I_manyota
Member
- Aug 15, 2012
- 48
- 44
Unazikumbuka hizi Learn Back, Make It Rain- Fat Joe, vipi kuhusu the iconic song kutoka westcost Still ya Dr Dre, Just A Lil Bit 50 Cent, Poppin Them Thangs - G unit, Gimme That-Run It za Chris Brown mzee list ni ndefu sanaaaaaaaaa kwa wakati wako google it.
Huyo si mwengine basi ni Scott Scotch fundi mmja nuksi sanaaaaaa saanaaaaaaaaaa, mkali huyo aliyejizolea heshima duniani kupitia utayarishaji wa muziki.Kuna waadaaji wachache walioweza kutengeneza muziki na muziki ukaishi miaka na miaka, katika orodha hiyo huwezi acha weka jina la Scott Storch. Mtengenezaji, mtunzi wa nyimbo aliyeweka alama yake ya kuanza huko Philly kama mpiga kinanda na member muhimu sana wa kundi la The Roots.
Sio uchawi ni kipaji chake uwezo wa wake wa hatari kuchezea kinanda uliomtoa Philly hadi California mpiga kinanda aliyetengeneza midundo yake ya hatari(Classic) hasa kwenye pop, hip-hop na R&B, akifanya kazi na safu ya wasanii kama Dr Dre na Beyonce ,G-unit, Chris Brown, 50 Cent Christina Aguilera list ni ndefu yaaani kwa kifupi the top ya miaka 2000's basi jua katika ngoma 10 kama sio zote basi jua 9 kahusika. Vibao vilikua on the top kwa charts mbalimbali duniani, pesa ziliongezeka, na ubunifu ulilipuka. Chunk kubwa ya muziki bora wa 2000 ina jina la Storch. Unajua tena ukishakua na mkwanja mambo yanakua mengii bata zinapitiliza kwao, jamaa akaingia kwenye shida za dawa za kulevya na baadae shida za kifedha maana uteja ulizidi akashindwa kufanya kazi mkwanja ukaanza kushuka taariibu, aliacha kuonekana kwa muongo mmoja. Ilikuwa kama kapotezea muziki, ila jamaa akarudi upya kwa vitendo. Scott Storch bado anaendelea na amefanya nyimbo nzuri tu na bado ananendelea kufanya kazi na kizazi kipya na hata kile cha zamani French Montana, Chris Brown, A $ AP Ferg pamoja na wageni wenye talanta kama Kyle na Thutmose. Kurudi kwa Scott Storch wa mashabiki wa hip-hop hii ni habari nzuri maana jamaa amefanya makubwa kuliko katika Hip-Hop.
Huwezi kumuongelea Scott bila kumtaja Dr Dre, baada ya Dr kuondoka zake Death Row Records na kuanzisha studio yake ya Aftermath Entertainment scott alikua akifanya kazi na dre, mnajua vile Dre yuko vizuri kwenye kuona vipaji japo aliwahi kumsign Eve E kwenye label yake lakini hakudeal nae mpaka akamrudisha Ruff Ryders sababu Dre anasema alikua busy saaana alishindwa kupata muda wa kufanya kazi za Eve.
He wrote all of it. It’s about who can project the best song for the artist at that time. And anytime we worked on a project, for example like you brought up the Jay-Z situation, we was trying to write “Still D.R.E.”, we all took a shot at it, but we all couldn’t come up with nothing as dope as Jay-Z. So we had to take a backseat and say, ‘Okay, his shit is doper than everybody else’s shit that had done wrote something, so he’s the winner, we gonna do what he say’, and at the same time he wrote it in the same vein as if we wrote it, because he understood what he was writing for. He took and embodied, you know what I’m saying, the whole situation as far as writing for Dr. Dre, so we couldn’t do nothing but, you know, take a backseat and acknowledge that, and say, ‘You know what? You’s a bad motherfucker’. We didn’t dispute that, even with Eminem, you know, when the white boy was writing he was coming with that shit. Niggas were like, ‘Man, we can’t https://jamii.app/JFUserGuide with that!’.
Mzigo ukashuka the rest is history, na baada ya muda kidogo akanya ngoma ya Fat Joe Learn Back ndio ikawa tafrani mjini kila msanii akatamani kufanya nae ngoma, aliyebahati kufanya kitu kilichotoka kilikwea chart za juu jina la jamaa likazidi kungara na kujijengea heshima kubwa sana.