GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,874
Moja ya Kazi yangu nyingine ni ya ‘ Ukomedi ‘ lakini ambao unawasilisha jambo fulani mtambuka ( lililotokea punde ) nikiwa na nia ya Kuwaburudisha Wasomaji wangu lakini pia Kuwaonyesha Wahusika kwamba walikosea ili Siku zingine wasirejee hilo Kosa na mwisho ni kutoa Elimu kwa Watawala / Viongozi wengine.
Kuna Kiongozi Mmoja katika nchi Moja duniani alionekana akizungumza na Simu huku akiihamisha ‘ Microphone ‘ aliyokuwa ameiweka Mdomoni mwake na kisha akaiweka Masikioni mwake huku akiwa ameshika Simu Mkononi. Nataka Kuchora hii Katuni kwani yawezekana huyo Kiongozi nae labda akawa ni ‘ Comedian ‘ mwenzangu.
Je, niichore au nisiichore?
Kuna Kiongozi Mmoja katika nchi Moja duniani alionekana akizungumza na Simu huku akiihamisha ‘ Microphone ‘ aliyokuwa ameiweka Mdomoni mwake na kisha akaiweka Masikioni mwake huku akiwa ameshika Simu Mkononi. Nataka Kuchora hii Katuni kwani yawezekana huyo Kiongozi nae labda akawa ni ‘ Comedian ‘ mwenzangu.
Je, niichore au nisiichore?