Wana JF nina shamba la mitiki lipo kisarawe lina ukubwa wa hekari 14,lina miti ya mitiki ipatayo 8000, miti 200-250 kati ya hiyo ipo tayari kuvunwa.shida yangu ni kama ifuatavyo
1.Kama nitaweza kupata mteja wa kununua miti peke yake
2,Kama nitapata mteja wa kununua shamba(ardhi)pamoja na miti...