No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,738
Watu bado wanatapeliwa jamani tuache masihara! Hali inatisha, mshikaji wangu jana imemtoka 120,000 hivi hivi eti kapigiwa simu kaambiwa kuna ofa yake mtandao fulani wa simu, ila aweke hicho kiasi cha pesa atumiwe ofa yake isiopungua 1 million.
Muda muafaka wa hizi namba kwa nini tusi-share hapa zijulikane jamani hali ni mbaya sana hasa kipindi hiki cha mwisho wa mwaka. Ni wazo tu jamani, najua matapeli watauchukia huu uzi. Ni vizuri tukiweka na ushahidi kama upo.
Muda muafaka wa hizi namba kwa nini tusi-share hapa zijulikane jamani hali ni mbaya sana hasa kipindi hiki cha mwisho wa mwaka. Ni wazo tu jamani, najua matapeli watauchukia huu uzi. Ni vizuri tukiweka na ushahidi kama upo.