Somo gani tunajifunza Watanzania kutokana na mgogoro wa mpaka wa baharini baina ya Kenya na Somalia

Ileje

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
8,796
12,239
Watanzania tuna jambo la kujifunza na kuchukua hatua sahihi hivi sasa kutokana na mgogoro wa mpaka wa baharini baina ya Kenya na Somalia. Tusijifanye vipofu hatuoni ukweli uliopo. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliopo hivi sasa ni wa muda tu kama katiba ya Serikali ya Muungano haitafanyiwa marekebisho makubwa au kutunga katiba mpya kabisa.

Vijana wa Tanganyika na Zanzibar wote kwa pamoja hawakubaliani na muundo wa Muungano uliopo, hivyo ni wazi nchi hizi zitakuja kutengana. Ni suala la muda tu.

Kwa kuwa ni dhahiri shahiri tutatengana lazima hivi sasa tuainishe na kuweka wazi mpaka wa baharini baina ya Tanganyika na Zanzibar, vinginevyo tutakuwa na mgogoro wa kudumu baina yetu na kusababisha vita.

Tunazo kero za Muungano na mojawapo ni ya mpaka wa baharini, hivyo ni busara ufumbuzi ukapatikana sasa tusisubiri Muungano kuvunjika!
 
Watanzania tuna jambo la kujifunza na kuchukua hatua sahihi hivi sasa kutokana na mgogoro wa mpaka wa baharini baina ya Kenya na Somalia. Tusijifanye vipofu hatuoni ukweli uliopo. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliopo hivi sasa ni wa muda tu kama katiba ya Serikali ya Muungano haitafanyiwa marekebisho makubwa au kutunga katiba mpya kabisa.

Vijana wa Tanganyika na Zanzibar wote kwa pamoja hawakubaliani na muundo wa Muungano uliopo, hivyo ni wazi nchi hizi zitakuja kutengana. Ni suala la muda tu.

Kwa kuwa ni dhahiri shahiri tutatengana lazima hivi sasa tuainishe na kuweka wazi mpaka wa baharini baina ya Tanganyika na Zanzibar, vinginevyo tutakuwa na mgogoro wa kudumu baina yetu na kusababisha vita.

Tunazo kero za Muungano na mojawapo ni ya mpaka wa baharini, hivyo ni busara ufumbuzi ukapatikana sasa tusisubiri Muungano kuvunjika!


Wazazi kwakuwa wapo hai hivyo ni wajibu wao "kutoa wasia" kabla hawajafa na kuacha nyuma yao vita baina ya watoto, wajukuu na vitukuu. 🤣🤣 kitakujanuka !!!.
 
Watanzania tuna jambo la kujifunza na kuchukua hatua sahihi hivi sasa kutokana na mgogoro wa mpaka wa baharini baina ya Kenya na Somalia. Tusijifanye vipofu hatuoni ukweli uliopo. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliopo hivi sasa ni wa muda tu kama katiba ya Serikali ya Muungano haitafanyiwa marekebisho makubwa au kutunga katiba mpya kabisa.

Vijana wa Tanganyika na Zanzibar wote kwa pamoja hawakubaliani na muundo wa Muungano uliopo, hivyo ni wazi nchi hizi zitakuja kutengana. Ni suala la muda tu.

Kwa kuwa ni dhahiri shahiri tutatengana lazima hivi sasa tuainishe na kuweka wazi mpaka wa baharini baina ya Tanganyika na Zanzibar, vinginevyo tutakuwa na mgogoro wa kudumu baina yetu na kusababisha vita.

Tunazo kero za Muungano na mojawapo ni ya mpaka wa baharini, hivyo ni busara ufumbuzi ukapatikana sasa tusisubiri Muungano kuvunjika!
Hakuna suala hilo kwa Tanzania.Usifananishe Tanzania,ukafananisha Kenya na Somalia.Tanzania bara na visiwani,watu wameshaoana na kuzaana,pande zote za Muungano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania tuna jambo la kujifunza na kuchukua hatua sahihi hivi sasa kutokana na mgogoro wa mpaka wa baharini baina ya Kenya na Somalia. Tusijifanye vipofu hatuoni ukweli uliopo. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliopo hivi sasa ni wa muda tu kama katiba ya Serikali ya Muungano haitafanyiwa marekebisho makubwa au kutunga katiba mpya kabisa.

Vijana wa Tanganyika na Zanzibar wote kwa pamoja hawakubaliani na muundo wa Muungano uliopo, hivyo ni wazi nchi hizi zitakuja kutengana. Ni suala la muda tu.

Kwa kuwa ni dhahiri shahiri tutatengana lazima hivi sasa tuainishe na kuweka wazi mpaka wa baharini baina ya Tanganyika na Zanzibar, vinginevyo tutakuwa na mgogoro wa kudumu baina yetu na kusababisha vita.

Tunazo kero za Muungano na mojawapo ni ya mpaka wa baharini, hivyo ni busara ufumbuzi ukapatikana sasa tusisubiri Muungano kuvunjika!


Tuanze kutafuta suluhu kati yetu na Malawi kuhusu mpaka wa ziwa Nyasa.
 
Kenya (Nchi) na Somali (Nchi) ni kaliba mbili tofauti...

Tanganyika(Nchi) na Zanzibar( Mkoa wa Tanganyika) ni kaliba moja...
 
Kenya (Nchi) na Somali (Nchi) ni kaliba mbili tofauti...

Tanganyika(Nchi) na Zanzibar( Mkoa wa Tanganyika) ni kaliba moja...
Soma katiba ya Zanzibar.

Zanzibar ni nchi na ina mipaka, hivyo mpaka wa baharini unatakiwa uwekwe wazi!
 
Back
Top Bottom