story

  1. W

    JamiiForums Tanzania Story nyepesi nyepesi tunapoanza weekend na Corona hii

    Habari zenu wakuu Tunaanza weekend sio mbaya nikija story nyepesi nyepesi mimi ninatokea kanda maalumu kwa asili ila nimezaliwa DSM na niko hapa maisha yangu yote sasa tokea tuko wadogo tulikuwa tunaenda likizo baba alikuwa anatupeleka hiyo tabia ninayo mpaka leo nikiwaga likizo naendaga kwetu...
  2. Kapepo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kujua story ya Chedi

    Kuna kauzi kinamzungumzia bwana chedi ambaye kwa sasa ni marehemu alioa single mother, nilikuwa naomba kujua story ya huyu jamaa ili wengine tupate kujifunza
  3. E

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kuwa mtunzi wa kwanza kuandika story kwenye http://www.equatorstory.com/

    Habari mambo naitwa Mr Equator Nimeandika ujumbe huu kuku omba swala moja tu! Mimi nimetengeza website ya ku share story ambayo ni http://www.equatorstory.com/ Je umekuwa ukipata tabu kupost story zako hapa? Hili ndo suluhisho lako. Mimi nataka nkupe nafasi ya kuwa mmoja wapo wa kwanza kutumia...
  4. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania The richest man In history is an African King Mansa Musa from Mali. He was worth over $400Billion

    Musa Keita I came into power in 1312. When he was crowned, he was given the name Mansa, meaning king. It is said that Mansa Musa had conquered 24 cities, each with surrounding districts containing villages and estates, during his reign. Mansa Musa was in charge of a lot of land. To put it into...
  5. mayowela

    JamiiForums Tanzania Stamina ft Atan-ASIWAZE "Not true story changa la macho in business wise"

    Kwenye sanaa kuna mambo mengi ikiwa na uandishi na uchezaji wa maneno, lakini kuna hili limeongezeka wanaita muziki biashara, Kwenye wimbo mpya wa Stamina amecheza karata turufu, tetesi zilizokuwa zikiendelea mtandaoni kuhusu ndoa yake kazitumia kama fursa ya kibiashara kwenye muziki Siku...
  6. G

    JamiiForums Tanzania Vivutio vya utalii Tanzania na faida za utalii wa ndani

    Tanzania imeweka rekodi ya aina yake baada ya vivutio yake vyote vitatu vilivyoingia katika shindano la kutafuta Maajabu Saba ya Asili Barani Afrika kushinda na kuingia katika orodha ya Maajabu Saba ya Asili Barani Afrika. Aidha hifadhi ya Taifa ya Serengeti kimetajwa kuwa ni kivutio pekee...
  7. N

    JamiiForums Tanzania kamishna mabosasa ni tofauti kabisa na wa story ya bishop hilluka

    yaani kama umesoma kwenye jukwaa la entertainment story ya mwandishi nguli bwana Bishop hilluka iitwayo tax utagundua ka twist majina fulani kwa mfano kwenye story yake ambayo ime base kwenye maeneo ya ukweli ya jiji la dsm kuna Rais aitwaye Yohana funguo, IGP aitwaye solomon zirro halafu kuna...
  8. Mbasembase1970

    JamiiForums Tanzania Heaven and Hell Story

    Walking down the street, a Member of Parliament is hit by a lorry and dies. His soul arrives in Heaven and is met by St. Peter. He says, " 'Welcome to heaven. Before you settle in, it seems there's a problem. We seldom see anyone in such a high office around here, so we're not sure what to do...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mtumishi TAMISEMI Dodoma aliyekutwa kafa ndani gari kwenye maegesho ya hoteli ya Morena, stori yake inasikitisha sana

    Wanabodi,nimepewa story na mtu wa karibu na marehemu kuwa huenda kilichosababisha jamaa kujiua ni pamoja na misukosuko ya ndoa yake. Inasemekana marehemu alikuwa akiishi vizuri tu na mke wake na alimuoa kipindi jamaa yuko TAMISEMI kashaajiriwa. Baada ya kuoa akaamua kumpeleka kumsomesha wife...
  10. nchonga aliyebaki

    JamiiForums Tanzania JF imejaliwa vipaji, kuna watu ni watunzi wa stori unaweza ukaamini, tuwekee orodha yako

    Hatari kuna watu wanaweza wakatunga habari wakakuaminisha GuDume GENTAMYCINE britanicca Yericko Nyerere Hawa vijana hatari nawanyoshea mikono asee Kuna mwingine kasahaulika?
  11. bahati93

    JamiiForums Tanzania Hembu tupitie kisa cha Mungu jua (helios) na mwanae (phaethon)

    Hichi ni kisa cha kale kinachopatikana katika hekaya za zamani za waigiriki na miungu yao, iliyokuwa ikiabudiwa kipindi hicho kabla ya KRISTO. Tofauti kubwa kati ya miungu yao na MUNGU anayeabudiwa na wakristo ni kwamba miungu yao nayo ilikuwa na hulka mbalimbali za kibinadamu tofauti ni...
Back
Top Bottom