story

  1. Dumile

    The story of how a Kenyan lady built 200 houses

  2. Mung Chris

    Je, uwezekano wa kukutana na bodyguard wa Rais Samia mtu apige naye story tu za kawaida au utaratibu ukoje

    Huyu mdada ambaye ni bodyguard wa Rais Samia ni mlimbwende yuko vizuri kabisa ila nauliza kama kuna uwezekano wa kukutana naye mtu apige naye story tu za kawaida walau tu kwa dka 20 ili mtu afaidi aone anavyo cheka tabasamu na kufurahia tu story za hapa na pale kuhusu mambo ya kawaida sana...
  3. Rebeca 83

    Wale tuliopata PM za ushindi wa shindano la story of changes na baadae tukaangukia pua njooni tujifariji humu

    Hello JF, Inauma kuwa close to the finishing line halafu usipate 😊😥 Hongereni washindi, sisi wengine tusubiri shindano lijalo, very sad.
  4. Sky Eclat

    The story of Salim bin Khalfan, Liwali of Mombasa (1884 - 1912)

    The story of Salim bin Khalfan, Liwali of Mombasa (1884 - 1912) In the picture, he is seated at the centre. it's important to note that the Omanis ruled Mombasa from 1698 and had their administrative headquarters in Stone Town, Zanzibar. Mombasa was a prominent town under the Zanzibar...
  5. Kasomi

    YouTube Yaja na YouTube story/status

    Mtandao wa YouTube unao milikiwa na Google waja na YouTube story. Youtube story ni kipengele cha kumruhusu mtumiaji wa YouTube mwenye account yaani youtuber kuweka hadithi kama ilivyo mitandao mbalimbali ya kijamii mfano Facebook na Instagram wao pia wanatumia Facebook story au instagram story...
  6. M

    SoC01 African agriculture

    AFRICA AND AGRICULTURE. Agriculture as a science is defined as growing of crops and animal husbandry. It’s definition may vary since it sometimes include the aspects of nature conservation and it’s sustainability. Agriculture is by far the single most important economic activity in Africa...
  7. Olkeriani

    A story of LOVE, PAIN & TEARS | John-Pierre Adams a French footballer, who has been in a coma for almost 39 years

    A French footballer who was born in Senegal and played for major clubs in France as well as the French national squad has been in a coma for almost 38 years due to a mistake his doctor made while putting him to sleep for surgery to repair a torn ligament. He was 34 when he went into a coma...
  8. Taurean

    SoC01 The Summon

    . ********* “Where’s your dad?” My friend Maria asked me with curiosity. It was a visiting day at our school “Well, I don’t have a dad” I turned and answered her without pressure, I was already used to such questions “Oh..! My dad and mom are already here, they’ve brought a lot of things...
  9. M

    SoC01 Tanzanite kama Sarafu Mtandao Afrika

    WATU maeneo mbalimbali duniani wamekuwa wanasumbuka kupata 'kiwakilishi' sahihi na bora kwenye kubadilishana bidhaa toka dunia kuumbwa. Baada ya uwepo wa DOLA ya Kimarekani na EURO ya Ulaya watu wakadhani mapambano hayo yamefikia tamati. La hasha, bado yanaendelea ! Baada ya majaribio ya kadi...
  10. M

    SoC01 Kiswahili Afrika na jinsi ya kukifanza kukua kiurahisi na kiulaini hali tunaongeza ajira kwa Vijana

    TUSIJIDANGANYE kutaka Kiswahili kuenea fumba na kufumbua duniani. Tutosheke na kukiona Kiswahili kinatawala Afrika hatua kwa hatua. KOKOTE Afrika viongozi, wanasiasa, wasomi na jamii kwa ujumla watu wanazungumzia juu ya fursa za ajira na 'baibai kwa umasikini' kwa vijana. Ila hakuna...
  11. lara 1

    Weekend story: A Woman of the people

    Igweeeeeeeee!!! RIP WARUMI! (Mimi na wewe tulikuwa na tofauti zetu za hapa na pale but all Ina all you were a good man, young and vibrant! You will be much missed! Haswaa vi chambo vyako! ) Im back from around the world! Kabla hamjapanic nimerudi na Vuuu tu! Nothing to show picha tu! So...
  12. Mohamed Said

    Tanzania, the story of Julius Nyerere

    TANZANIA THE STORY OF JULIUS NYERERE From the pages of Drum Picha ya kushoto ni mswada alionipa Jim Bailey mmiliki wa jarida la Drum kuhariri na kutafuta mchapaji yaani "publisher. " Tulifanikiwa na kitabu kikachapwa na ndiyo hiyo picha ya pili. Ni katika kazi hii ndipo nilipopata picha...
  13. MK254

    Akili Kubwa: 28-year-old Kenyan engineer owns a USB cable factory

    Anthony Muthungu, a youthful engineering graduate, has had his inspiring story go viral after it emerged that he had established a manufacturing company that locally manufactures mobile charging and data transfer USB cables. The 28-year-old who hails from Kirinyaga County started TOTOSCI Ltd in...
  14. L

    True story: Jinsi nilivyopambana kutafuta mali za Mjerumani mkoani Morogoro, mauzauza na vimbwanga nilivyokutana navyo

    Habarini za leo wanaJF Niliombwa na baadhi yana JF kutoa ushuhuda wangu kidogo jinsi nilivyopambana kutafuta mali za mjerumani mkoani Morogoro. Hii ni baada ya kuona nikichangia baadhi ya thread kuhusiana na matukio hayo. Ni matukio ya kweli Ndugu wana JF kwa wale wanaopenda kufuatilia habari...
  15. Nyani Ngabu

    Are democratic reforms at risk in Tanzania? Inside Story

    Kipindi kimerushwa jana. Washiriki ni Tundu Lissu, Aikande Kwayu, na wa tatu nimelisahau jina lake.
  16. zimmerman

    How effective are vaccines in dealing with corona virus? Israel's story

    Jerusalem Post Health & Science Coronavirus in Israel: What do we know about the 143 hospitalized people? By MAAYAN JAFFE-HOFFMAN JULY 21, 2021 18:07 Of the 143 hospitalized patients, 58% were vaccinated, 39% were not at all, and 3% were partially vaccinated. Some 143 Israelis were...
  17. Sky Eclat

    Story ya chips egg far far or confuse

    Kuna Mzungu alikuja Tanzania kwa shughuli za kikazi. Katika mihangaiko yake alisikia njaa na muda wa lunch uliwadia. Alifikiria pa kupata chakula, aliamua kutafuta sehemu inayouza chakula apate rizki. Alikuta kijiwe cha chips na wasela kibao wanapata msomi. Alikaribia ile sehemu, kulikua na...
  18. M

    Msingi wa mabadiliko

    Watu wengi wanajua wanachopaswa kufanya hapa duniani ili kubadilisha maisha yao na kugusa maisha ya watu wengine katika jamii,lakini changamoto kubwa wanashindwa kuanza kufanya chochote kwa hofu ambayo kimsingi haina mantiki yowote. Hawa ni wale wenye shauku kubwa moyoni mwao kufanya jambo la...
  19. M

    Changa moto za kuelekea kwenye mafanikio

    🛣️ CHANGA MOTO ZA KUELEKEA KWENYE MAFANIKIO ✍🏿 Kila mtu anaye ishi anahitaji kuwa na mafanikio kwa ghalama yoyote ile. Wengi tumekuwa tukikosa kuyaendea malengo yetu ambayo n mafanikio kwa baadhi ya changamoto. 🙏🙏 Naomba ni bainishe baadhi ya changamoto ili uzijue na ukabiliane nazo. 1...
  20. mussaamos

    SoC01 Tutokomeze ulawiti kwa watoto

    Suala kubakwa na kuingiliwa kinyume na maumbile kwa watoto limekuwa likijitokeza Mara kwa Mara hapa nchini. Suala hili linatakiwa kuangaliwa kwa umakini na kutafutiwa mwarobaini wake mapema. Chanzo cha tatizo hili:- (a) Malezi (maadili) mabovu kwa watoto. Nilikuwa nikifanya research kwenye...
Back
Top Bottom