Tanzania: Simba SC yalaumiwa vipimo vya Covid-19

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,302
24,188
25 January 2021


Mabingwa wa soka Tanzania timu ya mtaa wa Msimbazi jijini Dar es Salaam Tanzania yalaumiwa kwa kuwa na "mkono wake" ktk majibu ya Covid-19 yenye utatanishi.

Mfano wachezaji 5 tegemeo wa FC Platinum ya Zimbabwe vipimo vyao vilionekana kuwa wana maambukizi ya virusi vya corona na kuzuiwa kuichezea timu yao jijini Dar es Salaam ktk kuwania kwenda ngazi ya makundi ya michuano ya timu bingwa Afrika mashindano ya CAF.
www.chronicle.co.zw › horror-i...
Horror in Tanzania as 5 FC Platinum players test 'positive' for Covid-19 ...

6 Jan 2021 — Horror in Tanzania as 5 FC Platinum players test 'positive' for Covid-19 …results are first availed to Simba SC.
Pia timu ya Plateua United ya kutoka mji wa Jos jimbo la Plateau Nigeria, wachezaji wake walipatikana na majibu ya utatanishi waliopokuwa nchini Tanzania hivyo baadhi yao kushindwa kuchezea timu yao ktk mechi ya ugenini Dar es Salaam lakini waliporejea Nigeria vipimo vilikuwa tofauti. Timu ya Plateau United imepeleka barua ya malalamiko CAF juu ya kadhia hiyo huku wakisema walichukua tahadhari kwa kupeleka vipimo ktk hospitali ya private nchini Tanzania ambapo pia majibu yalikuwa tofauti na yale ya Maabara ya Tanzania.

Majibu ya vipimo vya Tanzania vinatofautiana na vya Zimbabwe, timu ya FC Platinum imedai. Timu za APR FC ya Rwanda, KCCA FC ya Uganda na Asante Kotoko SC ya Ghana pia zimelaumiwa na timu pinzani ktk michuano hiyo ya CAF kwa majibu ya vipimo vya Covid-19.

Viongozi wa shirikisho la soka Tanzania TFF na timu ya Simba S.C walipotafutwa walisema hawawezi kujibu suala hilo la kitabibu na afya kwa sasa.

Tanzania: Simba S.C. accused of falsifying COVID-19 results​

In Tanzania, accusations of tampering with COVID-19 results levelled against league winners, Simba S-C during their CAF Champions League showdown with F-C Platinum of Zimbabwe have elicited mixed reactions. Here's CGTN's Isaac Lukado with that story.

Source : CGTN Africa
 

Horror in Tanzania as 5 FC Platinum players test ‘positive’ for Covid-19 …results are first availed to Simba SC​

3 weeks ago
FCP-680x380.jpg

FC Platinum players

Sikhumbuzo Moyo, Senior Sports Reporter
IN what will surely further tarnish African football, five key FC Platinum players have been ruled out of Wednesday’s Caf Champions League match against Simba SC in Tanzania after allegedly testing positive for Covid-19.

Over and above the five players, three officials, including two members of the technical bench, are also alleged to be carrying the virus.
“Yes it’s true, five players are alleged to be Covid-19 positive plus three other officials. We are still surprised as why and how the team results came via our opponents instead of the Caf medical team,” said FC Platinum spokesperson Chido Chizondo.

Source: Horror in Tanzania as 5 FC Platinum players test ‘positive’ for Covid-19, results are first availed to Simba SC – The Chronicle
 
Utopolo wavhawi wakubwa ndio maana wanajisifu wamempa Morison busha hivi nani asiyejua kuhusu tatizo la Corona Zimbabwe
Isitoshe Simba haihusiki kupima Corona bali maabara ya taifa.bhata hospital private walipeleka vipimo maabala ya taifa na ukichukulia platnum walikuja mapema wangeweza kutumia njia zinazofaa kupinga matokeo.
 
Utopolo wavhawi wakubwa ndio maana wanajisifu wamempa Morison busha hivi nani asiyejua kuhusu tatizo la Corona Zimbabwe
Isitoshe Simba haihusiki kupima Corona bali maabara ya taifa.bhata hospital private walipeleka vipimo maabala ya taifa na ukichukulia platnum walikuja mapema wangeweza kutumia njia zinazofaa kupinga matokeo.
We mama mtu ambaye alisema morison ana busha ni kasim dewji
 
Ole wake kama kuna mbumbumbu anayefanya kazi kwenye hizo maabara za serikali halafu anashiriki kutoa majibu ya uongo kwa lengo tu la kuwahujumu wapinzani na hivyo kuwabeba mbumbumbu wenzake!

Yaani tulidhani mtaishia tu kwenye zile dawa mlizo wapulizia AS Vita! Badala yake mkaja kwenye MAPAKA!! Na sasa mnatoa vipimo feki vya Corona!!!
 
Back
Top Bottom