simulizi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Notebook

    NOTEBOOK: SEHEMU YA KWANZA Mshale wa saa ulisimama kwenye 4 na dakika zake ,Carry alikuwa akijigeuza upande wa pil ili alale vizuri Ila mwanga wa jua ulionekana kumkera pindi ulipomchoma usoni, Carry alifumbua macho yake kwa tabu sana na kwa hasira juu ya mwanga ule alianza kujinyoosha taratibu...
  2. Abdallahking

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Ajira Toka Kuzimu

    Simulizi: AJIRA TOKA KUZIMU Mwandishi: GEORGE IRON MOSENYA Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Aliitazama nchi hii kwa mbali sana, aliyekuwa mkuu wake alimuonyesha kwa kutumia kidole kimoja. Ilikuwa ina rangi ya bluu hii ndio ilikuwa nchi kubwa aliyokuwa ameagizwa kumfanyia kazi yake...
  3. Abdallahking

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Jamani Mchungaji

    Simulizi: JAMANI MCHUNGAJI !! Mwandishi: GEORGE IRON MOSENYA Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Masikio yake hayakuamini anachokisikia lakini ubongo wake uliamini kuwa mkewe alikuwa kwenye ndoto nzito sana, jasho lilikuwa linamtoka na alikuwa anajiviringisha pale kitandani kwa staili...
  4. Abdallahking

    JamiiForums Tanzania Simulizi : Ukweli Wenye Kuuma (Painful Truth)

    Simulizi: UKWELI WENYE KUUMA ( PAINFUL TRUTH ) Mwandishi: NYEMO CHILONGANI Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Msichana Happy alikuwa akilalamikia uchungu ambao ulikuwa umemshika katika kipindi ambacho alikuwa shambani akilima. Damu zikaanza kumtoka katika sehemu zake za siri...
  5. Abdallahking

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Akwelina

    Simulizi: AKWELINA Mwandishi: RUVULY DE FINISHER Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 YA 50 """ Mke wangu unajua hii inchi yetu ina mambo mengi mno ambayo tukiyaangalia kwa macho tunaona ya kawaida sana lakini kwa mwenye akili na mwenye mtazamo wa kufikiria mbali lazima atatambua kwamba...
  6. Abdallahking

    JamiiForums Tanzania Simulizi : Beyond Love (Zaidi Ya Mapenzi)

    Simulizi: BEYOND LOVE (ZAIDI YA MAPENZI) Mwandishi: 2JIACHIE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 YA 50 Tom aliheshimika na kutisha, hakuna mtu aliyechezea shughuli zake kutokana na uhusiano mzuri aliokuwa nao na viongozi Serikalini, akiwa mdhamini wa Chama Tawala. Hakuna mtu ambaye...
  7. Abdallahking

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Asante kwa Kunifuta Machozi (Hisia Zangu)

    Simulizi: ASANTE KWA KUNIFUTA MACHOZI (HISIA ZANGU) Mwandishi: JOSEPH SHALUWA Imeletwa kwenu na: BURE SERIES ***** SEHEMU YA 1 KATI YA 50 Edo wewe! Acha utani wako bwana... unajua kitakachotokea. Utaniudhi sasa...” akasema Lilian kwa sauti ambayo haikueleweka ilikuwa ya ukali au kudeka...
  8. James Hadley Chase

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Hiliki Ya Chumbageni

    HILIKI YA CHUMBAGENI MWANDISHI: JOSEPH SHALUWA “BABY umeamkaje?” “Honey mzima?” “Mpenzi wangu umeshatoka hotelini?” “Laazizi wangu, jamani nakutumia text zote hizo na hujibu kitu, kuna nini?” “Bravo unajua ulivyonizoesha mume wangu, mbona unanifanyia ukatili mkubwa namna hii?” “Baba yangu...
  9. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Simulizi la Bibi, maisha ya Da es Salaam ya Tanganyika

    Dar es Salaam ya Tanganyika ilikuwa na fursa nyingi sana za kazi kwa vijana. Vijana wakitoka mikoani na walipata ajira na kuendesha maisha yao. Ajira nyingi zilikuwa Bandarini kazi ya ukuli, hii ilikuwa ni nguvu yako tu, wengi walikua ni vibarua wa siku. Kulikua na kazi za Reli, kung’oa...
  10. Barackachess

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya mwisho - Simulizi

    SEHEMU YA KWANZA Kanisa lilibaki na mshtuko mkubwa waumini nao hawakuamini tukio waliloliona mbele ya macho yao. Padri alibaki akiwa amezubaa hakujua nini kinaendelea kanisani hapo pindi Laurance alipo kataa kumvisha pete Nasra kwa sababu ya barua aliyoikuta ndani ya koti lake la suti pasipo...
  11. Abubakari M N

    JamiiForums Tanzania Kinukamito na Chanikiwiti

    ONYO Hairuhusiwi chini ya miaka 20 UTANGULIZI Kinukamito, ni mwanamke asiyedumu katika mahusiano au ndoa kutokana na sababu mbali mbali. Kusema ni mwanamke ambaye hudhaniwa ana mkosi kutokudumu kwenye mahusiano, waaidha, Mwanamke Chanikiwiti ni yule anayetumia uzuri wake kupata atakacho. Katika...
  12. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Simulizi kutoka St. Petersburg hadi nimepatamani Urusi

    Mzuka wanaJF Kuna jamaa tulikutana naye kwenye mechi ya mpira ni mcameroun amekaa St. Petersburg toka 2005. Tumejenga urafiki na kunipa story za Urusi. Ananisimulia St. Petersburg ukilinganisha na Copenhagen, Stockholm Oslo na Helsinki kwa pamoja haya majiji ni kama playing ground. Jiji ni...
  13. Dam55

    JamiiForums Tanzania Simulizi; Bahari ya Hindi

    Simulizi : Bahari Ya Hindi Sehemu Ya Kwanza (1) Ilionekana gari moja aina ya Mark II (old model) ya kizamani,ikipaki nje ya geti la kuingilia bandarini….wakashuka watu wawili,,Mwanaume mmoja na mwanamke mmoja,,watu hao walikuwa wanafanya kazi sehemu moja,katika kituo cha Habari,,,yule mwanaume...
  14. Dr Mathew Togolani Mndeme

    JamiiForums Tanzania Simulizi Binafsi: Ninavyomkumbuka Rais wa Awamu ya Tatu Mzee Benjamin Mkapa

    UTANGULIZI: Kwa neema ya Mungu nimefanikiwa kuishi kwenye uongozi wa marais wote 5 wa nchi yetu hadi sasa nikiwa tayari na uwezo wa kuelewa kinachoendelea duniani (kwa sehemu). Kwa kuwa nina shahuku (enthusiasm) kubwa na uongozi na dhana nzima ya kutumikia watu (ambayo siasa ni sehemu yake)...
  15. Abdallahking

    JamiiForums Tanzania Simulizi : Nguvu ya Mapenzi

    Simulizi: NGUVU YA MAPENZI Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Mdada mmoja mrembo sana aliyeitwa Angel alionekana siku hii akiwapeleka wadogo zake kuripoti katika shule mpya maana wadogo zake hao walikuwa ndio wanaanza kidato cha kwanza na yeye alikuwa...
  16. Abdallahking

    JamiiForums Tanzania Simulizi : Facebook Imeharibu Maisha Yangu

    Simulizi : FACEBOOK IMEHARIBU MAISHA YANGU Mwandishi: GEORGE IRON MOSENYA SEHEMU YA 1 “"Reshmail Manyama want to be your friend.'confirm' 'ignore' ulikuwa ni ujumbe ambao macho yangu yalikutana nao nilipofungua mtandao wa kijamii wa ‘facebook’,sikumbuki kama nilijifikiria mara mbili kwani...
  17. Abdallahking

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Nini maana ya mapenzi

    Simulizi: NINI MAANA YA MAPENZI Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Alikuwa binti mpole ila muongeaji sana, aliyelelewa katika mazingira ya dini, nyumba yao ilijihusisha zaidi na maswala ya dini kiasi kwamba hakutaka kujihusisha na maswala ya mapenzi kwa...
  18. Abdallahking

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Kurudi Kwa Moza

    Simulizi: Kurudi Kwa Moza Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Moza alikuwa msichana mrembo ila aliishi maisha ya shida na kumfanya ajaribu kufanya kazi za ndani, na kwa bahati akapata kazi kwenye nyumba ya mama mmoja tajiri, aliyejulikana kwa jina la...
  19. Bishop Hiluka

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kipelelezi: Nani Muuaji?

    NILIKUWA na uwezo mkubwa sana wa kiakili na nilikuwa naongoza darasani kwa kushika nafasi ya kwanza tangu nikiwa darasa la pili shule ya Bronx English Medium Primary School. Nilikuwa nazijua nchi zote huru duniani kwa majina na miji yake mikuu na hata majina ya viongozi wakuu wa nchi hizo, na...
  20. Abubakari M N

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Kinu cha Mama

    KINU CHA MAMA Mussa N. Abubakari UTANGULIZI. Hii ni bunilizi tu. Usijaribu kugeuza maoni kuwa ukweli na kuharibu maisha ya watu. ZINDUKO; Moja ni jibu, Ngono hutibu. 1. Romantic Star Alishuka. Akasimama, kisha akaangalia kushoto na kulia. Erick Kupaza alifurahi kurudi nyumbani kwao. Sio tu...
Back
Top Bottom