Simulizi : NOTI BANDIA
Mwandishi : BEN R. MTOBWA
Imeletwa kwenu na : BURE SERIES
SEHEMU YA 1
JIJI la Dar es Salaam linatingishika, wezi sugu wanaingiza noti bandia, watu wanaibiwa. Baadhi wanauza majumba, magari na viwanja. Wafanyabiashara hatari wa dawa za kulevya nao wanacharuka, wanatangaza...