FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Yaani badala ya wakala kubandika namba za kutolea pesa za mitandao tofauti tofauti, aweke namba moja tu ya wakala na wateja wenye line za mitandao yote waweze kutoa pesa kwa kutumia namba hiyo hiyo moja, halafu wenye mitandao watagawana wenyewe pesa huko kwa kutumia automatic system watakayojiwekea.
Inakera sana unataka kutoa pesa Tigo halafu wakala anakwambia labda utoa Voda, Tigo sina float. Au unataka kuwe pesa Airtel halafu wakala anakwambia labda weka Tigo, Airtel sina float, inakera sana.
Ni kama mabenki yalivyofanya kwa kutumia ATM za UMOJA ambapo mteja wa benki yeyote ile iliyounganishwa na UMOJA ATMs anaweza kwenda kutoa pesa kwenye ATM hizo halafu wao wanapigiana hesabu wao kwa wao automatically na kusettle accounts, hii imesaidia sana maana ingebidi kila benki iweke ATM yake kila kona ya nchi kitu ambacho kingekuwa ni ghali sana.
Hivi nimeeleweka kweli?
================================
Update: 19/06/2020
==========================
Update: 26/10/2022
Tigo na Zantel wameanza kutumia namba moja ya uwakala, mitandao mingine ya simu kujiunga hivi punde.
Inakera sana unataka kutoa pesa Tigo halafu wakala anakwambia labda utoa Voda, Tigo sina float. Au unataka kuwe pesa Airtel halafu wakala anakwambia labda weka Tigo, Airtel sina float, inakera sana.
Ni kama mabenki yalivyofanya kwa kutumia ATM za UMOJA ambapo mteja wa benki yeyote ile iliyounganishwa na UMOJA ATMs anaweza kwenda kutoa pesa kwenye ATM hizo halafu wao wanapigiana hesabu wao kwa wao automatically na kusettle accounts, hii imesaidia sana maana ingebidi kila benki iweke ATM yake kila kona ya nchi kitu ambacho kingekuwa ni ghali sana.
Hivi nimeeleweka kweli?
================================
Update: 19/06/2020
==========================
Update: 26/10/2022
Tigo na Zantel wameanza kutumia namba moja ya uwakala, mitandao mingine ya simu kujiunga hivi punde.