtu wa mizaha hapa jamvini . Ila basi baada ya kushuhudia kisa Fulani mtaani ,nikaona nishee kidogo nanyi kuhusu maisha yangu ya mahusiano kidogo huenda tukapata kitu hapa. Well , Nikiwa na miaka 16 tu na nimemaliza kidato cha nne that time.mwaka Fulani. Na kupata ufaulu...
  5. Mlolongo

    JamiiForums Tanzania Nilibandika maziwa kwenye jiko la gas, nikaenda nje kupiga story!

    Naam, story zilipoisha nikaja kuipua sufuria.
  6. Kibosho1

    JamiiForums Tanzania Wameru ni wakimbizi wa Kichaga

    Katika kabila lenye matabaka mengi Tanzania ni la Kichagga. Na lugha zinabadilika kulingana na eneo ndio mana unakuta ukianza Rombo mpaka Siha lafudhi ni tofauti japo tunasikilizana vizuri lakini huwezi kujibu kama ulivyosemeshwa. Katika kutaka kujua historia kidogo kwanini Wameru wanaongea...
  7. Heisenberg

    JamiiForums Tanzania Story: Safari ya kutafuta mali za Mjerumani katika msitu wa Nyumbanitu - Njombe

    DISCLAIMER: Nianze kwa kusema hii story sio ya kwangu, ni ya member Mbwichichi ambae amesimulia hii story ndani ya story 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 https://www.jamiiforums.com/threads/tukio-la-kusisimua-nililolishuhudia-kwa-macho-yangu-katika-msitu-wa-nairoto.1808580/ Hivyo nimeona nisaidie kuweka hapa iwe...
  8. I_manyota

    JamiiForums Tanzania Producer scott storch - the iconic -na story kuhusu ngoma yake aliyotoboa nayo still-dre ft snoop dogg

    Unazikumbuka hizi Learn Back, Make It Rain- Fat Joe, vipi kuhusu the iconic song kutoka westcost Still ya Dr Dre, Just A Lil Bit 50 Cent, Poppin Them Thangs - G unit, Gimme That-Run It za Chris Brown mzee list ni ndefu sanaaaaaaaaa kwa wakati wako google it. Huyo si mwengine basi ni Scott Scotch...
  9. Intelligence Justice

    JamiiForums Tanzania Suala la baadhi ya viongozi wa kisiasa kutafuta hifadhi za ukimbizi ubalozini, mashirika ya wakimbizi ni "Cover Story"

    Wakuu, Limeibuka wimbi la baadhi ya viongozi wa kisiasa kukimbilia kwenye balozi zinazowakilisha nchi zao au mashirika ya ukimbizi kwa madai ya kuteswa (persecution). Kwa tafsiri ya jumla kwa kiingereza inaakisi yafuatayo: "...... is the act of harassing or oppressing a person or a group of...
  10. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Chizika na JF members story

    Hapa nitakuwa naandika series wahusika wakiwa ni member wa hapa jf ni kastory ka uongo na kweli .. Na wala member ypyote atakayetajwa basi hakuna ukweli wowote na uhusika wake hapa. Pita hapa kwa story zaidi .. Ni asubuhi na mapema ,nimetulia bwenini na mawazo mengi shule moja jina kapuni...
  11. Masokotz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake niliokutana nao. Based on a True Story

    Itakujia hivi punde
  12. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania Hivi zile story tulizokuwa tunasoma shuleni bibi unamsaidia mzigo wa kuni kufika kwake anakupa zawadi hazipo?

    Kwema wakuu habari zenu? Nimejaribu kuwaza tu Tulipokuwa tunasoma au kuhadithiwa shuleni, hizo story kwenye maisha ya kawaida haya tunayoishi huwa havitokei kabisa Nimeona kuuliza maana mpaka kuandika huu uzi ni mambo mengi nafikilia natamani niwe natembea njiani nikutane na Bibi Mzee akiwa...
  13. Abdallahking

    JamiiForums Tanzania STORY: Sitaki Tena

    STORY: SITAKI TENA MTUNZI: ANDREW CARLOS IMELETWA KWENU NA: BURE SERIES SEASON 1 SEHEMU YA 1 Nakumbuka Levina mimi nilikuwa na miaka 12,wazazi wangu walikuwa wakinipenda sana na walipenda kuniacha huru hata pale ninapokuwa nacheza na rafiki zangu michezo mbalimbali, nilikuwa napenda sana...
  14. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri wenu: Kuna umuhimu kuridhisha wakwe wa siku hizi?

    Salam sana, naandika hapa nikiwa sina ujuzi wowote wa kiuandishi, kwenye makosa mtanisamehe. Ninachotaka kuelezea hapa na kuomba ushauri wenu ni experience yangu binafsi ambayo nadhani sijapata mtu sahihi bado wa kuongea nae vizuri akanielewa. Mimi ni kijana fulani wa makamo, katika miaka ya...
  15. Hashpower7113

    JamiiForums Tanzania Love story: Tears of the soul (machozi ya rohoni)

    TEARS OF THE SOUL (MACHOZI YA ROHONI)- 1 Mtunzi: Aziz Hashim (Hash Power) NB: UNAWEZA KUIPATA SIMULIZI HII TAMU KUANZIA MWANZO MPAKA MWISHO KWA MFUMO WA e-Book (PDF) UTAKAYOISOMA KWENYE SIMU YAKO KWA SH. 5000/= TU NICHEKI WHATSAPP 0719401968! “Mke wangu!” “Abee mume wangu!” “Jiandae leo...
  16. The Boss

    JamiiForums Tanzania Bernard Membe same old story

    Nataka Sana kuamini Bernard Membe ana kitu 'interesting'anakuja nacho lakini nashindwa. Nionavyo Mimi story ya Bernard Membe itaishia kule kule ilipoishia ya Lowasa na Mrema na wengine. Nashindwa kabisa kumtazama Bernard Membe kama 'mtu mwenye master plan' Ya kumtoa Magufuli au hata kuleta Tu...
  17. RAKI BIG

    JamiiForums Tanzania Story ya Niwa na Mwl. John

    Weekend tulivu, Mwalimu John kapozi zake Huku akifuafua vijisarawili vyake viwili vitatu kuisindikiza. Akiwa bize kufua na kule simu inaita, kuitazama Namba ngeni. Anaipokea taratibu sauti inaongea kwa mbaaali, haisikiii vizuri. MWANAFUNZI: Hallow Sir MWALIMU : Habari hujambo? MWANAFUNZI ...
  18. Abubakari M N

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Kinu cha Mama

    KINU CHA MAMA Mussa N. Abubakari UTANGULIZI. Hii ni bunilizi tu. Usijaribu kugeuza maoni kuwa ukweli na kuharibu maisha ya watu. ZINDUKO; Moja ni jibu, Ngono hutibu. 1. Romantic Star Alishuka. Akasimama, kisha akaangalia kushoto na kulia. Erick Kupaza alifurahi kurudi nyumbani kwao. Sio tu...
  19. H

    JamiiForums Tanzania Naomba movie ya action yenye story nzuri

    Nipe list ya movie za action zenye story nzuri za kuvutia. Nafikiri mmenielewa maana Kuna wengine wana vichwa vigumu ya kuelewa mada.
  20. T

    JamiiForums Tanzania Story ya mwenyekiti wa kijiji aliekuwa hasamehi watu wake wala hakuamini neno bahati mbaya

    Hii story nilisimuliwa na mkuu mmoja wa chuo na leo nimeikumbuka sana nikasema sio mbaya ni shear nanyi kama elimu kwetu. Palikuwa na mwenyekiti mmoja wakijiji fulani hapo zamani alikuwa akiongoza kijiji chake kwa kufuwata sheria na taratibu zilizo wekwa na kijiji. Mwenyekiti huyu alikuwa hana...
Back
Top Bottom