somo

State Organization for Marketing of Oil (SOMO) is an Iraqi national company responsible for marketing Iraq's oil. It is headquartered in Baghdad, Iraq.

View More On Wikipedia.org
  1. comte

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hadithi ya Mkenya huyu inatupa somo kubwa-wezi waliumbwa na kuzaliwa

    An undated file image of former bank manager Ben Mwangi This is the case of one Ben Mwangi, whose story can only be visualised in a movie-style act. Once a very successful bank manager in the 1970s and having amassed wealth over years, Mwangi would later lead a life of solitude and eventually...
  2. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania Kaimu CEO Yanga: Tumepata somo la kutosha kwenye mechi na Rivers Utd sasa Simba Sc wajiandae jumamosi

    Akiongea na kituo cha radio cha Efm kupitia kipindi cha michezo cha asubuhi, Kaimu Mtendaji Mkuu wa Yanga, Haji Mfikirwa amekiri kuwa hawakujipanga vizuri kwenye pre season hivyo kupelekea timu yao kutolewa na Rivers United katika hatua ya awali ya Caf Champions League!! Haji Mfikirwa akaongeza...
  3. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Kwanini shuleni hakuna somo la madini na uchimbaji wake?

    Habari wandugu, Wenzetu wazungu wanujuzi sana wa madini, wanafundishwa shuleni. Mzungu nu rahisi kutambua Ruby, dhahabu au almasi akiiona. Lakini mbongo hata anafika form six hawezi tambua madini aina yoyote. Kama elimu inamuwezesha mtu kupambana na mazingira yake, na mazingira yetu yamejaa...
  4. J

    JamiiForums Tanzania TBS yatoa somo juu ya madhara ya vipodozi vyenye viambata sumu

    Na Mwandishi Wetu, Nachingwea WATUMISHI wa umma katika taasisi mbalimbali wilayani Nachingwea mkoani Lindi, wamepatiwa elimu kuhusu madhara ya matumizi ya bidhaa hafifu hususani vipodozi ambavyo vimekatazwa kutumika nchini kutokana na kuwa na viambata sumu. Mafunzo hayo kwa watumishi wa umma...
  5. BROTHER OF BROTHERS

    JamiiForums Tanzania SoC01 Sayansi ya Kilimo irudishwe na ifundishwe shuleni kama somo la Msingi kwa kila Mtanzania

    Nawasalimu wote mliopo kwenye Mtandao huu wenye Uhuru wa kujieleza. Nimechukua fursa hii kuja na Mada ya kuomba sayansi ya kilimo kurudishwa Mashuleni kuanzia elimu ya msingi Hadi Sekondari. Somo la Sayansi KILIMO ninaamini Wengi wetu haswa kaka na dada zetu walilisoma ingawa kwa uchache ila...
  6. Superbug

    JamiiForums Tanzania Ushindi wa upinzani Zambia uwe somo kwa polisi ya Tanzania na CCM

    Zambia imewezekana Mara nyingi na hata Malawi hapa kwetu Kuna wahuni wanajiita polisi (sio JWTZ hawa wanaheshimika) na wahuni wengine ni CCM kama mnaamini mnapendwa sana na watanzania na kwamba upinzani ni dhaifu wekeni uwanja huru Kama Zambia ili mjithibitishie mnapendwa Ila kwasababu...
  7. Environmental Security

    JamiiForums Tanzania Somo kutoka Ethiopia: Taifa vitani mbioni kugawanyika, kisa kiongozi kukataa ushauri

    Watsup comrades, Taifa la Ethiopia mbioni kugawanyika kama hali iliyopo isipodhibitiwa kwa hekima na busara sio miguvu tena. Vita ni kati ya majeshi ya serikali ya shirikisho ya Ethiopia chini ya waziri mkuu Abiy Ahmed na vikosi vya chama cha TPLF - Tigray People Liberation Front, katika jimbo...
  8. Nduka

    JamiiForums Tanzania CCM na somo la Ushirika wa Vyama

    Wanasema hata saa mbovu kuna muda katika siku huwa inakuwa sahihi, nadhani upinzani hasa CHADEMA wanapaswa kujifunza kwa CCM somo la kushirikiana na vyama vingine. CCM pamoja na kushika dola, kuwa na rasilimali na uwezo wa kifedha, kuwa na mtandao ulioenea kila kona ya nchi lakini bado wamekuwa...
  9. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri TAMISEMI, David Silinde aagiza vipindi vya Dini viwe vya lazima kwenye Shule kupunguza uovu

    Naibu Waziri TAMISEMI, David Silinde ameagiza vipindi vya Dini viwe vya lazima kwenye Shule zote ili kupunguza uovu sababu Wanafunzi wenye hofu ya Mungu hawawezi fanya utovu wa nidhamu kama kuchoma Shule “Atake asitake, ahudhurie hata kama hafanyii Mtihani”
  10. G

    JamiiForums Tanzania Somo kutoka uyahudi

    Mwanzoni mwa karne ya kwanza huko uyahudi alitokea kijana mdogo aliyejitokeza kupinga na kukosoa baadhi ya taratibu dini ya kiyahudi. Kutokana na umahiri wake katika kuhubiri alifanikiwa kupata wafuasi wengi na kuonekana ni tishio kwa dini na uongozi wa wakati huo. Viongozi walikaa chini na...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Somo la Ujasiriamali liongezwe katika Mitaala ya viwango vyote vya Elimu

    Ninaishauri serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kuanzishwa kwa mtaala wa ujasiriamali katika kila level, ili iweze kuwasaidia vijana wengi pindi wanapomaliza au kuhitimu mafunzo mbalimbali waweze kukabiliana na hali ya maisha watakayokutana nayo bila kutegemea ajira kama...
  12. M

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo wapewa somo zito, CCM haiko tayari kutenda haki katika chaguzi

    ACT walidhani kuwa maadam wamo katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa huko Zanzibar, basi labda CCM wangeanza kuwatreat fairly. Lakini wakasahau kuwa CCM kimeshakuwa chama cha dhulma, kama kiliwadhulumu mara ya kwanza, mara ya pili, mara ya tatu n. k kitaendekea kuwadhulumu mpaka itokee nguvu ya...
  13. Livingson1

    JamiiForums Tanzania Somo la ujasiriamali mali lipewe kipaumbele mashuleni pamoja na vyuoni nchini Tanzania ili kupunguza changamoto za ajira kwa vijana

    Ujasiriamali ni jinsi ya kubaini matatizo au changamoto zilizopo kwenye jamii husika na kuzitatua changamoto hizo kwa kubuni mbinu ama vitu ambavyo vitapunguza ama kumaliza kabisa changamoto hizo kwenye jamii mfano kuchimba visima kuanzisha kilimo cha umwagiliaji, ufugaji wa kuku, mbuzi , n.k...
  14. Eng. Zezudu

    JamiiForums Tanzania Somo hili ni mkombozi wa umaskini kwa Mtanzania

    Nakumbuka kipindi nasoma shule ya msingi nilikuwa nikiambiwa na wazazi wangu pia na waalimu wangu soma ili upate kazi, nikitoroka shule na kwenda kucheza mpira nilichapwa sana na kuambiwa nacheza na shule maisha yatakunyoosha, nikionekana naimba mziki naonekana mtukutu nacheza na shule maisha...
  15. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Taasisi ya Elimu yakanusha taarifa zilizoenea kuhusu sababu za kuahirishwa kwa somo la Historia ya Kiswahili

    Salaam Wakuu, Taasisi ya Elimu Tanzania TET yaibuka na kukanusha habari zilizoenea kuwa waliahirisha somo la historia ya kiswahili kwa sababu vitabu vilivyoandaliwa kwa somo hili vilijikita kusifia watawala. Soma: Mitaala ya somo la Historia iliyositishwa ilijaa propaganda za kumsifu Magufuli...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Mitaala ya somo la Historia iliyositishwa ilijaa propaganda za kumsifu Magufuli kuwa ni kinara wa mabadiliko nchini

    VITABU vipya vya “Historia ya Tanzania” vilivyokuwa vimechapwa kwa agizo la Rais John Magufuli havitatumika tena. Badala yake, vitaandaliwa vingine – endapo kutakuwa na umuhimu huo, SAUTI KUBWA imeelezwa. Somo hilo lilipangwa lifundishwe kwa wanafunzi wa shule za awali hadi sekondari za juu...
  17. Q

    JamiiForums Tanzania Prof. Mussa Assad: Katiba Mpya ni Muhumu, itamjenga Rais na haitampunguzia chochote

  18. Yohimbine

    JamiiForums Tanzania Serikali ianzishe somo la ujasiriamali shuleni

    Habari za uzima wapendwa poleni na majukumu ya wiki nzima. Turudi kwenye mada yetu, hivi sasa ukiangalia kumekuwa na wimbi kubwa sana la wahitimu wanaomaliza masomo yao ya elimu ya juu lakini ufinyu wa ajira umekuwa mkubwa sana na kusababisha watu wengi kuwapo mtaani bila ya kuwa na shughuli...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Kibatala na Somo kwa Wachumia tumbo

    Wakili Peter Kibatala ameweka wazi nini maana ya mtu kusimama na anachokiamini: Wako wapi kina Kabudi na kina Pole pole wa tume ya Warioba? Yuko wapi Bashiru wa kabla ya kuteuliwa? Uzalendo wa ndugu hawa ni kwenye matumbo yao tu? Baba wa Taifa mwalimu Nyerere (rip) aliwaona vyema watu...
  20. Mtoto wa Nyerere

    JamiiForums Tanzania Somo la 'Historia ya Tanzania' alilotaka Magufuli lasitishwa

    Hayati Magufuli naona kaangukia pua tena Somo la historia ya Tanzania lasitishwa Katibu mkuu wizara ya elimu amesema syllabus hiyo imesitishwa haraka na haitafundishwa kokote. Source ITV news ============== Waziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia...
Back
Top Bottom