kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,316
- 3,683
Leo nimesoma Dodoma imekuwa kama ulaya kwa mujibu wa stendi mpya. ππππ Shukrani nikaskia zinapewa JPM. Kwani rais ndiye kufanya kazi yote Tanzania?
Nayo hii soko kubwa mpya Nairobi vipi? Mbona kila project ndogo ya Tanzania lazima itangazwe hapa kwa section ya Kenya? π π π
Haya oneni pia Sonko amejenga soko ya masaa 24.
Nayo hii soko kubwa mpya Nairobi vipi? Mbona kila project ndogo ya Tanzania lazima itangazwe hapa kwa section ya Kenya? π π π
Haya oneni pia Sonko amejenga soko ya masaa 24.