Hadithi: Time Travel

THE SPIRIT THINKER

JF-Expert Member
Sep 9, 2019
388
552
Huu utakuwa ufafanuzi rahisi was kitu ama Muda.

Je inawezekana kwenda miaka ya mbele ama kurudi nyuma kwa akina Yesu na Yuda Eskaroti?

Sasa hapa utapata ufafanuzi wa time travel.

Ipo ama haipo utapata majibu.

Hebu anza na hii


Mtunzi: Jonas Rututuka
Mwandishi: Nelson Ntimba.
Time travel

MUDA
“MUDA NI NINI? Ama niulize wakati ni nini?. Watu huupima wakati kwa kutumia vitu mbali mbali. Wapo wanaopima muda kupitia kifaa maalum kiitwacho saa.

Lakini nayo saa hupimwa kwa kutumia kifaa kingine kama satilaiti ama kifaa chochote cha kuhisi mijongeo ya mawimbi na hata kifaa kingine cha kiumeme.Ajabu ni kwamba na vifaa hivyo vinaendelea kuitegemea saa ili viwe sahii.

Ningeliweza kuuliza maswali mengi kuhusu muda ama wakati ila kulingana na wakati tulio nao ambao unatuongoza hapa, Acha nizungumzie umuhimu wa kutokupoteza wakati. Je unajua siku nzima ina muda wa saa24?.Kati ya saa hizo saa 8 watu huzitumia kuwa shuleni,ama katika kazi, Na saa 8 nyingine hushauriwa na wataalam ziwe ni za kulala ama kupumzika wakati wa usiku.

Hivyo kila mtu ana saa 8 za ziadakwa ajiri ya mambo yake binafsi. Kumbe watu wote walio fanikiwa walitambua muda huo wa ziada na kuutumia vizuri.Hapo ndipo walipo fanikisha ndoto zao kuzitimiza.

Je unajua kuwa ukizitumia saa hizo vibaya kila siku unakuwa umepoteza saa 56 kwa wikinzima?
Ama umepoteza saa 224 kwa mwezi ?. Ama nisema utakuwa umepoteza saa 2688 kwa mwaka?
Na hii ina maana kuwa hapa shuleni ukiupuuza muda huo utakuwa umepoteza jumla ya saa10752 amabao ni sawa na mwaka mmoja kasoromwezi mmoja na saa 4 tu.

Ukitafakari hili kwa uzito . Utagundua upotevu wa muda tunao ufanya kwa kuendekeza mambo yasiyo ya muhimu. Hivyo basi wanafu……….”

Kabla kijana Nelson ajamalizia mazungumzo yake yalisikika makofi ya mkuu wa shule yakitokea nyuma ya mstari wa wanafunzi. Wanafunzi wote walihamaki na kugeuza vichwa vyao ili macho yao yahakiki kile ambacho masikio yao yalikuwa yakiwaletea.

Wapo walio anza kujikagua kama wana makosa yanayo onekana wazi. Wengine walianza kutawaliwa na wivu wakitamani mazunguzo yale wangeliyawasilisha wao. Wakati kila mwanafunzi akiwaza jambo lake akilini, Mkuu wa shule alipaaza sauti yake yenye muungulumo.
“Safi saafi sana kijana umenikosha kwa mazungumzo mazuri ya asubuhi kama hayo yenye kujenga. Tafadhali kijana huyu kuanzia leo namuweka kuwa mtunza muda wa shule mpaka pale atakapo maliza shule ndipo tutakapo mchagua mtu mwingine”

Mkuu wa shule alitua kidogo na kumeza mate kwa mbwembwe. Kisha akaendelea kuipaaza sauti yake yenye muungurumo.

“Tena akitoka hapa namaanisha baada ya masomo haje ofisini kwangu kuchukua zawadi yake”

Kijana Nelson hakuhamini kilicho tokea, alikuwa ameyaandaa mazungumzo yake kwa njia ya kawaida sana. Lakini alishangaa matokeo yake kuwa makubwa kiasi hicho. Muda wa masomo ulipo isha kama lilivyo semwa agizo la Mkuu wa shule aliingia ofisini kwake. Nelson alikuwa apotezi muda hata dakika chache.
Wapo walio mtania kwa kumuita mzungu kwa njinsi alivyo kuwa akiujali wakati. Aliingia kwenye ofisi ya Mkuu wa shule bila kubisha hodi. Mkuu wa shule alishutuka na kukimbilia mlango ili aufunge haraka. Hata hivyo Nelson alikuwa amesha zamisha kichwa chake na kuchungulia ofisini.

Alimuona mwanafunzi mwenzake akiwa amepiga magoti kama mtu aliye katika nyumba ya ibada akiomba msamaha kwa Muumba wake tena akijaribu kusisitiza kwa msisitizo mkubwa ulio ambatana na kilio cha uchungu.
Mwanafunzi mwenyewe alikuwa ni wa kike. Haraka Nelson alichomoa kichwa chake hata hivyo macho yake yalikuwa yamesha tuma taarifa hiyo kwenye ubongo nao ubongo ulikuwa ukilichakata jambo hilo. Ingawa alijaribu kuulazimisha ubongo wake usifanya kazi yake lakini ilishindikana.

Mkuu wa shule alitoka ofisini kwake na kumkuta Nelson karibu na mlango wa ofisi yake.
Mkuu wa shule alikuwa na wasiwasi na rangi yake ya ngozi ilionyesha matonetone ya jasho.
Alianza kumsifia Nelson huku macho yake yakienda kulia na kushoto chini na juu bila mpangilio.
Nelson alitambua kuwa hali haiko sawa.

Aliinamisha kichwa chake na kuanza kumsikiliza Mkuu wa shule,Kwani alihisi akimtazama usoni macho yake yatamhukum na kumshuku Mkuu wa shule.

Mkuu huyo hakuwa na lolote la maana zaidi ya kumumiminia tu sifa nyingi kijana Nelson. Baada ya sifa hizo Nelson alitoka ofisini na kuwakuta wanafunzi wakimsubiria agonge kengele ili waweze kwenda nyumbani.

Nelson alijilaum sana kwani mada hii aliyo iwasilisha kwa wanafunzi asubuhi aliiandaa miakamiwili iliyo pita. Ikiwa angeliitoa muda huo huenda angeliipata nafasi hiyo mapema. Hata hivyo alijisemea
“Hakuna kilicho haribika”

Kisha alikwenda kugonga kengele na wanafunzi wote walikusanyika mstarini.
Nelson aliendelea kusifiwa kwani hakuwahi kupoteza hata therusi ya sekunde.

Aliizoelea ratiba hiyo ya muda hivi kwamba wakati mwingine halinyanyuka bila kuitaza mpaka ilipo kengere na akiangalia saa yake anakuta muda umefika ama unapungua tu sekunde chache.

Wanafunzi hawakuwa na shida ya kubadili nyakati za saa zao.Wao walitumia kengele iliyo kuwa ikigogwa na Nelson. Naye akibadili ya kwake kupitia saa za wenzake. Mzunguko huo hakuna aliye wahi kuugundua kamwe,Maana walijua saa zao ziko sahii na zinawapimia wakati kwa njia waliyo ihitaji. Ili mradi walitimiza mambo yao kwa wakati ulio pagwa.
Ilikuwa siku ya jumatatu saa nne na nusu asubuhi,ndivyo saa ya Nelson ilivyo onyesha maana ilikuwa na mlio fulani ulio kuwa ukimkumbusha pale alipo pitiwa.Nelson alinyanyuka haraka na kukimbia ilipo kengere,Aliingonga kwa nguvu hata hivyo alishangaa itikio la wanafunzi halikuwa kama la siku zote.

Hakuna aliye shanngilia wala kutoka darasani kama siku nyingine wafanyavyo. Nelson alirudi darasani haraka akihofia labda mwalimu aliingia darasani mara tu baada ya yeye kutoka. Alifika darasani kitu kilicho mshangaza watu wote walikuwa kimya.

Tena wasio tikisa hata kope zao. Aliwatazama kwa muda mara akanyanyua mkono wake kutazama saa iliyo kuwa mikoni mwake mishale yake yote ilikuwa imesimama. Alijaribu kuipiga piga akihisi imeharibika.
Lakini ghafula alisikia mwanafunzi mmoja akisema
“Shetani amepita”
mwingine alicheka na kusema.
“Hapana Mungu alikuwa anatuhesabu”
Hapo minongono ya wanafunzi ilisikika kwa vurugu kama kawaida yao.
Nelson akiwa kwenye mshangao wa nini kimetokea aligeuka na kuitazama saa yake tena.
Ilikuwa ikiendelea kama kawaida yake kuhesabu wakati.

“Muda bado jamani kengele ya uji mbona inachelewa”
Aliongea mwanafunzi mwingine akimtazama Nelson aliyekuwa amepigwa na butwaa. Hata hivyo Nelson alitoka nje na kwenda kungonga kengere kwa mara ya pili.

Hapo wanafunzii wote walipaaza sauti zao za vigelele na kukimbilia sehemu ya uji. Nelson alionyesha kuchanganyikiwa kwani kila mara alikuwa akijiuliza ni nini kilitokea mpaka hali ikawa namna hiyo?. Hata hivyo hakupata majibu kabisa.

Ingawa jambo hilo lilimkumbusha jambo fulani lilowahi kutokea linalo fanana na hilo.Wakati huo Nelson alikuwa kijana mdogo alikuawa ameenda sokoni na mama yake kununua mahitaji. Wakiwa sokoni wananua vitu, ilitokea hali kama hiyo watu wote walikuwa kimya kwa ghafula.

Tena yule mama aliyekuwa anawauzia mchicha alionekana kama amepigwa shoti ya umeme. Na tukio hilo pia lilionekana kwa mama Nelson tena wakati huo alikuwa ameshika pesa mkononi.
Nelson alichua pesa hiyo na kumuwekea mama muuza mchicha mkoni mwake. Kisha aliuchukua mchicha na kuuweka kwenye kikapu chao.

Wakati akitaka kuwashutua alishangaa kuona wanaendeleza mazungumzo kana kwamba hakuna kilicho tukia. Miziki yote ya sokoni ilianza upya kuunguruma. Ila kutokana na umri wake kuwa mdogo hakuweza kujiuliza maswali mengi zaidi.
 
Ingawa jambo hilo lilimkumbusha jambo fulani lilowahi kutokea linalo fanana na hilo.Wakati huo Nelson alikuwa kijana mdogo alikuawa ameenda sokoni na mama yake kununua mahitaji. Wakiwa sokoni wananua vitu, ilitokea hali kama hiyo watu wote walikuwa kimya kwa ghafula.

Tena yule mama aliyekuwa anawauzia mchicha alionekana kama amepigwa shoti ya umeme. Na tukio hilo pia lilionekana kwa mama Nelson tena wakati huo alikuwa ameshika pesa mkononi.
Nelson alichua pesa hiyo na kumuwekea mama muuza mchicha mkoni mwake. Kisha aliuchukua mchicha na kuuweka kwenye kikapu chao.

Wakati akitaka kuwashutua alishangaa kuona wanaendeleza mazungumzo kana kwamba hakuna kilicho tukia. Miziki yote ya sokoni ilianza upya kuunguruma. Ila kutokana na umri wake kuwa mdogo hakuweza kujiuliza maswali mengi zaidi.

Udadisi wake kuhusu muda uliongezeka kadri alivyo kuwa anatanuka akili na kimo.
Nelson na muda Muda na Nelson yaani kila mmoja alimshangaa Nelson yaani hata jambo dogo yeye alilihesabia wakati wake. Hakuwa tayari kufananya jambo ambalo lingempotezea wakati.
Kujali kwake wakati kulifanya mambo yake yafanyike haraka. Pia alipedwa na watu walio kuwa na utaratibu. Hata hivyo alichukiwa na watu wasio jali wakati. Darasani Nelson alikuwa akifanya vizuri zaidi ya wanafunzi wote muda wote aliitazama ratiba yake na kuifuata kwa uangalifu.

Ilikuwa imebakia wiki moja Nelson na wenzake wafanye mtihani wa mwisho wa kidato cha nne. Nelson aliaminiwa sana na alikuwa bora kati wanafunzi watano walio tarajiwa kuibeba shule kitaifa. Kama kawaida ya shule ile wiki ya mwisho kuelekea mtihani wanafunzi wote wanao tarajiwa kumaliza huletewa wataalam wa saikolojia ili kuwajenga. Kwani wengi pindi hiyo uugua vichaa na kushidwa kujihami na kupatwa na hofu hivyo upelekea kushidwa mtihani.

Baada ya wataalam kuzungumza nao kwa takribani siku tatu mfululizo ilifika siku ya nne na hiyo huwa ni kwa ajiri ya wale vijana watano wanao fanya vizuri zaidi.
Hawa huwa wanaongea na mkuu wa shule kwa lengo la kuwaimarisha zaidi. Maana hao huonwa kama taa ya shule kitaifa. Nelson pia alikuwa mmoja wao.

Walifika pale ofisini kwa mkuu hata hivyo mkuu alikuwa bado hajaingia ofisini kwake. Kama kawaida ya Nelson aliona anapoteza muda kukaa mahali pale bila kujua hatima ya mkuu. Ndipo alipo sukuma mlango na kuchungulia kuona kama kuna dalili ya uwepo wa mkuu. Kutazama ndani alimuona msichana mmoja akiwa amekaa peke yake kwenye kiti huku akitokwa na machozi.
 
SEHEMU YA PILI

MUDA

0656353765



Tofauti na miaka yote iliyo kuwa imetangulia vijana hawa watano siku hiyo hawakuweza kuzungumza na mkuu wa shule. Mwalimu alionyesha tofauti kubwa sana na hangeweza kuzungumza na yeyote. Labda yeye angepaswa kupata mtu wa kuzungumza nae.Huenda hali yake ile ingelitulia.

Kama kawaida ya Nelson aliusikitia ule muda ulio potea.Kwake alikuwa amepoteza kitu chenye thamani,Maana aliamini hangeweza kupata tena muda huo. Kwani ulikuwa umeondoka na hakuwa na njia nyingine ya kuurejesha.

Nelson na wenzake walirudi darasani na kuungana na wenzao.Kila mmoja aliuona uso wa Nelson ulivyo kuwa umenyongonyea bila shaka ni muda alio upoteza ulikuwa ukimnyima furaha. Alichukua penseli na rula kisha akapiga mstari. Kisha alianza kuchora alama za mistari na kisha alizitenga katika chumba ama drafti. Chini ya mstari huo aliweka alama ya kutoa ama hasi na juu ya mstari aliweka kujumlisha ama chanya. Aliweka namba kuanzia mstari wa juu kushuka chini. Baada ya kuifikia sifuri alianza tena moja upande wa hasi huku namba hizo zikipanda.

Aliandika neno “Mstari wa muda”kisha akachora jedwari lililo onyesha muda na upotevu wake. Wanafunzi wengine walianza kucheka.Hata hivyo yeye alikuwa akihisi jambo hilo ni muhimu sana kwake hivyo hakuvunjwa moyo na vicheko vya wanafunzi.

Muda wa kurudi nyumbani ulipo fika Nelson alijitenga na wengine. Hakutaka kusumbuliwa kwani alihisi kichwani mwake kuna jambo muhimu la kutafakari. Meza zote za kufanyia mtihani zilikuwa tayari na kila mmoja alijua namba yake ya kufanyia mtihani.
Hivyo Nelson hakuwa na wasiwasi wowote alijiamini hivyo alikuwa akielekea nyumbani kwao kwa ajili ya mapumziko ya siku mbili ambazo kwake ni sawa na saa 48 ambazo wengi huzitumia kama kisingizio cha mwisho juma.

Nelsoni alikuwa peke yake njiani akionyesha kuzama katika dimbwi la mawazo na magari na pikipiki ndivyo vilikuwa vikimshtua pale vilipopishana na kutokana na usumbufu huo
Nelson aliona afadhari apite njia ya mkato iliyo tafsiliwa kama kichochoro. Aliingia katika kichochoro hicho huku kichwa chake kikiendelea kuukokotoa muda uliokuwa umepangwa katika mstari aliouchora na kuubatiza jina la mstari wa muda.

Wakati anaendelea na safari yake alipishana na mwanafunzi wa kike aliyekuwa amechuchumaa pembeni mwa kichochoro hicho ,akilia kwa uchungu .
Nelsoni hakujari aliendelea na safari yake . Lakini kilio hicho kilimrudisha kimawazo katika ofisi ya mkuu wa shule . Alimkumbuka yule binti aliyemuona akilia kwa uchungu.
Alikitikisa kichwa chake kama mtu anayetaka kufuta ile picha inayomsumbua kichwani.
Lakini ilimuongezea picha nyingine ya binti aliyekuwa amepiga magoti huku akilia kwa uchungu. Nelsoni alishindwa kuvumilia , alirudi nyuma na kuanza kumfuata alipokuwa yule msichana . Kilio kile kilipenya hadi vilipokuwa vichocheo vya hisia za huruma .
Nelson alihisi mwili wake wote umemwagiwa na maji ya baridi
“tatizo nini, mbona upo katika hali hiyo?”
Alitamka kwa upole .
Mwanafunzi yule hakusema chochote zaidi ya kuzidisha kilio
“Niambie tafadhari nitakusaidia”
Aliongea nelsoni huku akilemewa na hisia .
mwanafunzi yule alionyesha punje flani mdomoni na hapo alijikunyata na kuzima gafla kilio chake kama mashine iliyopigwa shoti .
Wakati Nelsoni akiendelea kumbembeleza ili amueleze kinacho msibu alishtuka kuona hali ya mwanafunzi yule ikibadilika na kuanza kugala gala kama mtu mwenye kifafa uku mapovu mengi yakimtokea mdomoni .
Nelsoni aliogopa , akajaribu kukimbia lakini hisia za huruma kali zilimjia na akaamua kurudi alimbeba binti yule mikononi mwake yule binti alikuwa mzito sana licha ya wembamba wake.
Nelsoni alibadili maamuzi alimbeba mgongoni na kuanza kumkimbiza kuelekea hospitari iliyokuwa karibu . Haikumchukua nusu saa alikuwa amefika hapo hospitalini ingawa alikuwa amechoka sana , aliunyanyua mkono wake na kutazama saa yake aligundua alikuwa ametumia dakika 28 kufika hapo hospitalini .

Wauguzi walimpokea na mara moja wakamuuliza .
“umemfanya nini. ?
Swali hilo la muuguzi lilimfanya ahisi kichomi cha gafla .
Alishuka chini huku ameshika tumbo lake upande wa kushoto .
Lazima awe na pf3 asituletee mzoga wake kisa mapenzi ya watoto utajua kwanini usingesubili mkue .
Maneno hayo yaliizidisha hali ya nelson na kujikuta akiangusha kilio kwa uchungu uku akisema.
“mimi sijui loloteeee.”
Na kilio hicho ndicho kilicho mtoa muuguzi mkuu ndani na kuja kushuhudia kilichokuwa kikiendelea .
Mkuu wa wauguzi alipofika alistaajabu kuona hali ya yule binti mwanafunzi alinyoosha vidole vyake viwili na kugusa eneo la shingoni alikaza macho yake kama mshangao na hapo aliuchukua mkono wa binti nakuanza kuweka vile vidole viwili.
“Haraka peleka chumba cha mahututi”
Alitamka kwa hasira na hapo harakati zilianza kwa agizo la mkuu huyo .
Nelson akiwa amechuchumaa alianza kuchunguza huku na kule ili apate nafasi ya kukimbia. Aliona sehemu iliyo zungushiwa maua na akaanza kupiga hesabu za kuruka ukuta wa eneo hilo .
Wakati anajiandaa kunyanyuka alisikia mtu akimpapasa mgongoni kana kwamba anampoza, alipogeuza macho yake kumtazama alimuona askari polisi.
Pwaa moyo wake ulilipuka na hapo jasho likaanza kumtililika .
Nelsoni alianza kutetemeka kwa woga na alianza kutoa sauti iliyoashilia kilio.
Hata hivyo muuguzi mkuu alirudi na kumwambia yule askari kuwa anamhitaji Nelsoni. Waliongozana mpaka ofisini kwake moyoni mwake Nelson alikuwa akihisi hatari mbele yake.

“Huenda binti yule anakufa”
alikuwa akijinongoneza mwenyewe moyoni .
“Usiogope kijana hii ni hali ya kawaida”
Muuguzi mkuu alitamka uku akichukua kalamu na kalatasi .
“Kwani mligombania nini?
wanawake sisi ni dhaifu sana”
Aliendelea kuongea kana kwamba anajisemea mwenyewe .
Baada ya kuchukua kile kipande cha kalatasi alimuuliza yule binti.
“Jina lake nani?”
Aliuliza uku akiutazama woga wa Nelsoni uliokuwa wazi usoni mwake .
Mimi sijui lolote lile ila tu niliwahi kumuona ofisini kwa mkuu wetu wa shule akilia .
Nelsoni alifafanua yote aliyoya fahamu yule muuguzi mkuu alibaki tu amemtazama usoni .
Baada ya Nelsoni kujieleza muuguzi mkuu alienda nje na kumuita yule askari waliongea kwa kunongonezana maneno ambayo Nelsoni hakuyasikia.
Aliona tu yule muuguzi mkuu akitoa kitambulisho kumuonyesha yule askari .
Baada ya muda aliingia mkuu wa shule macho yake yalikuwa mekundu sana na alikuwa amesahau kuchomekea maana haikuwa desturi yake.
Muuguzi mkuu aliandika majina yake yote ya Nelsoni na kumruhusu aondoke ila atakapo itajika asisite kutoa ushilikiano .
Maneno hayo yaliufanya moyo wa nelsoni kujawa na furaha.
“ahsante mama”
Alitamka kwa unyenyekevu .
Haraka alianza kutoka uku akimtazama mwalimu aliyekuwa akijipapasa mfukoni kama mtu anayetaka kununua kitu flani .
Nisamehe mdogo wangu natamani nije kukuona lakini sitakanyaga hapa tena.
alijisemea nelson huku akitoka nje ya hospitali.
Kama kawaida ya nelsoni aliitazama saa yake na kugundua ametumia saa 4 akiwa pale hospitalini.
“Yaani katika saa zangu za dhahabu nimepoteza nusu ya masaa 8 bila kufanya chochote .
Nelsoni alitikisa kichwa kama ishara ya kusikitika lakini jambo hilo lilikuwa mwiba kwa nelsoni maana usiku mzima hakupata usingizi kili mara aliyawaza matukio matatu ya binti yake.

Ilikuwa siku ya juma tatu asubuhi Nelson alikuwa anajiandaa kwa ajili ya mtihani. Wakati anaingia katika chumba cha mtihani alimuona yule askari aliyekutana naye pale hospitalini.
Yule askari alimtazama kwa macho makali bila kuonyesha hisia yoyote.
Woga ulianza kutambaa taratibu katika mifupa ya nelson. hata hivyo Nelson alijipiga piga kifuani kama ishara ya kujiimarisha .
***********************************************************
TOA MAONI YAKO ILI TUENDELEE SEHEMU INAYO FUATA.

KWA SASA IMEKAMILIKA YOTE.
 
SEHEMU YA PILI

MUDA

0656353765



Tofauti na miaka yote iliyo kuwa imetangulia vijana hawa watano siku hiyo hawakuweza kuzungumza na mkuu wa shule. Mwalimu alionyesha tofauti kubwa sana na hangeweza kuzungumza na yeyote. Labda yeye angepaswa kupata mtu wa kuzungumza nae.Huenda hali yake ile ingelitulia.

Kama kawaida ya Nelson aliusikitia ule muda ulio potea.Kwake alikuwa amepoteza kitu chenye thamani,Maana aliamini hangeweza kupata tena muda huo. Kwani ulikuwa umeondoka na hakuwa na njia nyingine ya kuurejesha.

Nelson na wenzake walirudi darasani na kuungana na wenzao.Kila mmoja aliuona uso wa Nelson ulivyo kuwa umenyongonyea bila shaka ni muda alio upoteza ulikuwa ukimnyima furaha. Alichukua penseli na rula kisha akapiga mstari. Kisha alianza kuchora alama za mistari na kisha alizitenga katika chumba ama drafti. Chini ya mstari huo aliweka alama ya kutoa ama hasi na juu ya mstari aliweka kujumlisha ama chanya. Aliweka namba kuanzia mstari wa juu kushuka chini. Baada ya kuifikia sifuri alianza tena moja upande wa hasi huku namba hizo zikipanda.

Aliandika neno “Mstari wa muda”kisha akachora jedwari lililo onyesha muda na upotevu wake. Wanafunzi wengine walianza kucheka.Hata hivyo yeye alikuwa akihisi jambo hilo ni muhimu sana kwake hivyo hakuvunjwa moyo na vicheko vya wanafunzi.

Muda wa kurudi nyumbani ulipo fika Nelson alijitenga na wengine. Hakutaka kusumbuliwa kwani alihisi kichwani mwake kuna jambo muhimu la kutafakari. Meza zote za kufanyia mtihani zilikuwa tayari na kila mmoja alijua namba yake ya kufanyia mtihani.
Hivyo Nelson hakuwa na wasiwasi wowote alijiamini hivyo alikuwa akielekea nyumbani kwao kwa ajili ya mapumziko ya siku mbili ambazo kwake ni sawa na saa 48 ambazo wengi huzitumia kama kisingizio cha mwisho juma.

Nelsoni alikuwa peke yake njiani akionyesha kuzama katika dimbwi la mawazo na magari na pikipiki ndivyo vilikuwa vikimshtua pale vilipopishana na kutokana na usumbufu huo
Nelson aliona afadhari apite njia ya mkato iliyo tafsiliwa kama kichochoro. Aliingia katika kichochoro hicho huku kichwa chake kikiendelea kuukokotoa muda uliokuwa umepangwa katika mstari aliouchora na kuubatiza jina la mstari wa muda.

Wakati anaendelea na safari yake alipishana na mwanafunzi wa kike aliyekuwa amechuchumaa pembeni mwa kichochoro hicho ,akilia kwa uchungu .
Nelsoni hakujari aliendelea na safari yake . Lakini kilio hicho kilimrudisha kimawazo katika ofisi ya mkuu wa shule . Alimkumbuka yule binti aliyemuona akilia kwa uchungu.
Alikitikisa kichwa chake kama mtu anayetaka kufuta ile picha inayomsumbua kichwani.
Lakini ilimuongezea picha nyingine ya binti aliyekuwa amepiga magoti huku akilia kwa uchungu. Nelsoni alishindwa kuvumilia , alirudi nyuma na kuanza kumfuata alipokuwa yule msichana . Kilio kile kilipenya hadi vilipokuwa vichocheo vya hisia za huruma .
Nelson alihisi mwili wake wote umemwagiwa na maji ya baridi
“tatizo nini, mbona upo katika hali hiyo?”
Alitamka kwa upole .
Mwanafunzi yule hakusema chochote zaidi ya kuzidisha kilio
“Niambie tafadhari nitakusaidia”
Aliongea nelsoni huku akilemewa na hisia .
mwanafunzi yule alionyesha punje flani mdomoni na hapo alijikunyata na kuzima gafla kilio chake kama mashine iliyopigwa shoti .
Wakati Nelsoni akiendelea kumbembeleza ili amueleze kinacho msibu alishtuka kuona hali ya mwanafunzi yule ikibadilika na kuanza kugala gala kama mtu mwenye kifafa uku mapovu mengi yakimtokea mdomoni .
Nelsoni aliogopa , akajaribu kukimbia lakini hisia za huruma kali zilimjia na akaamua kurudi alimbeba binti yule mikononi mwake yule binti alikuwa mzito sana licha ya wembamba wake.
Nelsoni alibadili maamuzi alimbeba mgongoni na kuanza kumkimbiza kuelekea hospitari iliyokuwa karibu . Haikumchukua nusu saa alikuwa amefika hapo hospitalini ingawa alikuwa amechoka sana , aliunyanyua mkono wake na kutazama saa yake aligundua alikuwa ametumia dakika 28 kufika hapo hospitalini .

Wauguzi walimpokea na mara moja wakamuuliza .
“umemfanya nini. ?
Swali hilo la muuguzi lilimfanya ahisi kichomi cha gafla .
Alishuka chini huku ameshika tumbo lake upande wa kushoto .
Lazima awe na pf3 asituletee mzoga wake kisa mapenzi ya watoto utajua kwanini usingesubili mkue .
Maneno hayo yaliizidisha hali ya nelson na kujikuta akiangusha kilio kwa uchungu uku akisema.
“mimi sijui loloteeee.”
Na kilio hicho ndicho kilicho mtoa muuguzi mkuu ndani na kuja kushuhudia kilichokuwa kikiendelea .
Mkuu wa wauguzi alipofika alistaajabu kuona hali ya yule binti mwanafunzi alinyoosha vidole vyake viwili na kugusa eneo la shingoni alikaza macho yake kama mshangao na hapo aliuchukua mkono wa binti nakuanza kuweka vile vidole viwili.
“Haraka peleka chumba cha mahututi”
Alitamka kwa hasira na hapo harakati zilianza kwa agizo la mkuu huyo .
Nelson akiwa amechuchumaa alianza kuchunguza huku na kule ili apate nafasi ya kukimbia. Aliona sehemu iliyo zungushiwa maua na akaanza kupiga hesabu za kuruka ukuta wa eneo hilo .
Wakati anajiandaa kunyanyuka alisikia mtu akimpapasa mgongoni kana kwamba anampoza, alipogeuza macho yake kumtazama alimuona askari polisi.
Pwaa moyo wake ulilipuka na hapo jasho likaanza kumtililika .
Nelsoni alianza kutetemeka kwa woga na alianza kutoa sauti iliyoashilia kilio.
Hata hivyo muuguzi mkuu alirudi na kumwambia yule askari kuwa anamhitaji Nelsoni. Waliongozana mpaka ofisini kwake moyoni mwake Nelson alikuwa akihisi hatari mbele yake.

“Huenda binti yule anakufa”
alikuwa akijinongoneza mwenyewe moyoni .
“Usiogope kijana hii ni hali ya kawaida”
Muuguzi mkuu alitamka uku akichukua kalamu na kalatasi .
“Kwani mligombania nini?
wanawake sisi ni dhaifu sana”
Aliendelea kuongea kana kwamba anajisemea mwenyewe .
Baada ya kuchukua kile kipande cha kalatasi alimuuliza yule binti.
“Jina lake nani?”
Aliuliza uku akiutazama woga wa Nelsoni uliokuwa wazi usoni mwake .
Mimi sijui lolote lile ila tu niliwahi kumuona ofisini kwa mkuu wetu wa shule akilia .
Nelsoni alifafanua yote aliyoya fahamu yule muuguzi mkuu alibaki tu amemtazama usoni .
Baada ya Nelsoni kujieleza muuguzi mkuu alienda nje na kumuita yule askari waliongea kwa kunongonezana maneno ambayo Nelsoni hakuyasikia.
Aliona tu yule muuguzi mkuu akitoa kitambulisho kumuonyesha yule askari .
Baada ya muda aliingia mkuu wa shule macho yake yalikuwa mekundu sana na alikuwa amesahau kuchomekea maana haikuwa desturi yake.
Muuguzi mkuu aliandika majina yake yote ya Nelsoni na kumruhusu aondoke ila atakapo itajika asisite kutoa ushilikiano .
Maneno hayo yaliufanya moyo wa nelsoni kujawa na furaha.
“ahsante mama”
Alitamka kwa unyenyekevu .
Haraka alianza kutoka uku akimtazama mwalimu aliyekuwa akijipapasa mfukoni kama mtu anayetaka kununua kitu flani .
Nisamehe mdogo wangu natamani nije kukuona lakini sitakanyaga hapa tena.
alijisemea nelson huku akitoka nje ya hospitali.
Kama kawaida ya nelsoni aliitazama saa yake na kugundua ametumia saa 4 akiwa pale hospitalini.
“Yaani katika saa zangu za dhahabu nimepoteza nusu ya masaa 8 bila kufanya chochote .
Nelsoni alitikisa kichwa kama ishara ya kusikitika lakini jambo hilo lilikuwa mwiba kwa nelsoni maana usiku mzima hakupata usingizi kili mara aliyawaza matukio matatu ya binti yake.

Ilikuwa siku ya juma tatu asubuhi Nelson alikuwa anajiandaa kwa ajili ya mtihani. Wakati anaingia katika chumba cha mtihani alimuona yule askari aliyekutana naye pale hospitalini.
Yule askari alimtazama kwa macho makali bila kuonyesha hisia yoyote.
Woga ulianza kutambaa taratibu katika mifupa ya nelson. hata hivyo Nelson alijipiga piga kifuani kama ishara ya kujiimarisha .
***********************************************************
TOA MAONI YAKO ILI TUENDELEE SEHEMU INAYO FUATA.

KWA SASA IMEKAMILIKA YOTE.
Mzee baba we poromosha kisa wengine wataielewa baadaye
 
SEHEMU YA TATU
RIWAYA:MUDA.
0656353765



Yule askari alimtazama kwa macho makali bila kuonyesha hisia yoyote.
Woga ulianza kutambaa taratibu katika mifupa ya nelson. hata hivyo Nelson alijipiga piga kifuani kama ishara ya kujiimarisha .
***********************************************************
Tukio hilo alilikumbuka sana nelson wakati akinyamazishwa kulia baada ya matokeo kuonyesha amepata daraja la tatu tena lisilo na mchepuo maalum.
Matokeo hayo yalimfanya Nelson atamani kujiondoa uhai lakini alivyokumbuka tukio la yule binti aliazimia kutojizuru kwa lolote lile.
Hali ya nelsoni ilibadilika akapungua mwili wake na umakini wake katika mambo yote ukapotea. Kilifanyika kikao cha ndugu za nelsoni maana wote waliutambua uwezo wa na kikao hicho kilifanyika katika wilaya ya temeke jijini dar es salaam maeneo ya mtoni mtongani katika nyumba ndogo iliyokuwa karibu na reli ya tazara.
Nilazima Aletwe huku na kurudia darasa Darasa moja ama mnasemaje? Alitamka mama mdogo wa Nelson aliyekuwa amejitolea kumsaidia Nelson kwa hali yoyote ile . Hata hivyo mjomba wake alipinga wazo ilo na kutaka Nelson apelekwe chuo chochote cha Habari maana hawaelewi ni nini kilitokea mpaka kuharibu matokeo ya Nelson . Wazo la Mjomba lilikubalika na hapo Nelson alitumia nauli na hapo aliyaanza maisha ya jiji la dar es salaam lasmi.
Nelson alikuwa amepoteza uwezo wake wote sasa Alikuwa kijana asiyejijali mvivu wa mwili wake mwenyewe. Nelson alilipenda sana jiji la Dar es salaam hasa eneo la alilokuwepo la Mtongani kwani watu wa eneo hilo hawakuwa na ufanisi sana, Tena hawakuwa na utaratibu katika maisha yao.

Hakuna aliyejari maisha ya mwingine hata kama unaishi naye ndani. Hali hiyo ilimfanya Nelson kusahau maisha yote ya nyuma na sasa alikuwa Kijana muongeaji sana aliyefaa katika fani yake mpya ya Utangazaji. Kiswahili chake laini chenye maneno mengi ya mtaani kiliwafanya watu walio msikiliza kufurahia njia yake ya mazungumzo .

Nelson alijua kupambana na maisha kwani alijua vizuri hali ya mama yake mdogo.
Hivyo alifanya kazi usiku baada ya kutoka chuoni ili apate chochote . Nelson alipendwa sana chuoni maana kila mtu alimtania kwa mwonekano wake wa shagala bagala . Uwezo wake darasani ulikuwa mdogo ingawa ungepata nafasi ya kumsikiliza ungedhani umekutana na mhadhili wa chuo hicho.
Alijua kupanga matukio ya uongo na ukweli na lazima yangekuteka tu. Kituo fulani cha Redio kilimtembelea pale chuoni kwaajili ya kushindanisha vipaji vya utangazaji na Nelson aliibuka mshindi. Alikuwa na uwezo wa kuwasilisha jambo hata kama la uongo. Ungedhani huo ndio ukweli .
Waligawa vyeti kwa washindi na kuwapa nafasi za kutengeneza vipindi na kuviwakilisha pale redioni na mshindi angepata nafasi ya kuajiliwa pale kituoni. Nelson hakuwa na mda wa kufikilia maana mda wote alipambana na kazi ngumu ilikumtunza mama mdogo. Jioni moja Nelson alikuwa katika soko la stirio linalopatikana temeke akibeba magunia ya viazi yaliyokuwa yameshuka kutoka Iringa , wakati amebeba lile gunia alijikwaa kwa mtu mmoja aliyekuwa amevaa suti ya samabluu.

Alidondoka chini na kuchubuka upande wa kulia wa mkono wake. Yule mtu mwenye jinsia ya kiume alimpa pole na kumuomba radhi sana , Lakini alipokuja kumtazamz vizuri alikuwa ni mkuu wake wa shule ya sekondari .
“Nelson”
Aliita kwa mshtuko yule mwalimu ,
“wewe ndio umepanga kazi hii?”
Alizidi kuonyesha mshangao hata hivyo Nelsoni hakuwa nalakusema zaidi kuitikia kila alichokisema mwalimu wake. Sikiliza Nelson chukua kiasi hiki cha fedha kitakusaidia siku kadhaa ila jitahidi kesho tuonane , mimi niko pale shule ya sekondari ya maarifa iko Tandika . Nelson alifurahi mno wakati Anapokea noti tatu mpya za shilingi elfu kumi .
Ingawa alikuwa na furaha kwakupokea kiasi hicho cha fedha lakini akili yake iliangaika sana picha ya binti aliye piga magoti ikibembeleza ilikuwa ikigonga hodi kila mara kichwani mwake Alijaribu kuifukuza lakini mpangilio wa matukio ya binti huyo ulikuwa ukipitia katika akili yake kama mto ufanyavyo wakati wa kumwaga maji yake baharini. Mfululizo wa matukio ulimkumbusha mwonekano wa mkuu wake wa shule pale hospitarini.

“Huyu ndiye msababishaji wa mambo yote”

Alitamka Nelson huku akionesha kuangaishwa na jambo flani kichwani mwake .
Aligeuka akaangalia mkono wake kana kwamba anachunguza mda “Dakika 28” Alitamka kwa msikitiko . “Zilitosha kuharibu maisha yangu na malengo yangu”Alizidi kulalamika mwenyewe . Na malalamiko yake hayakuishia hapo .Alipofika nyumbani kwao alichukua kalatasi nakuandika kwa hisia “Dakika 28.”
Kisha alianza kuandika mtililiko wa matukio ya binti yule . Kadri alivyo endelea na uandishi wake ndivyo alihisi ana kitu anatakiwa kukitimiza.

Aliikumbuka namba ya redio iliyompatia cheti , Haraka alichukua simu na kupiga iliita bila majibu aliinama tena na kuchukua kalatasi na kuanza kusoma mambo aliyokuwa anaandika
“hii ni nzuri sana”
Alijisemea,
Kisha akachukua gazeti na kulikunja mithiri ya bomba la maji aliiweka mdomoni na kuanza kuigiza kama mtu mwenye maika na kuanza kusimulia kisa alichokipa jina la Dakika 28 .

Wakati anaendelea mama yake mdogo alitoka sebuleni na kuja chumbani kwake kwa mshangao.
“Mwanangu umenunua Redio?
Mda huo huo simu yake iliita alipoitazama ilikuwa imeandikwa Redio supa.
Aliinamisha gazeti chini na kupokea sim.
“ Ni mimi Nelson mmoja wa wana chuo nilie pata cheti chenu , nimepata wazo la kipindi Tafadhari naomba kesho nilete wazo langu”
Yalikuwa mazungumzo ya Nelsoni na mkulugenzi wa vipindi wa supa Redio.
Haikuwa tatizo kwa mkulugenzi wala kwa Nelson kukubaliana kwani waliutambua vyema ushindi wake wa tuzo ya mtangazaji chipukizi katika shindano lao la Supa Kitaa.

Hivyo Nelison alipata nafasi ya kuandaa kipindi katika Redio yao. Na Nelson alianzisha kipindi cha simulizi alichokipa jina la Dakika 28.
Siku ya kwanza alichujiwa katika kipindi cha SEMA NAO kilichokuwa kinapendwa na watu wengi. Kati ya watu walio fatilia maojiano hayo alikuwa Mkuu wa shule aliposomea Nelson.
Na kesho yake Nelson alianza simulizi lake Nelson hakupoteza hata sekunde wala kuzidisha na jambo hilo lilifanya wasikilizaji kupiga sim nyingi katika Redio wakiomba mda uongezwe.

Mkurugenzi alistaajabia sana uwezo wa Nelson wa kusimulia hadidhi zenye kusisimua kiasi hicho.

Huenda ilitokana na kuwa simulizi hilo lilihusu kisa Halisi alichokipa jina Dakika 28. Nelson aliendelea na simulizi hilo kila siku ya juma tatu hadi ijumaa. Simu ya Nelson ilikuwa haipatikani mda wote kutokana na usumbufu wa watu , Wengi walipenda kusikiliza sauti yake moja kwa moja , licha ya watu kupenda kisa hicho lakini alikuwa amepokea ujumbe mzito kutoka kwa mkuu wake wa shule akimtaka aache kusimulia kisa hicho , vinginevyo ataanzisha vita pamoja naye , hiyo ndiyo meseji iliyomnyima raha aliitafakari kila mara na hivyo watu wasingekubali asitishe simulizi hilo.

Wakati anakaribia kuendelea na simulizi uliingia ujumbe mwingine aliogopa kuufungua alihisi hatari hivyo akaapa kutoufungua mpaka amalize kipindi chake. Akiwa katikati mwa simulizi uliingia ujumbe mwingine hata hivyo alijidhibiti kutousoma mpaka amalize.
Baada ya Dakika 28 Nelson alifungua ujumbe wa kwanza huku moyo ukimpweta pweta. Alipofungua ulikuwa muamala ukimtaarifu kupokea kiasi cha Tsh 1000,000.
Alipigwa na butwaa na hapo nguvu ilimjia na kufungua ujumbe unaofuata.
“Ahaa”
Alitamka kwa mshangao baada ya kusoma ujumbe huo ulisema Hilo sio simulizi ni maisha umenifanya kuwa zezeta kila mahali naiwaza Dakika 28 nimekutumia japo kidogo Asante ila nina hamu ya kukuona.............


TUNAENDELEA.......

KUANZIA SASA UNAWEZA KUAGIZA VITABU VYA JOHN WISSE

KUPITIA +225656353765.

VITABU NILIVYO NAVYO NI

KISIRANI
MISHENI ARUSHA.
MISHENI MOSCO.
MISHENI UKARAIN.
PROPAGANDA.
KISIRANI.
BONDE LA MAUTI.
UKANDA WA GAZA
DHIKI KUU.
SHILINGI NYEKUNDU.

RIWAYA ZOTE NI ZA KIPELELEZI.

UKINUNUA KWA KIFURUSHI UTAPATA PUNGUZO LA ASILIMIA 40%

RIWAYA HII YA MUDA ITAENDELEA HADI MWISHO.

HIVYO USIKOSE KUIFUATILIA KILA SIKU. KILA UKISOMA LIKE,KOSOA,NA TOA MAONI KAMA USIPO ELEWA ULIZA NITAKUJIBU.
 
SEHEMU YA TATU
RIWAYA:MUDA.
0656353765



Yule askari alimtazama kwa macho makali bila kuonyesha hisia yoyote.
Woga ulianza kutambaa taratibu katika mifupa ya nelson. hata hivyo Nelson alijipiga piga kifuani kama ishara ya kujiimarisha .
***********************************************************
Tukio hilo alilikumbuka sana nelson wakati akinyamazishwa kulia baada ya matokeo kuonyesha amepata daraja la tatu tena lisilo na mchepuo maalum.
Matokeo hayo yalimfanya Nelson atamani kujiondoa uhai lakini alivyokumbuka tukio la yule binti aliazimia kutojizuru kwa lolote lile.
Hali ya nelsoni ilibadilika akapungua mwili wake na umakini wake katika mambo yote ukapotea. Kilifanyika kikao cha ndugu za nelsoni maana wote waliutambua uwezo wa na kikao hicho kilifanyika katika wilaya ya temeke jijini dar es salaam maeneo ya mtoni mtongani katika nyumba ndogo iliyokuwa karibu na reli ya tazara.
Nilazima Aletwe huku na kurudia darasa Darasa moja ama mnasemaje? Alitamka mama mdogo wa Nelson aliyekuwa amejitolea kumsaidia Nelson kwa hali yoyote ile . Hata hivyo mjomba wake alipinga wazo ilo na kutaka Nelson apelekwe chuo chochote cha Habari maana hawaelewi ni nini kilitokea mpaka kuharibu matokeo ya Nelson . Wazo la Mjomba lilikubalika na hapo Nelson alitumia nauli na hapo aliyaanza maisha ya jiji la dar es salaam lasmi.
Nelson alikuwa amepoteza uwezo wake wote sasa Alikuwa kijana asiyejijali mvivu wa mwili wake mwenyewe. Nelson alilipenda sana jiji la Dar es salaam hasa eneo la alilokuwepo la Mtongani kwani watu wa eneo hilo hawakuwa na ufanisi sana, Tena hawakuwa na utaratibu katika maisha yao.

Hakuna aliyejari maisha ya mwingine hata kama unaishi naye ndani. Hali hiyo ilimfanya Nelson kusahau maisha yote ya nyuma na sasa alikuwa Kijana muongeaji sana aliyefaa katika fani yake mpya ya Utangazaji. Kiswahili chake laini chenye maneno mengi ya mtaani kiliwafanya watu walio msikiliza kufurahia njia yake ya mazungumzo .

Nelson alijua kupambana na maisha kwani alijua vizuri hali ya mama yake mdogo.
Hivyo alifanya kazi usiku baada ya kutoka chuoni ili apate chochote . Nelson alipendwa sana chuoni maana kila mtu alimtania kwa mwonekano wake wa shagala bagala . Uwezo wake darasani ulikuwa mdogo ingawa ungepata nafasi ya kumsikiliza ungedhani umekutana na mhadhili wa chuo hicho.
Alijua kupanga matukio ya uongo na ukweli na lazima yangekuteka tu. Kituo fulani cha Redio kilimtembelea pale chuoni kwaajili ya kushindanisha vipaji vya utangazaji na Nelson aliibuka mshindi. Alikuwa na uwezo wa kuwasilisha jambo hata kama la uongo. Ungedhani huo ndio ukweli .
Waligawa vyeti kwa washindi na kuwapa nafasi za kutengeneza vipindi na kuviwakilisha pale redioni na mshindi angepata nafasi ya kuajiliwa pale kituoni. Nelson hakuwa na mda wa kufikilia maana mda wote alipambana na kazi ngumu ilikumtunza mama mdogo. Jioni moja Nelson alikuwa katika soko la stirio linalopatikana temeke akibeba magunia ya viazi yaliyokuwa yameshuka kutoka Iringa , wakati amebeba lile gunia alijikwaa kwa mtu mmoja aliyekuwa amevaa suti ya samabluu.

Alidondoka chini na kuchubuka upande wa kulia wa mkono wake. Yule mtu mwenye jinsia ya kiume alimpa pole na kumuomba radhi sana , Lakini alipokuja kumtazamz vizuri alikuwa ni mkuu wake wa shule ya sekondari .
“Nelson”
Aliita kwa mshtuko yule mwalimu ,
“wewe ndio umepanga kazi hii?”
Alizidi kuonyesha mshangao hata hivyo Nelsoni hakuwa nalakusema zaidi kuitikia kila alichokisema mwalimu wake. Sikiliza Nelson chukua kiasi hiki cha fedha kitakusaidia siku kadhaa ila jitahidi kesho tuonane , mimi niko pale shule ya sekondari ya maarifa iko Tandika . Nelson alifurahi mno wakati Anapokea noti tatu mpya za shilingi elfu kumi .
Ingawa alikuwa na furaha kwakupokea kiasi hicho cha fedha lakini akili yake iliangaika sana picha ya binti aliye piga magoti ikibembeleza ilikuwa ikigonga hodi kila mara kichwani mwake Alijaribu kuifukuza lakini mpangilio wa matukio ya binti huyo ulikuwa ukipitia katika akili yake kama mto ufanyavyo wakati wa kumwaga maji yake baharini. Mfululizo wa matukio ulimkumbusha mwonekano wa mkuu wake wa shule pale hospitarini.

“Huyu ndiye msababishaji wa mambo yote”

Alitamka Nelson huku akionesha kuangaishwa na jambo flani kichwani mwake .
Aligeuka akaangalia mkono wake kana kwamba anachunguza mda “Dakika 28” Alitamka kwa msikitiko . “Zilitosha kuharibu maisha yangu na malengo yangu”Alizidi kulalamika mwenyewe . Na malalamiko yake hayakuishia hapo .Alipofika nyumbani kwao alichukua kalatasi nakuandika kwa hisia “Dakika 28.”
Kisha alianza kuandika mtililiko wa matukio ya binti yule . Kadri alivyo endelea na uandishi wake ndivyo alihisi ana kitu anatakiwa kukitimiza.

Aliikumbuka namba ya redio iliyompatia cheti , Haraka alichukua simu na kupiga iliita bila majibu aliinama tena na kuchukua kalatasi na kuanza kusoma mambo aliyokuwa anaandika
“hii ni nzuri sana”
Alijisemea,
Kisha akachukua gazeti na kulikunja mithiri ya bomba la maji aliiweka mdomoni na kuanza kuigiza kama mtu mwenye maika na kuanza kusimulia kisa alichokipa jina la Dakika 28 .

Wakati anaendelea mama yake mdogo alitoka sebuleni na kuja chumbani kwake kwa mshangao.
“Mwanangu umenunua Redio?
Mda huo huo simu yake iliita alipoitazama ilikuwa imeandikwa Redio supa.
Aliinamisha gazeti chini na kupokea sim.
“ Ni mimi Nelson mmoja wa wana chuo nilie pata cheti chenu , nimepata wazo la kipindi Tafadhari naomba kesho nilete wazo langu”
Yalikuwa mazungumzo ya Nelsoni na mkulugenzi wa vipindi wa supa Redio.
Haikuwa tatizo kwa mkulugenzi wala kwa Nelson kukubaliana kwani waliutambua vyema ushindi wake wa tuzo ya mtangazaji chipukizi katika shindano lao la Supa Kitaa.

Hivyo Nelison alipata nafasi ya kuandaa kipindi katika Redio yao. Na Nelson alianzisha kipindi cha simulizi alichokipa jina la Dakika 28.
Siku ya kwanza alichujiwa katika kipindi cha SEMA NAO kilichokuwa kinapendwa na watu wengi. Kati ya watu walio fatilia maojiano hayo alikuwa Mkuu wa shule aliposomea Nelson.
Na kesho yake Nelson alianza simulizi lake Nelson hakupoteza hata sekunde wala kuzidisha na jambo hilo lilifanya wasikilizaji kupiga sim nyingi katika Redio wakiomba mda uongezwe.

Mkurugenzi alistaajabia sana uwezo wa Nelson wa kusimulia hadidhi zenye kusisimua kiasi hicho.

Huenda ilitokana na kuwa simulizi hilo lilihusu kisa Halisi alichokipa jina Dakika 28. Nelson aliendelea na simulizi hilo kila siku ya juma tatu hadi ijumaa. Simu ya Nelson ilikuwa haipatikani mda wote kutokana na usumbufu wa watu , Wengi walipenda kusikiliza sauti yake moja kwa moja , licha ya watu kupenda kisa hicho lakini alikuwa amepokea ujumbe mzito kutoka kwa mkuu wake wa shule akimtaka aache kusimulia kisa hicho , vinginevyo ataanzisha vita pamoja naye , hiyo ndiyo meseji iliyomnyima raha aliitafakari kila mara na hivyo watu wasingekubali asitishe simulizi hilo.

Wakati anakaribia kuendelea na simulizi uliingia ujumbe mwingine aliogopa kuufungua alihisi hatari hivyo akaapa kutoufungua mpaka amalize kipindi chake. Akiwa katikati mwa simulizi uliingia ujumbe mwingine hata hivyo alijidhibiti kutousoma mpaka amalize.
Baada ya Dakika 28 Nelson alifungua ujumbe wa kwanza huku moyo ukimpweta pweta. Alipofungua ulikuwa muamala ukimtaarifu kupokea kiasi cha Tsh 1000,000.
Alipigwa na butwaa na hapo nguvu ilimjia na kufungua ujumbe unaofuata.
“Ahaa”
Alitamka kwa mshangao baada ya kusoma ujumbe huo ulisema Hilo sio simulizi ni maisha umenifanya kuwa zezeta kila mahali naiwaza Dakika 28 nimekutumia japo kidogo Asante ila nina hamu ya kukuona.............


TUNAENDELEA.......

KUANZIA SASA UNAWEZA KUAGIZA VITABU VYA JOHN WISSE

KUPITIA +225656353765.

VITABU NILIVYO NAVYO NI

KISIRANI
MISHENI ARUSHA.
MISHENI MOSCO.
MISHENI UKARAIN.
PROPAGANDA.
KISIRANI.
BONDE LA MAUTI.
UKANDA WA GAZA
DHIKI KUU.
SHILINGI NYEKUNDU.

RIWAYA ZOTE NI ZA KIPELELEZI.

UKINUNUA KWA KIFURUSHI UTAPATA PUNGUZO LA ASILIMIA 40%

RIWAYA HII YA MUDA ITAENDELEA HADI MWISHO.

HIVYO USIKOSE KUIFUATILIA KILA SIKU. KILA UKISOMA LIKE,KOSOA,NA TOA MAONI KAMA USIPO ELEWA ULIZA NITAKUJIBU.
Tupo pamoja mwanzo mwenga, labda bundle liishe
 
SEHEMU YA NNE.
RIWAYA :MUDA



Alitamka kwa mshangao baada ya kusoma ujumbe huo ulisema Hilo sio simulizi ni maisha umenifanya kuwa zezeta kila mahali naiwaza Dakika 28 nimekutumia japo kidogo Asante ila nina hamu ya kukuona.............

Kabla hajamaliza kusoma ujumbe huo alishutushwa na muongozaji wa kipindi kingine aliyeitaji kupishwa ili aendelee na majukum yake.

Anitha Kashebuka ni Afisa mahusiano katika Benki ya NMB Tawi la tegeta. Wafanya kazi wenzake walijivunia kuwa na mtu wa namna hiyo kazini kwao sio kwa sababu ya urembo wake , mwonekano wake ama bidii yake kazini.
Hapana bali uchangamfu wake na uwezo wake wa kuwaunganisha pamoja kwa umoja.
Kila mwanaume alitamani kumchumbia Anitha hata hivyo neno hilo ni kati ya mambo yaliyo mfanya avunjike moyo na kushinda bila kuongea na mtu yeyote.
Hadi watu kufikia hatua ya kumuomba msamaha ama kuwaombea msamaha walio fanya hivyo bila kutambua. Hata hivyo toka kipindi cha Dakika 28 kianze Anitha amewashangaza wengi maana kazini amekosa ushirikiano mda wote anatembea na Redio mkononi kama baadhi ya wakulima wafanyavyo

Anitha amekuwa akifanya jitihada za kumpata Nelson ili japo aongee naye lakini jitihada hizo zimekuwa ngumu kutokana na simu ya Nelson kuwa “Bise”Mda wote .
“Lazima niende studio kumuona huyu Nelson haiwezekani bila kufanya hivyo nitaendelea kuwakela wafanyakazi wenzangu na hilo likiendelea nitapoteza kibarua changu”

Alijisemea Anitha huku akizikuna nywele zake zilizokuwa zimejivilingita kama matangazo ya wasukaji Wafanyakazi wenzake walianza kumuogopa ata Denis mwanamme wa shoka aliyekuwa amejiapiza kumshawishi taratibu Anitha hadi atakapokubali kuolewa nae aliona hii hali siyo ya kawaida kwa msichana wa ndoto zake.
“Anitha kugadhabika ni tabia yake lakini hii imepitiliza bora angeniambia anaumwa lakini haongei wala hatoi ushirikaiano wowote”
alionekana kulalamika Denis huku glas ya juic ikiwa mkononi mwake .
Alitembea talatibu kwa woga mpaka pale alipokuwa amekaa Anitha.
“Tafadhari chukua hii upunguze mkazo”
Aliongea kwa kujiadhari , hata hivyo Anitha hakuongea chochote bali alinyanyuka na kubeba mkoba mkoba wake kwa mkono wa kulia na mkono wake wa kushoto ulibeba kiredio kidogo aina ya SONTEC.
Alienda moja kwa moja mpaka kwenye gari lake haina ya “HARIA”na kuwasha gari hilo kama vile ana ugomvi na mtu.

Mawazo yake yalimtuma kwenda Kariakoo mtaa wa Msimbazi kulikokuwa kunapatikana kituo cha Redio alimokuwa anafanya kazi Nelson.
Nelson alionekana mwenye furaha sana alikuwa na kiasi cha laki moja mfukoni Alinuia kupitia saa katika Duka moja hapo kariakoo mtaa wa Msimbazi mkabala na kituo cha mwendo kasi. Alibeba makabulasha yake na kuanza safari Hakukuwa na foleni kubwa hivyo njia ya kusini ilionekana fupi mno maana baada ya mda kidogo alikuwa anashuka katika kituo cha gerezani.Alitembea haraka mpaka lilipo lile duka la saa na mabangili ya vito mbalimbali. Alipofika mle aliziona zile saa zilivyokuwa zimepangwa vizuri kila moja ikitumia mwendo wake kuhesabu nyakati. Alikaribishwa vizuri na msichana mwenye asili ya Asiaaliyetumia Rafudhi ya Kizanzibar na wakati ananyoosha mkono wake kuonyesha aina ya saa iliyomvutia kwa macho jambo flani lilitukia.
Gafla saa zote zilisimama hakuna saa iliyoendelea kuhesabu. Nelson alishtuka alianza kubabaika akiwatazama wateja wengine kama waliona tukio aliloliona cha ajabu watu wote walikuwa wamesimama tuli. Kwa lugha rahisi wamepigwa koma kila mmoja alibaki ameonyesha ishara ya tukio lake la mwisho.

Wakati anaendelea kustaajabu alisikia mlio ti ti ti ti ti tiiiii Alipogeuza macho aliona saa moja iliyoendelea kuhesabu majira licha ya vitu vyote kusimama.

Wakati tukio hilo linatukia pale kariakoo Anitha alikuwa katika njia panda ya mwenge akisubili foleni ipite ili kumruhusu apite. Kama Nelson Anitha pia alishuhudia tukio hilo akiwa katika gari lake wakati akiitazama saa iliyokuwa katika mnala wa saa uliopo mwenge. Hata hivyo yeye hakujari jambo ilo kwani alidhani saa imeharibika.

Na hapo alijichomoa katika foleni na kupitia njia za miguu jambo pekee lililomshangaza kila alipopita watu watu walikuwa wamesimama tuli katika mapozi tofauti.
Baada ya dakika chache hari ilirudi katika ukawaida na Nelson alitoa kiasi cha fedha na kulipa kisha akaondoka na saa ile iliyomsitaajabisha.
“Hapa nitakuwa kumpya tena nitakuwa Nelson mnayemfaham”
Alitamka Nelson akiangalia saa yake iliyoufanya mkono wake uonekane wenye thamani.
Aliitazama tena saa yake kisha akanyanyua kichwa chake kukitazama chumba cha studio yao kilichokuwa gorofa ya nne. Alianza kupandisha {kupanda} huku akihesabu muda atakao utumia.
Wakati anapiga hatua zake za haraka alipitwa na dada mmoja aliyekuwa akihema kwa kasi huenda kutokana na kasi yakeiliyokuwa ikipambana ngazi za jengo hilo, katika haraka yake hiyo aliteguka kidogo mguu wake kutokana na viatu vyake vya mchuchumio kushindwa kuendana na kasi yake.
Na mteguko huo ulimfanya awewesuke na kuachia redio yake ndogo iliyokuwa mkononi mwake. Wakati anapambana na hali hiyo, Nelson alimpita kwa kasi huku akihesabu mda wake.

Mwendo huo ulimpeleka moja kwa moja mpaka kilipokuwa chumba cha studioyao.Watu kadhaa walikuwa wamemsubilia kwa ajili ya kumfikishia pongezi zao za kuwapatia kitu wanachokihitaji yule msichana naye alifika na macho yake yalienda moja kwa moja mpaka kwa jamaa,
aliyekuwa amesimama pembeni mwa mlango huo. Alikuwa nadhifu na uso wake ulingaa sana alitoa tabasam changamfu akikusudia jamaa huyo aipokee na kweli jamaa hakumuangusha aliipokea tabasam hiyo na kumfuata kwa kunyoosha mkono wake. “Waoo Nelii ni dakika 28 za moto kweli kweli” dada mmoja alimpokeaNelson na hapo yule dada alipigwa butwaa na kugeuka gafla kumtazama huyo Nelson aliyemsikia.
“nilidhani ni huyu”
Alitamka kimoyo moyo huku akiupotezea mkono wa mkuligenzi wa Redio supa.
Haraka aliruka na kumkumbatia Nelson na Nelson hakuwa na hiyana maana alikuwa amekutana na matukio mengi ya namna hiyo.
“ Mimi ni Anitha mlevi kabisa wa dakika 28. Tafadhali ninaomba kuwa upande wako leo wakati unasimulia”
Aliongea yule binti kwa msisimko huku akimkabidhi Nelsoni kiasi fulani cha fedha.

Nelson hakujibu lolote aliugeuza mkono wake na kuukagua muda baada ya kuona bado dakika 3aliushika mkono wa Anitha na kuuvuta wakielekea ndani. Simulizi lilipoanza Anitha alikuwa akisisimkwa na kila haina ya usimliaji

Tabasam zilipishana pishana bila mpangilio huku uso wake ukitafsiri kila hatua ya simulizi la Nelson. Dakika 28 juu ya alama Nelson Aliitimisha kipande cha leo, kabla ya kuvua viziba maskio yake aliusikia mwili wote wa Anitha ukilanda landa kifuani mwake.

Alikuwa amemkumbatia kwa nguvu huku machozi yakitililika
“Ni wewe”
Alitamka kwa kukata kata maneno.
“Nikweli kabisa sijakosea ni wewe mwenyeweeee.”
Hapo kilisikika kilio cha kwikwi huku akizidi kumkandamiza Nelson kifuani mwake .
Haikuwa kawaida kwa Nelson kupoteza muda kiasi hicho amalizapo kipindi chake. Hata meneja wake alishangaa mno.

Kilicho washangaza zaidi ni yale maneno yaliyo sikika baada ya muda mfupi tu. Kumalizika kwa kipindi kuliambatana na kilio cha kwikwi.
“Ni wewe”
Maneno hayo yaliendele kujirudia kichwani mwa meneja.
Hata baada ya kuzima maiki picha ya msichana mrembo mwenye tabasam angavu ilionekana akilini mwake,akimpatia mkono kwa bashasha. Hakika moyo wake ulikuwa umeibiwa kwa dakika chache na msichana huyo na kamwe hakuhitaji urudishwe.

“Muda wa kipindi kingine”
Alitamka meneja kwa kufoka. Bila kuangalia hata ni muda gani umepita.

Hapo aliye kuwa anahusika na kipindi kinacho fuata,Aliingia kwa woga. Maana hakuzoea kuiona sura ya Meneja ikiwa katika hali hiyo.

“Woga ni udhaifu”Msemo huo ulionekana wazi. Kwani alipofika aliruhusu Tangazo tofauti na lile lililokuwa limedhamini kipindi chake.
Meneja aliingia kwa ghadhabu na kumpiga kofi la mgongoni. Bila kujizuia yule mtangazaji alilalammika kwa uchungu na hapo meneja wa vipindi aliingilia kati na kuzima mfumo mzima wa redio.

Kilipita kipindi cha nusu saa na sauti ya kike ili sikika katika redio ikiomba radhi kwa mkanganyiko wa mitambo. Iliyo sababisha kukatika kwa mawasiliano.

Wasikilizaji wote walistaajabu jambo hilo,Maana siyo kawaida kwa redio kongwe kama Supa redio.
Mambo ya namna hiyo hujitokeza kwa redio zinazo anza kurusha matangazo(mpya)hata hivyo hazifikii huko.
Meneja aliwaitisha kikao kizito, Bado alikuwa na hasira juu ya tukio hilo kila mmoja alistaajabu mwonekano mpya wa meneja.
Meneja alikuwa mtu mwema aliyejihadhar zaidi na wafanyakazi wenzake aliwaheshim sana kwan alikuwa akitambua kuwa utangazaji ni sanaa kama sanaa zingine inategemea kipaji na mwonekano wa mtu ingawa Taaluma ilihusika lakini wenye vipaji walifanya vizuri si tu katika Redio anayoiongoza bali pia katika Redio mbalimbali.

Meneja alipochanganya hasira na msimamo uliojulikana kwake yalikuwa ni maumivu kwa Nelson pamoja na mtangazaji mwenzake. Meneja aliamua kuwasimamisha kazi mpaka hapo uongozi utakaposhughulikia suala hilo. Kwakweli maamuzi hayo yalikuwa mwiba mkali kwa Nelson. Alianza kuona itakavyokuwa vigum tena kwake kupata matumizi ya Familia yake. Lakini pia aliwafikilia zaidi wasikilizaji wake na jinsi watakavyo angaika baada ya kukatiza Burudani yao pendwa.

Mtu pekee aliyeumizwa zaidi ni Anitha, Alijaribu kumuombea msamaha Nelson lakini haikuwezekana kwani meneja alikuwa na hasira juu yake , kwanza jinsi alivyomdhalilisha kwakukatisha mkono wake na kwenda kumkumbatia Nelson ambaye kwake ni mtu mdogo sana. Pili alitaka kumuonyesha Anitha uwezo alio nao. Alisubili Anitha ashuke ili aweze kutimiza azma yake . “yote sawa basi Nelson akubali kumsikiliza”alisikika akilalamika Anitha na hilo lilionyesha jinsi Nelson alivyogadhabishwa na jambo hilo hivi kwamba hakutaka tena kumsikiliza Anitha.

Mara kwa mara Anitha alipiga simu ya Nelson lakini Nelson hakukubali kupokea simu hiyo. Madhara ya jambo hilo hayakuishia tu kwa Nelson bali Anitha alikuwa haendi tena kazini kwake. Wafanyakazi wenzake walivurugana na hata uhusiano kati ya tawi la Tegeta na matawi mengine ulipungua, Pia Benki zingine zikaanza kulaumu lugha iliyokuwa ikitumiwa kuwahusu pale Tegeta.

Uwezo wa Anitha kazini ulikuwa mkubwa sana hivyo na madhara yake yanaonekana kuongezeka kadri siku zinavyokwenda. “ninakupa siku tatu Anitha akikisha unatatua matatizo yako na kurudi kazini tofauti na hapo huna kibarua”Alitamka Meneja wa NMB tawi la tegeta. Anitha alijua uzito wa maneno hayo kwani alisikiliza vizuri hisia za wafanyakazi wenzake katika kikao.

Meneja alichanganyikiwa zaidi wasikilizaji wa supa Redio walikuwa wakilalamika walitaka kipindi chao cha Dakika 28 kiendelee , Wadhamini wa vipindi walianza kutoa matangazo yao na kudai mikataba ivunjwe kwani kwa mda mfupi Redio inakosa mvuto.Meneja alijitahidi kuruhusu maoni ya wasikilizaji katika kipindi cha Dakika 28.
Hakuna aliyesema kipindi kirudi wote walisema wanamtaka Nelson.
Maneno hayo yalimuogopesha Mkulugenzi wa Redio hiyo mara moja alimuita Meneja na kumwambia “Unafahamu vyema chombo cha habari ni watu hivi Nelson akiamia Redio nyingine itakuwaje?

Hebu shughulikia tatizo hilo haraka sana Baada ya maneno hayo ya Mkulugenzi Meneja kichwa kiliwaka moto Alihisi akimuita Nelsoni itaonekana ameshindwa. “Siko tayarikujidharilishakwa kijana Mdogo”


INAENDELEA
 
Agiza vitabu sasa

IMG-20220502-WA0001.jpg
 
SEHEMU YA NNE.
RIWAYA :MUDA



Alitamka kwa mshangao baada ya kusoma ujumbe huo ulisema Hilo sio simulizi ni maisha umenifanya kuwa zezeta kila mahali naiwaza Dakika 28 nimekutumia japo kidogo Asante ila nina hamu ya kukuona.............

Kabla hajamaliza kusoma ujumbe huo alishutushwa na muongozaji wa kipindi kingine aliyeitaji kupishwa ili aendelee na majukum yake.

Anitha Kashebuka ni Afisa mahusiano katika Benki ya NMB Tawi la tegeta. Wafanya kazi wenzake walijivunia kuwa na mtu wa namna hiyo kazini kwao sio kwa sababu ya urembo wake , mwonekano wake ama bidii yake kazini.
Hapana bali uchangamfu wake na uwezo wake wa kuwaunganisha pamoja kwa umoja.
Kila mwanaume alitamani kumchumbia Anitha hata hivyo neno hilo ni kati ya mambo yaliyo mfanya avunjike moyo na kushinda bila kuongea na mtu yeyote.
Hadi watu kufikia hatua ya kumuomba msamaha ama kuwaombea msamaha walio fanya hivyo bila kutambua. Hata hivyo toka kipindi cha Dakika 28 kianze Anitha amewashangaza wengi maana kazini amekosa ushirikiano mda wote anatembea na Redio mkononi kama baadhi ya wakulima wafanyavyo

Anitha amekuwa akifanya jitihada za kumpata Nelson ili japo aongee naye lakini jitihada hizo zimekuwa ngumu kutokana na simu ya Nelson kuwa “Bise”Mda wote .
“Lazima niende studio kumuona huyu Nelson haiwezekani bila kufanya hivyo nitaendelea kuwakela wafanyakazi wenzangu na hilo likiendelea nitapoteza kibarua changu”

Alijisemea Anitha huku akizikuna nywele zake zilizokuwa zimejivilingita kama matangazo ya wasukaji Wafanyakazi wenzake walianza kumuogopa ata Denis mwanamme wa shoka aliyekuwa amejiapiza kumshawishi taratibu Anitha hadi atakapokubali kuolewa nae aliona hii hali siyo ya kawaida kwa msichana wa ndoto zake.
“Anitha kugadhabika ni tabia yake lakini hii imepitiliza bora angeniambia anaumwa lakini haongei wala hatoi ushirikaiano wowote”
alionekana kulalamika Denis huku glas ya juic ikiwa mkononi mwake .
Alitembea talatibu kwa woga mpaka pale alipokuwa amekaa Anitha.
“Tafadhari chukua hii upunguze mkazo”
Aliongea kwa kujiadhari , hata hivyo Anitha hakuongea chochote bali alinyanyuka na kubeba mkoba mkoba wake kwa mkono wa kulia na mkono wake wa kushoto ulibeba kiredio kidogo aina ya SONTEC.
Alienda moja kwa moja mpaka kwenye gari lake haina ya “HARIA”na kuwasha gari hilo kama vile ana ugomvi na mtu.

Mawazo yake yalimtuma kwenda Kariakoo mtaa wa Msimbazi kulikokuwa kunapatikana kituo cha Redio alimokuwa anafanya kazi Nelson.
Nelson alionekana mwenye furaha sana alikuwa na kiasi cha laki moja mfukoni Alinuia kupitia saa katika Duka moja hapo kariakoo mtaa wa Msimbazi mkabala na kituo cha mwendo kasi. Alibeba makabulasha yake na kuanza safari Hakukuwa na foleni kubwa hivyo njia ya kusini ilionekana fupi mno maana baada ya mda kidogo alikuwa anashuka katika kituo cha gerezani.Alitembea haraka mpaka lilipo lile duka la saa na mabangili ya vito mbalimbali. Alipofika mle aliziona zile saa zilivyokuwa zimepangwa vizuri kila moja ikitumia mwendo wake kuhesabu nyakati. Alikaribishwa vizuri na msichana mwenye asili ya Asiaaliyetumia Rafudhi ya Kizanzibar na wakati ananyoosha mkono wake kuonyesha aina ya saa iliyomvutia kwa macho jambo flani lilitukia.
Gafla saa zote zilisimama hakuna saa iliyoendelea kuhesabu. Nelson alishtuka alianza kubabaika akiwatazama wateja wengine kama waliona tukio aliloliona cha ajabu watu wote walikuwa wamesimama tuli. Kwa lugha rahisi wamepigwa koma kila mmoja alibaki ameonyesha ishara ya tukio lake la mwisho.

Wakati anaendelea kustaajabu alisikia mlio ti ti ti ti ti tiiiii Alipogeuza macho aliona saa moja iliyoendelea kuhesabu majira licha ya vitu vyote kusimama.

Wakati tukio hilo linatukia pale kariakoo Anitha alikuwa katika njia panda ya mwenge akisubili foleni ipite ili kumruhusu apite. Kama Nelson Anitha pia alishuhudia tukio hilo akiwa katika gari lake wakati akiitazama saa iliyokuwa katika mnala wa saa uliopo mwenge. Hata hivyo yeye hakujari jambo ilo kwani alidhani saa imeharibika.

Na hapo alijichomoa katika foleni na kupitia njia za miguu jambo pekee lililomshangaza kila alipopita watu watu walikuwa wamesimama tuli katika mapozi tofauti.
Baada ya dakika chache hari ilirudi katika ukawaida na Nelson alitoa kiasi cha fedha na kulipa kisha akaondoka na saa ile iliyomsitaajabisha.
“Hapa nitakuwa kumpya tena nitakuwa Nelson mnayemfaham”
Alitamka Nelson akiangalia saa yake iliyoufanya mkono wake uonekane wenye thamani.
Aliitazama tena saa yake kisha akanyanyua kichwa chake kukitazama chumba cha studio yao kilichokuwa gorofa ya nne. Alianza kupandisha {kupanda} huku akihesabu muda atakao utumia.
Wakati anapiga hatua zake za haraka alipitwa na dada mmoja aliyekuwa akihema kwa kasi huenda kutokana na kasi yakeiliyokuwa ikipambana ngazi za jengo hilo, katika haraka yake hiyo aliteguka kidogo mguu wake kutokana na viatu vyake vya mchuchumio kushindwa kuendana na kasi yake.
Na mteguko huo ulimfanya awewesuke na kuachia redio yake ndogo iliyokuwa mkononi mwake. Wakati anapambana na hali hiyo, Nelson alimpita kwa kasi huku akihesabu mda wake.

Mwendo huo ulimpeleka moja kwa moja mpaka kilipokuwa chumba cha studioyao.Watu kadhaa walikuwa wamemsubilia kwa ajili ya kumfikishia pongezi zao za kuwapatia kitu wanachokihitaji yule msichana naye alifika na macho yake yalienda moja kwa moja mpaka kwa jamaa,
aliyekuwa amesimama pembeni mwa mlango huo. Alikuwa nadhifu na uso wake ulingaa sana alitoa tabasam changamfu akikusudia jamaa huyo aipokee na kweli jamaa hakumuangusha aliipokea tabasam hiyo na kumfuata kwa kunyoosha mkono wake. “Waoo Nelii ni dakika 28 za moto kweli kweli” dada mmoja alimpokeaNelson na hapo yule dada alipigwa butwaa na kugeuka gafla kumtazama huyo Nelson aliyemsikia.
“nilidhani ni huyu”
Alitamka kimoyo moyo huku akiupotezea mkono wa mkuligenzi wa Redio supa.
Haraka aliruka na kumkumbatia Nelson na Nelson hakuwa na hiyana maana alikuwa amekutana na matukio mengi ya namna hiyo.
“ Mimi ni Anitha mlevi kabisa wa dakika 28. Tafadhali ninaomba kuwa upande wako leo wakati unasimulia”
Aliongea yule binti kwa msisimko huku akimkabidhi Nelsoni kiasi fulani cha fedha.

Nelson hakujibu lolote aliugeuza mkono wake na kuukagua muda baada ya kuona bado dakika 3aliushika mkono wa Anitha na kuuvuta wakielekea ndani. Simulizi lilipoanza Anitha alikuwa akisisimkwa na kila haina ya usimliaji

Tabasam zilipishana pishana bila mpangilio huku uso wake ukitafsiri kila hatua ya simulizi la Nelson. Dakika 28 juu ya alama Nelson Aliitimisha kipande cha leo, kabla ya kuvua viziba maskio yake aliusikia mwili wote wa Anitha ukilanda landa kifuani mwake.

Alikuwa amemkumbatia kwa nguvu huku machozi yakitililika
“Ni wewe”
Alitamka kwa kukata kata maneno.
“Nikweli kabisa sijakosea ni wewe mwenyeweeee.”
Hapo kilisikika kilio cha kwikwi huku akizidi kumkandamiza Nelson kifuani mwake .
Haikuwa kawaida kwa Nelson kupoteza muda kiasi hicho amalizapo kipindi chake. Hata meneja wake alishangaa mno.

Kilicho washangaza zaidi ni yale maneno yaliyo sikika baada ya muda mfupi tu. Kumalizika kwa kipindi kuliambatana na kilio cha kwikwi.
“Ni wewe”
Maneno hayo yaliendele kujirudia kichwani mwa meneja.
Hata baada ya kuzima maiki picha ya msichana mrembo mwenye tabasam angavu ilionekana akilini mwake,akimpatia mkono kwa bashasha. Hakika moyo wake ulikuwa umeibiwa kwa dakika chache na msichana huyo na kamwe hakuhitaji urudishwe.

“Muda wa kipindi kingine”
Alitamka meneja kwa kufoka. Bila kuangalia hata ni muda gani umepita.

Hapo aliye kuwa anahusika na kipindi kinacho fuata,Aliingia kwa woga. Maana hakuzoea kuiona sura ya Meneja ikiwa katika hali hiyo.

“Woga ni udhaifu”Msemo huo ulionekana wazi. Kwani alipofika aliruhusu Tangazo tofauti na lile lililokuwa limedhamini kipindi chake.
Meneja aliingia kwa ghadhabu na kumpiga kofi la mgongoni. Bila kujizuia yule mtangazaji alilalammika kwa uchungu na hapo meneja wa vipindi aliingilia kati na kuzima mfumo mzima wa redio.

Kilipita kipindi cha nusu saa na sauti ya kike ili sikika katika redio ikiomba radhi kwa mkanganyiko wa mitambo. Iliyo sababisha kukatika kwa mawasiliano.

Wasikilizaji wote walistaajabu jambo hilo,Maana siyo kawaida kwa redio kongwe kama Supa redio.
Mambo ya namna hiyo hujitokeza kwa redio zinazo anza kurusha matangazo(mpya)hata hivyo hazifikii huko.
Meneja aliwaitisha kikao kizito, Bado alikuwa na hasira juu ya tukio hilo kila mmoja alistaajabu mwonekano mpya wa meneja.
Meneja alikuwa mtu mwema aliyejihadhar zaidi na wafanyakazi wenzake aliwaheshim sana kwan alikuwa akitambua kuwa utangazaji ni sanaa kama sanaa zingine inategemea kipaji na mwonekano wa mtu ingawa Taaluma ilihusika lakini wenye vipaji walifanya vizuri si tu katika Redio anayoiongoza bali pia katika Redio mbalimbali.

Meneja alipochanganya hasira na msimamo uliojulikana kwake yalikuwa ni maumivu kwa Nelson pamoja na mtangazaji mwenzake. Meneja aliamua kuwasimamisha kazi mpaka hapo uongozi utakaposhughulikia suala hilo. Kwakweli maamuzi hayo yalikuwa mwiba mkali kwa Nelson. Alianza kuona itakavyokuwa vigum tena kwake kupata matumizi ya Familia yake. Lakini pia aliwafikilia zaidi wasikilizaji wake na jinsi watakavyo angaika baada ya kukatiza Burudani yao pendwa.

Mtu pekee aliyeumizwa zaidi ni Anitha, Alijaribu kumuombea msamaha Nelson lakini haikuwezekana kwani meneja alikuwa na hasira juu yake , kwanza jinsi alivyomdhalilisha kwakukatisha mkono wake na kwenda kumkumbatia Nelson ambaye kwake ni mtu mdogo sana. Pili alitaka kumuonyesha Anitha uwezo alio nao. Alisubili Anitha ashuke ili aweze kutimiza azma yake . “yote sawa basi Nelson akubali kumsikiliza”alisikika akilalamika Anitha na hilo lilionyesha jinsi Nelson alivyogadhabishwa na jambo hilo hivi kwamba hakutaka tena kumsikiliza Anitha.

Mara kwa mara Anitha alipiga simu ya Nelson lakini Nelson hakukubali kupokea simu hiyo. Madhara ya jambo hilo hayakuishia tu kwa Nelson bali Anitha alikuwa haendi tena kazini kwake. Wafanyakazi wenzake walivurugana na hata uhusiano kati ya tawi la Tegeta na matawi mengine ulipungua, Pia Benki zingine zikaanza kulaumu lugha iliyokuwa ikitumiwa kuwahusu pale Tegeta.

Uwezo wa Anitha kazini ulikuwa mkubwa sana hivyo na madhara yake yanaonekana kuongezeka kadri siku zinavyokwenda. “ninakupa siku tatu Anitha akikisha unatatua matatizo yako na kurudi kazini tofauti na hapo huna kibarua”Alitamka Meneja wa NMB tawi la tegeta. Anitha alijua uzito wa maneno hayo kwani alisikiliza vizuri hisia za wafanyakazi wenzake katika kikao.

Meneja alichanganyikiwa zaidi wasikilizaji wa supa Redio walikuwa wakilalamika walitaka kipindi chao cha Dakika 28 kiendelee , Wadhamini wa vipindi walianza kutoa matangazo yao na kudai mikataba ivunjwe kwani kwa mda mfupi Redio inakosa mvuto.Meneja alijitahidi kuruhusu maoni ya wasikilizaji katika kipindi cha Dakika 28.
Hakuna aliyesema kipindi kirudi wote walisema wanamtaka Nelson.
Maneno hayo yalimuogopesha Mkulugenzi wa Redio hiyo mara moja alimuita Meneja na kumwambia “Unafahamu vyema chombo cha habari ni watu hivi Nelson akiamia Redio nyingine itakuwaje?

Hebu shughulikia tatizo hilo haraka sana Baada ya maneno hayo ya Mkulugenzi Meneja kichwa kiliwaka moto Alihisi akimuita Nelsoni itaonekana ameshindwa. “Siko tayarikujidharilishakwa kijana Mdogo”


INAENDELEA
Mambo yanapamba Moto
 
SEHEMU YA TANO.
MUDA.
0656353765.


Hebu shughulikia tatizo hilo haraka sana Baada ya maneno hayo ya Mkulugenzi Meneja kichwa kiliwaka moto Alihisi akimuita Nelsoni itaonekana ameshindwa. “Siko tayarikujidharilishakwa kijana Mdogo”
Alijisemea huku akikuna kichwa chake.
Hata baada ya Mkurugenzi kuondoka Meneja alibaki akizungumza ofisini kwake. Wakati anaendelea na ziara yake pale ofisini aliletewa taarifa kuwa kuna mtu anamhitaji sana.
Meneja alishtuka akijua labda ni wasikilizaji ama wapenzi wa Nelson wanataka kushinikiza Nelson arudi kazini. Alikuwa ni mwanamme mtanashati ngozi yake ilingaa sana . Moyoni Mkurugenzi alianza kunongona mwenyewe Hata V.I.P walikuwawakisikiliza hadidhi hii” Mwanaume yule aliingia kwa kujiamini na kujikaribisha kwenye kiti baada ya Meneja kuona hivyo alikaa kwenye kiti chake .”karibu mzee”Alitamka kwa wasi wasi wewe ndiye mzee, maana siku hizi jina hilo la wenye hela na cheo”

Alitamka hivyo kisha akatabasamu.
Kabla Meneja hajajibu Mwanamme yule alitoa bahasha na kumkabidhi. Meneja alipochungulia ilikuwa imejaa hela. Wakati Meneja anataka kuuliza yule mwanamme alimsogelea na kumnongoneza “Nina kijana mzuri kwa masimulizi achana na Nelson, namfahamu vizuri alikuwa Mwanafunzi wangu . Meneja alitabasamu tu na kuigeukia ile bahasha na kuipigapiga kifuani mara mbili kisha akasema.
“Nitumie kijana huyo”
Kumbe alikuwa ndani ya gari nje ya jengo la studio. Ulitumwa ujumbe mfupi na baada ya mda kidogo kijana yule aliingia.

Hali ya Anitha ilizidi kuwa mbaya siku tatu alizopewa zilikuwa zimepungua na zimebaki mbili, lakini hilo kwake halikuwa tatizo yeye shida yake alitaka ampate Nelson na ikiwezekana apate msamaha wake. Anitha aliwasha data zake na kuingia kwenye mtandao wa metaaliingiza jina Nelson Dakika 28. Mara moja taarifa za Nelsonzilitokea alianza kuzikagua vizuri , Aliikosa taarifa anayoitafuta alichagua mmoja wa rafiki zake katika mtandao huo akaingia sehemu iliyoandikwa “messag”Aliandika ujumbe “Jamani Nelsoni yu wapi”
Mara moja ujumbe ulijibiwa “Mtangoni reline”
Moyo wake ulilipuka kicheko cha ghafla kilitokea mara moja alichukua ufunguo wa gari lake na kutoka nje, aliingia ndani ya gari na kukanyaga mafuta kwa nguvu alipoachia gar lilipepesuka kidogo kisha aliliondoa kwa gafla na safari ya kwenda Mtoni Mtangoni ilianza.

Anitha aliendesha kwa mwendo wa kasi zaidi ya kawaida yake hivi kwamba alipofika mtaa wa salaseta lilipo bango la shule ya Green Accres , Baadhi ya wafanyakazi wenzake waliokuwa wakitembea nyumba kwa nyumba kufungua akaunti za NMB walibaki wameshika kichwa,. Ingawa mwendo huo ulipunguzwa na foleni iliyokuwa ubungo kuanzia ilipo barabara ya mwingilio wa kituo cha mawasiliano, Lakini bado Anitha alipopita mwanya aliongeza mwendo uliowashangaza wengi.

Safari hiyo ya Anitha ilienda moja kwa moja mpaka mtongani haikuwa vigumu kumpata Nelson kwani alikuwa akijulikana hata kwa watoto wadogo ingawa wengi walimuita Dakika 28.
Sehemu ilipokuwa nyumba ya mama yake mdogo hakuna gari ambalo lingeweza kuingia {kufika} kwani majumba yalijengwa bila mpangilio maalum.
Anitha alishuka kwenye Gari huku akiongozwa na kijana mmoja aliyeonekana kuvutiwa zaidi na simulizi la Dakika 28, kwan njia nzima ilikuwa ikizungumzia hadithi hiyo.

“ Nikijumba hicho kidogo”alitamka yule kijana.
Anitha hakusubili kukaribishwa maadam mlango ulikuwa wazi aliingia huku akitamka “Hodi”moyoni mwake. Mama Nelson alibaki ameduwaa mwonekano wa Anitha haukuwa kama wa wasichana wenginewa mtaa wao.
Ingawa wao hubadilisha ngozi zao na kuweka nywele za bandia lakini kw Anitha ilikuwa kinyume chake. Ngozi yake nyeusi ilikuwa na mngao wa aina yake huku Haina ya usukaji wake ilimuhakikishia mama Nelson kuwa si chini ya laki moja.”Shikamoo mama Nimemkuta Nelson?” Alizidi kumshangaza mama Nelson kwanza uso wake ulijaa hofu kubwa, Mama Nelson hakuwa na lakufanya zaidi ya kumkabidhi kikombe kilichokuwa mkononi mwake.

Alimuonesha chumba alimokuwa Nelson kwa kidole huku akizidi kushangaa wakati anaukaribia ule mlango, Nelson alifungua na kuchungulia uso wake ulipauka na nywele zake zilikuwa zimejiviringisha kama magugu ya kiangazi.
Hapo moyo wa Anitha uliongeza mapigo yake na huruma kali ilimfunika machozi yakaanza kumlenga lenga katika macho ya Nelson alitoka kabisa chumbani na kusimama mbele ya Anitha Alimtazama kwa hasira kwa mda flani bila kuongea chochote, Mama nelson Alikuwa akishuhudia kinachoendelea.
Nelson alinyanyua mkono wake na kuitazama saa yake kisha akasema”Dakika 28”zilitosha kuharibu maisha yangu na dakika mbili zimetosha kuniharibia kazi yangu” aliushusha mkono wake na kupita bila kuongea neno linguine na kuondoka.
Anitha alijaribu kumuita Nelson lakini hakusikika alitokomea uchochoroni. Anitha alibaki amemtazama mama Nelson kwa masikitiko huku machozi yakimtililika mashavuni.
“Tatizo nini Binti yangu mimi sielewi? Aliongea kwa uchungu mama Nelson. Hapo Anitha alipiga magoti mbele ya mama Nelson na kuanza kumsimulia kila kilichotokea. “Bas mwanangu naomba upumzike kesho njoo utakuta nimeongea nae” Baada ya maneno hayo Anitha alipangusa machozi na kusimama akisaidiwa na mama Nelson.

Naomba unisindikize mama nimeacha gari kule bara barani , Waliongozana huku mama Nelson akimpa maneno ya kumfariji. Walipofika Anitha aliingia ndani ya gari na kutoa kisi flani cha fedha na kumkabidhi mama Nelson.




INAENDELEA
MAONI YAKO NA USHAURI NI MUHIMU SANA KWANGU.
 
SEHEMU YA TANO.
MUDA.
0656353765.


Hebu shughulikia tatizo hilo haraka sana Baada ya maneno hayo ya Mkulugenzi Meneja kichwa kiliwaka moto Alihisi akimuita Nelsoni itaonekana ameshindwa. “Siko tayarikujidharilishakwa kijana Mdogo”
Alijisemea huku akikuna kichwa chake.
Hata baada ya Mkurugenzi kuondoka Meneja alibaki akizungumza ofisini kwake. Wakati anaendelea na ziara yake pale ofisini aliletewa taarifa kuwa kuna mtu anamhitaji sana.
Meneja alishtuka akijua labda ni wasikilizaji ama wapenzi wa Nelson wanataka kushinikiza Nelson arudi kazini. Alikuwa ni mwanamme mtanashati ngozi yake ilingaa sana . Moyoni Mkurugenzi alianza kunongona mwenyewe Hata V.I.P walikuwawakisikiliza hadidhi hii” Mwanaume yule aliingia kwa kujiamini na kujikaribisha kwenye kiti baada ya Meneja kuona hivyo alikaa kwenye kiti chake .”karibu mzee”Alitamka kwa wasi wasi wewe ndiye mzee, maana siku hizi jina hilo la wenye hela na cheo”

Alitamka hivyo kisha akatabasamu.
Kabla Meneja hajajibu Mwanamme yule alitoa bahasha na kumkabidhi. Meneja alipochungulia ilikuwa imejaa hela. Wakati Meneja anataka kuuliza yule mwanamme alimsogelea na kumnongoneza “Nina kijana mzuri kwa masimulizi achana na Nelson, namfahamu vizuri alikuwa Mwanafunzi wangu . Meneja alitabasamu tu na kuigeukia ile bahasha na kuipigapiga kifuani mara mbili kisha akasema.
“Nitumie kijana huyo”
Kumbe alikuwa ndani ya gari nje ya jengo la studio. Ulitumwa ujumbe mfupi na baada ya mda kidogo kijana yule aliingia.

Hali ya Anitha ilizidi kuwa mbaya siku tatu alizopewa zilikuwa zimepungua na zimebaki mbili, lakini hilo kwake halikuwa tatizo yeye shida yake alitaka ampate Nelson na ikiwezekana apate msamaha wake. Anitha aliwasha data zake na kuingia kwenye mtandao wa metaaliingiza jina Nelson Dakika 28. Mara moja taarifa za Nelsonzilitokea alianza kuzikagua vizuri , Aliikosa taarifa anayoitafuta alichagua mmoja wa rafiki zake katika mtandao huo akaingia sehemu iliyoandikwa “messag”Aliandika ujumbe “Jamani Nelsoni yu wapi”
Mara moja ujumbe ulijibiwa “Mtangoni reline”
Moyo wake ulilipuka kicheko cha ghafla kilitokea mara moja alichukua ufunguo wa gari lake na kutoka nje, aliingia ndani ya gari na kukanyaga mafuta kwa nguvu alipoachia gar lilipepesuka kidogo kisha aliliondoa kwa gafla na safari ya kwenda Mtoni Mtangoni ilianza.

Anitha aliendesha kwa mwendo wa kasi zaidi ya kawaida yake hivi kwamba alipofika mtaa wa salaseta lilipo bango la shule ya Green Accres , Baadhi ya wafanyakazi wenzake waliokuwa wakitembea nyumba kwa nyumba kufungua akaunti za NMB walibaki wameshika kichwa,. Ingawa mwendo huo ulipunguzwa na foleni iliyokuwa ubungo kuanzia ilipo barabara ya mwingilio wa kituo cha mawasiliano, Lakini bado Anitha alipopita mwanya aliongeza mwendo uliowashangaza wengi.

Safari hiyo ya Anitha ilienda moja kwa moja mpaka mtongani haikuwa vigumu kumpata Nelson kwani alikuwa akijulikana hata kwa watoto wadogo ingawa wengi walimuita Dakika 28.
Sehemu ilipokuwa nyumba ya mama yake mdogo hakuna gari ambalo lingeweza kuingia {kufika} kwani majumba yalijengwa bila mpangilio maalum.
Anitha alishuka kwenye Gari huku akiongozwa na kijana mmoja aliyeonekana kuvutiwa zaidi na simulizi la Dakika 28, kwan njia nzima ilikuwa ikizungumzia hadithi hiyo.

“ Nikijumba hicho kidogo”alitamka yule kijana.
Anitha hakusubili kukaribishwa maadam mlango ulikuwa wazi aliingia huku akitamka “Hodi”moyoni mwake. Mama Nelson alibaki ameduwaa mwonekano wa Anitha haukuwa kama wa wasichana wenginewa mtaa wao.
Ingawa wao hubadilisha ngozi zao na kuweka nywele za bandia lakini kw Anitha ilikuwa kinyume chake. Ngozi yake nyeusi ilikuwa na mngao wa aina yake huku Haina ya usukaji wake ilimuhakikishia mama Nelson kuwa si chini ya laki moja.”Shikamoo mama Nimemkuta Nelson?” Alizidi kumshangaza mama Nelson kwanza uso wake ulijaa hofu kubwa, Mama Nelson hakuwa na lakufanya zaidi ya kumkabidhi kikombe kilichokuwa mkononi mwake.

Alimuonesha chumba alimokuwa Nelson kwa kidole huku akizidi kushangaa wakati anaukaribia ule mlango, Nelson alifungua na kuchungulia uso wake ulipauka na nywele zake zilikuwa zimejiviringisha kama magugu ya kiangazi.
Hapo moyo wa Anitha uliongeza mapigo yake na huruma kali ilimfunika machozi yakaanza kumlenga lenga katika macho ya Nelson alitoka kabisa chumbani na kusimama mbele ya Anitha Alimtazama kwa hasira kwa mda flani bila kuongea chochote, Mama nelson Alikuwa akishuhudia kinachoendelea.
Nelson alinyanyua mkono wake na kuitazama saa yake kisha akasema”Dakika 28”zilitosha kuharibu maisha yangu na dakika mbili zimetosha kuniharibia kazi yangu” aliushusha mkono wake na kupita bila kuongea neno linguine na kuondoka.
Anitha alijaribu kumuita Nelson lakini hakusikika alitokomea uchochoroni. Anitha alibaki amemtazama mama Nelson kwa masikitiko huku machozi yakimtililika mashavuni.
“Tatizo nini Binti yangu mimi sielewi? Aliongea kwa uchungu mama Nelson. Hapo Anitha alipiga magoti mbele ya mama Nelson na kuanza kumsimulia kila kilichotokea. “Bas mwanangu naomba upumzike kesho njoo utakuta nimeongea nae” Baada ya maneno hayo Anitha alipangusa machozi na kusimama akisaidiwa na mama Nelson.

Naomba unisindikize mama nimeacha gari kule bara barani , Waliongozana huku mama Nelson akimpa maneno ya kumfariji. Walipofika Anitha aliingia ndani ya gari na kutoa kisi flani cha fedha na kumkabidhi mama Nelson.




INAENDELEA
MAONI YAKO NA USHAURI NI MUHIMU SANA KWANGU.
Chombo chomboni
 
Back
Top Bottom