soko

Stéphanie Alexandra Mina Sokolinski (born 26 October 1985), known professionally as Soko (stylized as SoKo), is a French singer-songwriter, musician and actress.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    CHINA DASHENG BANK (CDBL), Benki mpya inayotishia soko.

    Taarifa za fedha za mabenki kwa robo ya tatu ya mwaka 2019 zimetolewa kuanzia mwezi wa tisa mwishoni na mwezi wa kumi katika vyombo mbalimbali vya habari hasa magazeti kama ambavyo kanuni ya mabenki na taasisi za fedha ya mwaka 2014 inaelekeza. Kiujumla kumekuwa na kupanda kwa faida kwa mabenki...
  2. J

    Mbunge Lema yuko kimya sana tokea soko la Samunge liungue, kwanini?

    Hata kama ni kweli hagombei tena ubunge Arusha mjini na badala yake anagombea Hai bado ana jukumu la kuwatumikia wapiga kura wake hadi bunge litakapovunjwa. Mbunge Lema Tafadhali fika sokoni Samunge uwasikilize wapiga kura wako usiwaachie RC na DC peke yao. Usiwe kama mbunge wa Ukonga...
  3. C

    Ndugu zangu walinidanganya nikasoma kozi isiyo na soko

    nilikuwa na ndoto za kuwa injinia ila kaka zangu nadhani walinionea wivu wakanidanganya kuwa haina dili bora masomo ya biashara. nikasoma hayo leo wananicheka life imenipiga mpaka nachanganyikiwa.
  4. S

    EWURA msitufanye wajinga; bei ya mafuta soko la Dunia ikipanda mnapandisha haraka bei ya mafuta nchini lakini ikishuka mnajifanya vipofu na viziwi!

    Ninachochukia siku zote ni pale mtu anapoamua kukutumia kama mjinga ili apate faida. Huwa naona kama ninatukanwa. Na huu ndio mchezo ambao EWURA wamekuwa wakitufanyia Watanzania. Utaona kwamba pale ambapo bei ya mafuta katika soko la dunia ikipanda, mara moja EWURA hupandisha bei ya mafuta...
  5. N

    Naomba tufahamishane kwa wajuzi na wanaofanya biashara ya kununua nguo za kike za mitumba(especially suruali nzur za kike na blouses)pale memorial mos

    Habari wanajamvi naomba msaada kwa wabobezi na wanaofanya biashara hii ya kuchukua nguo za mitumba kwa kupoint suruali na blouses za kike pale sokoni memorial moshi,binafsi ni mgeni Kanda hii ya kaskazini na natarajia kuanza kufanya biashara io ya nguo Kali za mitumba za kike. Naomba...
  6. Showio

    Kozi za Chuo cha Maji zina soko?

    Naomba kujua kozi za chuo cha maji zipoje sokoni,vipi uhitajika wake kwenye jamii upoje. Asante
  7. B

    Uwekezaji soko la nyoka, Serikali isaidie kupunguza kodi

    March 22, 2020 Serikali yaombwa ipunguze bei ya nyoka na viumbe wengine wanaopelekwa nje kuuzwa ili wawekezaji hao wachangie fedha za kigeni nchini. Hayo maombi yamesemwa na Paul Madinda mfugaji na muuzaji wa viumbe nje ya nchi wakati akimfahamisha Naibu waziri Costantine Kanyasu juu ya fursa...
  8. K

    Nauza mayai ya kienyeji halisi(pure) siyo chotara - Arusha

    Habari wanabodi, nauza Mayai ya KIENYEJI HALISI- PURE SIYO CHOTARA. BEI NI SHILINGI 13,500/ KWA TREI MOJA. PUNGUZO LIPO KWA ATAKAYECHUKUA MENGI. KWA MAWASILIANO:- *Piga/text/WhatsApp* 0765894955/0693100453 Arusha Tanzania
  9. H

    Soko la mitiki lipo wapi

    Wana JF nina shamba la mitiki lipo kisarawe lina ukubwa wa hekari 14,lina miti ya mitiki ipatayo 8000, miti 200-250 kati ya hiyo ipo tayari kuvunwa.shida yangu ni kama ifuatavyo 1.Kama nitaweza kupata mteja wa kununua miti peke yake 2,Kama nitapata mteja wa kununua shamba(ardhi)pamoja na miti...
  10. Erythrocyte

    Ushirikiano: Mbunge wa Mbeya Mjini ashiriki usafi Soko la Sido, anywa chai ya rangi na masela, awahutubia wananchi

    ===== Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, leo amejumuika na wananchi kufanya usafi katika soko la Sido. Katika zoezi hilo, Mh. Sugu pia amejumuika na baadhi ya wananchi, wengi wao wakiwa vijana, katika kupata kifungua kinywa. Siku kadhaa zilizopita Sugu alieleza wazi...
  11. Erythrocyte

    Kutoka kuwa Mwenyekiti wa Kijiji hadi kuwa Waziri na mwingine kutoka kuwa Mlinzi wa soko hadi kuwa Meya, hakika Chadema ni chuo cha uongozi

    Tunaposema kwamba CHADEMA ni chuo cha mafunzo ya uongozi hatudanganyi , Mwita Waitara aliyekuwa Mwenyekiti wa kijiji cha kivule Ukonga, leo hii ni naibu Waziri, huku mlinzi wa soko la Mabatini Mbeya ndugu Mwashilindi akaukwaa Umeya wa Jiji la Mbeya. Mlolongo wa waliotengenezwa na Chadema...
  12. borncool

    Soko la ndimu na ndizi mzuzu

    Ninauliza soko la ndimu na ndizi mzuzu. Kuna mzigo upo mbioni kukomaa; kama wewe unajishughulisha na upo interested tuongee biashara vikiwa tayari nikustue ila nijue bei yako kwa plastic ya ndimu na mkungu mmoja wa mzuzu.
  13. Boniphace Kichonge

    Dkt Bashiru akagua na kuridhishwa na ujenzi wa soko la kisasa Morogoro

    Katibu Mkuu wa CCM Dk Bashiru Ali Kakurwa leo Jumamosi Februari 15, 2020 ametembelea na kukagua hatua za mwisho ujenzi wa Soko kuu la kisasa katika Manispaa ya Morogoro. Soko hilo la kisasa linatarajiwa kukamilika Machi 30, 2020 limegharimu kiasi cha *T. Shs Billioni 11,267,070,127.77...
  14. Boniphace Kichonge

    Utekelezaji Wa Ilani Ya CCM. Muonekano Wa Soko Kuu Dodoma. Limejengwa Kwa Gharama Ya Tshs Billion 14

    Wadau. Muonekano Wa Soko Kuu la Dodoma lililojengwa kwa Gharama ya Tshs Billion 14. Tunatekeleza
  15. BASIASI

    Kazi imeanza gesi Oryx yapanda bei kutokana na mabadiliko soko la dunia kuanzia Feb 5

    Taarifs kwa watumiaji wa gesi, Kuanzia tar 5 feb gesi itapanda rasmi usishangae mabadiliko haya kwenye maduka madogo ya gesi Beo wanazotakiwa kuuza n Kg 15 54'000 Kg 6. 22'000 KG 38. 105" 000 Kumbuka hii ni bei elekezi tu muuzaji anaweza kupanda zaidi ya hapa Ahsanteni kwa uvumilivu wenu...
  16. YEHODAYA

    Hisa zikiuzwa soko la hisa Nani huwa anahakiki kuhakikisha pesa zinaingia akaunti za wateja waliouza hisa kwa wakati?

    hivi hisa Mfano mtu umeuza Nani huwa anahakiki kuwa hisa za Fulani zimeuzwa Leo na kuhakiki kuwa hizo pesa zinaingia kwenye akaunti ya mhusika kwa wakati? Na gawio la wanahisa likitoka nani anayehakiki kuwa Hilo gawio linaenda kwa wahusika kwa wakati? Moderators msiipeleke hii habari jukwaa...
  17. ANT DRUGS

    Waziri Jafo akerwa na uchafu soko la Sabasaba Jijini Dodoma

    Habari wakuu!Kuna taarifa jana nmeisoma kwenye social media inaeleza kwamba Mheshimiwa Jafo kaagiza soko la sabasaba jijini Dodoma libomolewe na kujengwa upya Mara moja.Hii taarifa ina ukweli wowote? ===== JAFO akerwa na uchafu soko la Sabasaba Jijini Dodoma January 25th, 2020 Waziri wa Nchi...
  18. YEHODAYA

    Tanzania kwa nini haihamasishi mauzo ya nyama ya punda China wakati soko liko kubwa mno?

    China nyama ya punda na ngozi za punda zina soko kubwa mno. Kwanini serikali haihamasishi ufugaji mkubwa wa punda Tanzania na kuanzisha minada ya punda?
  19. kimpango

    Jifunze lugha yoyote duniani bure ujiongezee thamani katika soko la ajira na ushindani dunia ya sasa

    kujua lugha mbalimbali ni moja wapo ya njia ya kuongeza thamani ya ulichonacho kwa mfano wapo watu wenye elimu ndogo tu ambao kujua lgha fulani imewafanya kupata kipato maradufu nakualika kujifunza lugha mbalmbali bure huku ukifurahia .. kupitia LINK : Learn a language for free
  20. F

    Soko kuu la dhahabu lazinduliwa Chato

    Wizara ya madini nchini Tanzania, Doto Biteko amezindua soko kuu la dhahabu wilaya ya Chato mkoani Geita huku akitoa maagizo kwa ofisi ya madini mkoani Geita kutoa leseni za uchenjuaji kwa wafanyabiashara wa madini zaidi ya 300 wenye mitambo ya kuchenjua dhahabu mkoani humo.
Back
Top Bottom