mbuyake
Senior Member
- Feb 20, 2013
- 190
- 235
Wanajamvi naomba nipate ushauri wenu kwa hili.
Kwa sasa nipo kweye 35 kasoro sikni nimepata ujuzi katika fani kama tatu hivi hapa namanisha elimu ya diploma ya utawala biashara lengo kuu tangu awali niwe mjasiriamali lakini baada ya masomo nikajiegesha kwenye kampuni fulani ya ulinzi ili nipate mtaji karibia miaka mitatu nikaona mwishowe nitalowea humo nikajichomoa kajisenti nilikokapata nikavutiwa na kilimo cha kitunguuumuma, Kilosa, Morogoro.
Nikaenda ili nikalime lakini nilichelewa eneo la kulima maana wanakodi kabla ya msimu wa kulima hivyo nikabakia pale kama miezi miwili kama kibarua lengo nipate elimu na ujuzi jinsi ya kusia mbegu kupanda pia uzalishaji wa mbegu hilo nikalifanikisha.
Baada ya hapo nikachukua jukumu la kusafiri hadi mikoa ya magharib kulima hicho kilimo, nilikodi heka mbili na kununua mashine aina ya jd ya kumwagilia maji,nikatafuta vijana watatu tukaanza kazi hatukupata changamoto nyingi wakati wa uendeshaji basi baada ya msimu da!! tulikuja kuambulia debe tatu tu za vitunguu.
Basi sikukata tamaa niliuza mashine yangu nikawalipa vijana nusu ya makubaliano yetu kilichobaki nikaanza kilimo cha nyanya miche elf 5 nikakomaa mwenyewe baada ya msimu pamoja na changamoto lukuki nikaambulia tenga saba tu.
Nilipoziuza nikapata 100k nikaingia kwenye kilimo cha mahindi ya kiangazi nusu heka nikakomaa nayo hadi nakaribia kuivisha mvua za maska zikaanza eneo lilikuwa bondeni, maji yakaingia mashina yakaanza kuoza hatimae nikakosa kabisa, mpaka kufikia hapo ikanilazimu niombe nitumiwe nauli nirudi kwetu lakini ndugu waliona si busara nikakae nyumbani hivyo wakanitaka mawazo yangu nikawambia nataka nikasome afya
Basi wakaniambia nitafute chuo nikafanya hivyo baada ya wiki nikatumiwa nauli ada wakasema naweza nisiende chuo hivyo wakamtumia mpwa wangu ambaye alikuwepo eneo hilo anasoma chuo pia yeye ndo akanilipie kwani mimi siaminik tena, na kwa kuwa hata simu yangu niliyoendanayo huko enzi hizo LG ya kama 400 hivi nilishiwa nikaiuza 56 elfu na laini nikaweka kwa jirani wa kike hivyo waliamini huko nimeoa tayarini
Nilitumiwa 250 ya maandalizi yangu basi nikasema kabla sjaenda ngoja 200 ninunue miwa jaruba moja la miwa niikate kwa pamoja na kukodi trekta nikapeleka munadani kwa mategemeo ya kupata faida mara mbili lakini baada ya siku ya pili kumaliza mauzo nilikata 60 hatimae nikasaliwa 190 nikaona hilo litanighalimu hata nauli nitaishiwa tena basi nikaianza safari na kuanza masomo baada ya muda wangu wa kozi ndo kikafika kipindi cha JPM hakuna ajira,niliamua kujiajiri kwenye field hiyo.
Nilipata kamtaji nikaanza maabara yangu sehemu baada ya muda miaka kama miwili nilianza kupata jina sehemu hiyo nilishangaa kupata ugonjwa wa ajabu kuna kitu kilikalia kwenye koo nilijalibu kutafuta ufumbuzi hospitals nyingi skufanikiwa nilijaribu kuangalia upande wa tiba jadi baasi nikapata ufumbuzi nao walidai ni matatizo ya kutoka upinzani wa kibiashara basi kwa jinsi nilivyotaabika na hilo gonjwa niliacha kutoa huduma za tiba kwa haraka haraka nikafikiria je nitasavive vp kwenye haya mazingira basi likaja wazo kuwa nikiwa dalasa la 3 huko nyuma nilikuwa najifunza ufundi radio hivyo nilipenda sana kujifunza kwa fundi maarufu katika eneo nilipokuwepo mpaka ikatishia kusitisha masomo ili niwe nashinda kujinikaij
Nikaijiwa na wazo kwanini nisijaribu kufanya nikaan, nikaanza ndani ya wiki mbili nikaanza kupata wateja na wengi wakiwa wa simu nikashangaa naimudu kwa haraka zaidi hasa simu nikajikuta nakuwa fundi wa simu na radio, nilianza kupata mafanikio kidogo tofauti na kazi ya awali basi kwa wengi eneo nililokuwepo walipenda kunishauri kwann nisirudi kutibu kuliko kuwa fundi simu radio ila skutaka kabisa kurudi huko.
Nikalazimika kujifunza tiba mbadala ili niweze kutibu kwa kutumia miti shamba ambapo baada ya mafunzo ya waganga zaidi ya tisa wa magonjwa mbali mbali dhumuni ilikuwa baada ya kuzijua dawa za miti shamba niandike vitabu na kusambaza vya tiba mbadala basi nilianza kusaga miti yote niliyoelekezwa kwa kila gonjwa nikapaki katika package zangu, nikafuatilia cheti kutoka baraza la tiba mbadala na kupata, nilianza kuzungusha dawa nyumba kwa nyumba mkoa mzima nilipo na pia mikoa ya jirani hata nilidhubutu kuingia nchi jirani ya drc kwa ajiri ya hayo.
Kwa kila pakage niliweka mawasiliano hivyo wengi walihitaji niwapelekee mwendelezo wa dawa basi baada ya zoezi la kuzunguka,niliugua hata mwili ukashindwa kufanya lolote yaani nikiongea dakika tatu hadi nipumzike kwanza kwa muda kutembea nikawa natingishika hata kusimama hadi supot ya kushika kbas.
Basi baada ya vipimo bugando nikambiwa nimepiga kazi over work,hivyo nikapewa dawa sasa naanza mwaka wa tatu natumia daily mwili upo sawa japo bado kidogo sana ambapo hapaonyeshi inability yoyote hata tatizo limebakia kwenye feeling. kutokana na jinsi nilivyosumbuliwa na hali ya afya nililazimika kurudi kwenye huduma ya kutibu na sasa naendelea kazi yangu ila ni kazi ambayo nafanya lakini nahisi haitanifanya niwe navyotaka japo 20k per day ndo kipato changu,lakini naona hakuna mabadiko kama ambapo niliyoyapata kwenye fundi radio simu kwa kuwa sasa kuna chuo kinatoa ufundi simu nina mpango mwezi ujao nikajiuswa.
Swali langu: je, huo ufundi unaweza kuwa ndo kipaji changu kwa wale wajuvi wa mambo ya vipaji au maana mimi kwa sasa napenda niishi kwa maisha ya kipaji ila sjaujua nini kipaji changu
Kwa sasa nipo kweye 35 kasoro sikni nimepata ujuzi katika fani kama tatu hivi hapa namanisha elimu ya diploma ya utawala biashara lengo kuu tangu awali niwe mjasiriamali lakini baada ya masomo nikajiegesha kwenye kampuni fulani ya ulinzi ili nipate mtaji karibia miaka mitatu nikaona mwishowe nitalowea humo nikajichomoa kajisenti nilikokapata nikavutiwa na kilimo cha kitunguuumuma, Kilosa, Morogoro.
Nikaenda ili nikalime lakini nilichelewa eneo la kulima maana wanakodi kabla ya msimu wa kulima hivyo nikabakia pale kama miezi miwili kama kibarua lengo nipate elimu na ujuzi jinsi ya kusia mbegu kupanda pia uzalishaji wa mbegu hilo nikalifanikisha.
Baada ya hapo nikachukua jukumu la kusafiri hadi mikoa ya magharib kulima hicho kilimo, nilikodi heka mbili na kununua mashine aina ya jd ya kumwagilia maji,nikatafuta vijana watatu tukaanza kazi hatukupata changamoto nyingi wakati wa uendeshaji basi baada ya msimu da!! tulikuja kuambulia debe tatu tu za vitunguu.
Basi sikukata tamaa niliuza mashine yangu nikawalipa vijana nusu ya makubaliano yetu kilichobaki nikaanza kilimo cha nyanya miche elf 5 nikakomaa mwenyewe baada ya msimu pamoja na changamoto lukuki nikaambulia tenga saba tu.
Nilipoziuza nikapata 100k nikaingia kwenye kilimo cha mahindi ya kiangazi nusu heka nikakomaa nayo hadi nakaribia kuivisha mvua za maska zikaanza eneo lilikuwa bondeni, maji yakaingia mashina yakaanza kuoza hatimae nikakosa kabisa, mpaka kufikia hapo ikanilazimu niombe nitumiwe nauli nirudi kwetu lakini ndugu waliona si busara nikakae nyumbani hivyo wakanitaka mawazo yangu nikawambia nataka nikasome afya
Basi wakaniambia nitafute chuo nikafanya hivyo baada ya wiki nikatumiwa nauli ada wakasema naweza nisiende chuo hivyo wakamtumia mpwa wangu ambaye alikuwepo eneo hilo anasoma chuo pia yeye ndo akanilipie kwani mimi siaminik tena, na kwa kuwa hata simu yangu niliyoendanayo huko enzi hizo LG ya kama 400 hivi nilishiwa nikaiuza 56 elfu na laini nikaweka kwa jirani wa kike hivyo waliamini huko nimeoa tayarini
Nilitumiwa 250 ya maandalizi yangu basi nikasema kabla sjaenda ngoja 200 ninunue miwa jaruba moja la miwa niikate kwa pamoja na kukodi trekta nikapeleka munadani kwa mategemeo ya kupata faida mara mbili lakini baada ya siku ya pili kumaliza mauzo nilikata 60 hatimae nikasaliwa 190 nikaona hilo litanighalimu hata nauli nitaishiwa tena basi nikaianza safari na kuanza masomo baada ya muda wangu wa kozi ndo kikafika kipindi cha JPM hakuna ajira,niliamua kujiajiri kwenye field hiyo.
Nilipata kamtaji nikaanza maabara yangu sehemu baada ya muda miaka kama miwili nilianza kupata jina sehemu hiyo nilishangaa kupata ugonjwa wa ajabu kuna kitu kilikalia kwenye koo nilijalibu kutafuta ufumbuzi hospitals nyingi skufanikiwa nilijaribu kuangalia upande wa tiba jadi baasi nikapata ufumbuzi nao walidai ni matatizo ya kutoka upinzani wa kibiashara basi kwa jinsi nilivyotaabika na hilo gonjwa niliacha kutoa huduma za tiba kwa haraka haraka nikafikiria je nitasavive vp kwenye haya mazingira basi likaja wazo kuwa nikiwa dalasa la 3 huko nyuma nilikuwa najifunza ufundi radio hivyo nilipenda sana kujifunza kwa fundi maarufu katika eneo nilipokuwepo mpaka ikatishia kusitisha masomo ili niwe nashinda kujinikaij
Nikaijiwa na wazo kwanini nisijaribu kufanya nikaan, nikaanza ndani ya wiki mbili nikaanza kupata wateja na wengi wakiwa wa simu nikashangaa naimudu kwa haraka zaidi hasa simu nikajikuta nakuwa fundi wa simu na radio, nilianza kupata mafanikio kidogo tofauti na kazi ya awali basi kwa wengi eneo nililokuwepo walipenda kunishauri kwann nisirudi kutibu kuliko kuwa fundi simu radio ila skutaka kabisa kurudi huko.
Nikalazimika kujifunza tiba mbadala ili niweze kutibu kwa kutumia miti shamba ambapo baada ya mafunzo ya waganga zaidi ya tisa wa magonjwa mbali mbali dhumuni ilikuwa baada ya kuzijua dawa za miti shamba niandike vitabu na kusambaza vya tiba mbadala basi nilianza kusaga miti yote niliyoelekezwa kwa kila gonjwa nikapaki katika package zangu, nikafuatilia cheti kutoka baraza la tiba mbadala na kupata, nilianza kuzungusha dawa nyumba kwa nyumba mkoa mzima nilipo na pia mikoa ya jirani hata nilidhubutu kuingia nchi jirani ya drc kwa ajiri ya hayo.
Kwa kila pakage niliweka mawasiliano hivyo wengi walihitaji niwapelekee mwendelezo wa dawa basi baada ya zoezi la kuzunguka,niliugua hata mwili ukashindwa kufanya lolote yaani nikiongea dakika tatu hadi nipumzike kwanza kwa muda kutembea nikawa natingishika hata kusimama hadi supot ya kushika kbas.
Basi baada ya vipimo bugando nikambiwa nimepiga kazi over work,hivyo nikapewa dawa sasa naanza mwaka wa tatu natumia daily mwili upo sawa japo bado kidogo sana ambapo hapaonyeshi inability yoyote hata tatizo limebakia kwenye feeling. kutokana na jinsi nilivyosumbuliwa na hali ya afya nililazimika kurudi kwenye huduma ya kutibu na sasa naendelea kazi yangu ila ni kazi ambayo nafanya lakini nahisi haitanifanya niwe navyotaka japo 20k per day ndo kipato changu,lakini naona hakuna mabadiko kama ambapo niliyoyapata kwenye fundi radio simu kwa kuwa sasa kuna chuo kinatoa ufundi simu nina mpango mwezi ujao nikajiuswa.
Swali langu: je, huo ufundi unaweza kuwa ndo kipaji changu kwa wale wajuvi wa mambo ya vipaji au maana mimi kwa sasa napenda niishi kwa maisha ya kipaji ila sjaujua nini kipaji changu