njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Sina mengi ya kusema lakini enough is enough Tutu vengere a.k.a Rage aliweza enzi hizo kuna kanjanja moja tu lililokuwa linaivuruga simba na habari z auongo likiwa redio one kwa sasa limeajiriwa kwingine na linaendeleza libeneke lake kama kawaida,Radio one walipigwa stop kusema na kutangaz a lolote kuhusu simba.
Kinachoendelea sasa hivi siyo uchochezi ni uhujumu mafanikio ya simba na naona zaidi ya Manara hakuna mwingine anayehangaika na haya makanjanja zaidi ya kipindi fulani magori aligombana na EFM akidhani wao ndiyo wametoa habari ya uongo kwamba wachezaji wa simba hawajalipwa miezi miwili kumbe ilkuwa Ally kamwe ambaye alikuja kuomba radhi, EFM kupitia kwa meneja wao SSebo walikuja juu kwelikweli wakidai brand yao inachafuliwa ila kwenye kipindi chao cha sports HQ uchafuzi wa simba ni lazima kila siku(wahusika ni wawili na wanajijua)siyo wote kuna watu pale kwenye kipindi kile wana weledi kwelikweli ila kuna makanjanja mawili kwa kweli LORD HAVE MERCY.
Shaffih dauda alishawahi kupost matokeo ya mechi hewa kwamba simba kafungw a2-0 na green warriors mechi ya kirafiki,mechi ambayo hata haikuchezwa baadaye utetezi wake anasema aliona kwenye post ya oscar oscar.
Yote haya makanjanja yanaishika sharubu simba kwa sababu uongozi uko too soft..KUNA NJIA MBILI ZA KU DEAL NAO...TANGAZA RASMI KWAMBA HAMSHIRIKIANI NAO MPIGE MARUFUKU KUTANGAZA HABARI ZENU AU MU WA IGNORE HAKUNA KUPOKEA SIMU ZAO WALA SMS WAENDELEE KUTANGAZA CHUKI ZAO.
Embu fikiria leo simba ingekuwa inadaiwa mishahara kama utopolo wanavyodaiwa na kina Tambwe, Zahera, Dante, Yondani....ingekuwaje huko redioni?
KARIBU NKAMIA NAJUA HILO LA MAKANJANJA HALITAKUSHINDA
Kinachoendelea sasa hivi siyo uchochezi ni uhujumu mafanikio ya simba na naona zaidi ya Manara hakuna mwingine anayehangaika na haya makanjanja zaidi ya kipindi fulani magori aligombana na EFM akidhani wao ndiyo wametoa habari ya uongo kwamba wachezaji wa simba hawajalipwa miezi miwili kumbe ilkuwa Ally kamwe ambaye alikuja kuomba radhi, EFM kupitia kwa meneja wao SSebo walikuja juu kwelikweli wakidai brand yao inachafuliwa ila kwenye kipindi chao cha sports HQ uchafuzi wa simba ni lazima kila siku(wahusika ni wawili na wanajijua)siyo wote kuna watu pale kwenye kipindi kile wana weledi kwelikweli ila kuna makanjanja mawili kwa kweli LORD HAVE MERCY.
Shaffih dauda alishawahi kupost matokeo ya mechi hewa kwamba simba kafungw a2-0 na green warriors mechi ya kirafiki,mechi ambayo hata haikuchezwa baadaye utetezi wake anasema aliona kwenye post ya oscar oscar.
Yote haya makanjanja yanaishika sharubu simba kwa sababu uongozi uko too soft..KUNA NJIA MBILI ZA KU DEAL NAO...TANGAZA RASMI KWAMBA HAMSHIRIKIANI NAO MPIGE MARUFUKU KUTANGAZA HABARI ZENU AU MU WA IGNORE HAKUNA KUPOKEA SIMU ZAO WALA SMS WAENDELEE KUTANGAZA CHUKI ZAO.
Embu fikiria leo simba ingekuwa inadaiwa mishahara kama utopolo wanavyodaiwa na kina Tambwe, Zahera, Dante, Yondani....ingekuwaje huko redioni?
KARIBU NKAMIA NAJUA HILO LA MAKANJANJA HALITAKUSHINDA